Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,464
- 5,428
Lengo ni Kulogana, kutupiana Majini uchawi, kurudishana nyuma nadhani hilo ndiyo lengo la Binadamu
Si mmeambiwa kuabuduHivi lengo la binadamu duniani hasa ni nini??
Hahaha mpaka wamejaribu malengo ya Uumbaji wa MunguMaana ilikuwa ni tufurahie TU ya duniani ila ndo hivo CCM haipendi kabisa tuwe na raha
Ila wengine wanapumuliwaKupumua
Kisha iweje? Kwa nini Mungu asiyape hata mawe uwezo wa kumtukuza? Kwani dunia ingeathiriwa na nini endapo binadamu tusingekuwepo?Kumtukuza mungu na kuendeleza kizazi
Watakujibu Kumtumikia Mungu. Maisha ya duniani ni mtihani tumepewa atakae faulu anaenda mbinguni/Peponi ambapo kutakuwa na mabikra 72 na mito ya pombe au kutakuwa hamna kula wa kuzaliana huko ni kumsifu na kumuabudu Mungu tu. KWA KIFUPI MAISHA NI MTIHANI WENYE LENGO LA KUKUTANISHA WEWE NA MUNGU WAKO ENDAPO UTAUSHINDA MTIHANI WA HAPA DUNIANI NA UKIFELI UNAENDA MOTONI TENA MILELE. SO, DUNIA NI CHUMBA CHA MTIHANI NA MAISHA NDO PEPAR YAKO NA MASWALI NDO JUMLA YA MATUKIO/MATENDO YAKO YOTE UFANYAYO DUNIANI. Uko chumba cha mtihani mkuu,kaza usipate sifuri ukaenda motoni🤠🤠Kwa mujibu wa watu wa Dini.Hivi lengo la binadamu duniani hasa ni nini??
Wapo wanaosema maisha hayana maana ila wewe mwenyewe ndo unayapa maana. Jinsi unavyoendesha maisha yako ndo mtizamo wa maisha ulivyo kwako. Maisha bhana!Infact hamna maana halisi ya maisha. Amua wewe
Ndo kupumua kwenyewe huko. LolIla wengine wanapumuliwa