Hivi kweli uchawi upo katika elimu/masomo?

Hivi kweli uchawi upo katika elimu/masomo?

Its all about confidence..., kama wewe hujiamini (hauna confidence) alafu ukapewa kitu ukaamini kwamba kinafanya kazi, hata kama hakifanyi kazi itakusaidia kuongeza confidence hence kufanya kile ambavyo otherwise usingeweza kufanya.

Ni kama vita vya maji maji, wale wanajeshi wasingeamini kwamba risasi zitabadilika kuwa maji huenda wasingepigana wangeingia mitini
mkuu asante kwa mchango wako! i am impressed for sure..

tukirudi katika suala hili hili la elimu, unataka kuniambia kwamba through that confidence, wanafunzi wanaopewa uchawi wanakuwa better zaidi ya wale ambao hawatumii?
 
upo jaman tena sana yan meshuhudia.
please naomba unisaidie maelezo ya kina dada..

mpaka sasa watu hawaamini kama ninachokizungumzia kipo..
 
Hakuna uchawi mahala popote
mkuu, hebu ona hizi data hapa kwanza,

Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
 
utafiti ulishafanyika mkuu.. kuna watu tayari wanazo hizo profession ndio maana nikauliza mawazo yenu hapa..

hebu ona hizi category hapa...

Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.

angalia kwenye kipengele cha wateja wengine wa uchawi.. mwanafunzi yuko namba nne...

cc.. utafiti
 
Last edited by a moderator:
Inategemea uchawi gani, jini,vitabu,mizizi au visenti. Huu wa mwisho naam unashinda tu!
  • Swali mchepuko: Je kuna uhusiano wowote wa visenti na Ngekewa
  • Katika mazungumzo waweza sikia "........ ana Ngekewa kweli "
  • Je Ngekewa ni kitu gani hiki, kinau uhusiano wowote na uchawi
 
Last edited by a moderator:
mkuu, hebu ona hizi data hapa kwanza,

Hizo takwimu hazithibithi uwepo wa uchawi mkuu. Nimekulia Mbeya ila sijawahi ona mchawi au tukio la kichawi hata siku moja nasikia story tu kama unavyoweza sikia story mtu kaenda mbinguni na kurudi

Nimefika Sumbawanga, Tanga, Kigoma ila sijaona kiashiria chochote cha uwepo wa uchawi maeneno hayo

Kama kuna mtu anajua wapi naweza thibitishwa uchawi au kuniroga naomba anicontact tafadhali
 
utafiti ulishafanyika mkuu.. kuna watu tayari wanazo hizo profession ndio maana nikauliza mawazo yenu hapa..

hebu ona hizi category hapa...



angalia kwenye kipengele cha wateja wengine wa uchawi.. mwanafunzi yuko namba nne...

cc.. utafiti

Waganga wenyewe wameishia la saba, au watoto wake ndio vilaza kuliko wote
 
Last edited by a moderator:
Hizo takwimu hazithibithi uwepo wa uchawi mkuu. Nimekulia Mbeya ila sijawahi ona mchawi au tukio la kichawi hata siku moja nasikia story tu kama unavyoweza sikia story mtu kaenda mbinguni na kurudi Nimefika Sumbawanga, Tanga, Kigoma ila sijaona kiashiria chochote cha uwepo wa uchawi maeneno hayo Kama kuna mtu anajua wapi naweza thibitishwa uchawi au kuniroga naomba anicontact tafadhali

mkuu ujue unanishangaza sana! kwa hiyo wewe kushuhudia tu ndio hujawahi! ila matumizi ya vitu kama hirizi ushawahi sikia ama kuona ama kutumia kabisa?? Tanga kama uliishia mjini, unaweza usione matukio kama haya,,,.. hebu jaribu kwenda korogwe, tembea vijijini kule kwa shambalai na maji marefu, huko hakika utakuja kutana na viumbe vinaitwa VIBWENGO! hahahaaaa!! nakwambia utatoka mita vibaya sana na bado hautoviacha mbio ndugu yangu!! mimi nilishawahi shuhudia kwa macho yangu hivi viumbe! enzi nikiwa Korogwe vijijini kule miaka ya 2000 nikiwa shule ya msingi, nilishawahi pigwa zongo kwenye maziwa ya ng'ombe na yakashindwa kutoka kwenye kidumu.. basi tu ilibidi yatupwe...


ndugu yangu, mwalimu wangu alikuwa na mtoto wa miaka mi3 hivi kama sijakosea, mtoto huyo alionekana akila tunda fulani akiwa nje ya nyumba yao, alichofanyiwa ni kitu kibaya sana!! mtoto alipigwa zongo (nadhani watu wa tanga na wenyeji wa pwani wanaelewa sana hili), mtoto alivimba tumbo kama wiki nzima, kila wakati linabana tu masikini, kwenda hospitali, hawaoni ugonjwa wowote...! solution ilikuwa ni kwenda kwa waganga kumgangua.. kweli akapona na kurudi kwenye hali ya kawaida..!! shule ya msingi niliyokuwa nasoma 14 years ago, ilikuwa ikishafika saa 12 jioni, ilikuwa haiwezekani kukatiza maeneo ya shule kutokana na kugubikwa na uchawi wa majini na binadamu! wenyeji tu ndio walikuwa wanawezana na hayo mambo!! mtoto yeyote katika kijiji kile, kwa mtu ambae ni mgeni, kupewa kitu ukala hivi hivi ilikuwa ni ngumu sana, otherwise muwe mnajuana kiundani, imagine maziwa tu yalikuwa yanafunikwa na kufichwa sana ili yasitambulike, otherwise yanapigwa zongo na kuharibika...!


ndugu yangu mimi nilishashuhudia jini (kKIBWENGO) kikiwa kinatembea kwa mguu mmoja (mguu wa kwato ya ng'ombe!) kibwengo akitembea si hatua ya kawaida kumbuka, si hatua ya kibinadamu, ni hatua moja kwa mita mia na zaidi kulingana na umbali anaotaka kwenda.. kama ni short route basi atabadilisha speed mwenyewe! ndugu yangu bado tu unaamini uchawi haupo?? Tanga nimeishi kwa miaka minne japo nilikuwa mdogo, lakini niliweza kutambua baya na jema! waulize wenyeji wa Tanga watakuambia hadithi za Majimoto... korogwe vijijini ndani, kuelekea makangara na magoma sekondari! huko ndiko uchawi uliko lala! hayo mazingira si ya kawaida! ukisikia mtu anauza karanga akiwa uchi saa nane mchana, halafu karanga zenyewe ni mavi ya mbuzi... basi ndio huko! UCHAWI UPO NA UNAANGAMIZA WENGI! cc.. utafiti for further knowledge increase..
 
uchawi upo na unafanyika, hiyo kwa nina experience, kweli upo na watu wanafanya... Excel unataka....?
 
Last edited by a moderator:
Hizo takwimu hazithibithi uwepo wa uchawi mkuu. Nimekulia Mbeya ila sijawahi ona mchawi au tukio la kichawi hata siku moja nasikia story tu kama unavyoweza sikia story mtu kaenda mbinguni na kurudi

Nimefika Sumbawanga, Tanga, Kigoma ila sijaona kiashiria chochote cha uwepo wa uchawi maeneno hayo

Kama kuna mtu anajua wapi naweza thibitishwa uchawi au kuniroga naomba anicontact tafadhali
Bufa uchawi upo, upo mkuu wala usibishe kwa hili. Excel katoa maelezo na ushahidi wakutosha hapo aliyoyaona Tanga, nakumbuka miaka hiyo team ya mtaani kwetu tulienda kucheza mechi moja ivi, unaambiwa jamaa walitupiga tano kama tumesimama, golikipa wetu anasema mpira alikua hauoni kabisa, anona ukiwa wavuni tayari. Tunachotakiwa ni kutokuamini kama uchawi unamsaidia mtu, ila kuamini kama upo inabidi uamini
 
Last edited by a moderator:
dada hujawahi sikia mtu anashindwa kuona maandishi kwenye karatasi anapoingia kwenye mtihani?

macho na kichwa kuanza kuuma immediately baada ya kushika daftari kwa lengo la kujisomea, hiyo nayo bado??

na bado akienda kwa professional doctors wanashindwa kugundua tatizo?

Practically heard of this
 
dada hujawahi sikia mtu anashindwa kuona maandishi kwenye karatasi anapoingia kwenye mtihani?

macho na kichwa kuanza kuuma immediately baada ya kushika daftari kwa lengo la kujisomea, hiyo nayo bado??

na bado akienda kwa professional doctors wanashindwa kugundua tatizo?

hio ni exam stress kunakuwa na dalili nyingi,sweating a lot,unsahau yote ulosoma.mtu anatakiwa aende kwenye sessions za kucope exam stress!
Na hayo ya kusoma yanamtokea mpka rafiki yangu,ni ubongo tu unafanya trick zote hizo haswa ukiwa overloaded na information!!!
 
hio ni exam stress kunakuwa na dalili nyingi,sweating a lot,unsahau yote ulosoma.mtu anatakiwa aende kwenye sessions za kucope exam stress!
Na hayo ya kusoma yanamtokea mpka rafiki yangu,ni ubongo tu unafanya trick zote hizo haswa ukiwa overloaded na information!!!

ok, asante...

hivi ulishawahi kusikia cases mbalimbali za wanafunzi kulalamika kuwa wanaona karatasi imegeuka kuwa nyeusi na maandishi hayaonekani?

sorry kwa hili swali, ulishawahi kuishi katika mazingira ya vijiji ambako elimu hakuna kabisa kabisa?
 
Practically heard of this

mkuu sasa kwanini watu hawataki kuamini uchawi kuwa uchawi upo katika elimu???

ngoja niombe maoni zaidi... Arushaone, Lady doctor, MziziMkavu, mwekundu, Mtambuzi, Mr Rocky, Palomaaaaa!! (lols, you know why i called you so!) Mlachake, sosoliso, uran, kiwatengu, shansarie, amu, Preta, ram, lusungo, Dinazarde, JERRY msigwa, bily, farkhina, Mshinga, mpigamsuli, Dr. mo, Mr Rocky..

hoja inayojadiliwa hapa ni kwamba...

je, uchawi upo katika elimu/masomo?

mwanafunzi anaweza kufaulu kweli kwa kutegemea uchawi?? inawezekana vipi akili ya mwanafunzi ihamishwe kimazingara na kuwekwa kwa mwanafunzi mwingine?? je mnaamini haya kama yapo ama hayapo??

je, katika mazingira yenu mnayoishi, ama kwa jirani, ndugu na jamaa, vitendo kama hivi vilishawahi tokea?

karibuni wakuu...
 
Last edited by a moderator:
uchawi upo na unafanyika, hiyo kwa nina experience, kweli upo na watu wanafanya... Excel unataka....?

mkuu mwaka data tuzidi kujifunza zaidi..

mimi nilishawahi onana uso kwa uso na VIBWENGO! (kwa wakazi wa tanga nadhani wamenielewa hapa!!)

huyu sijui ni shetani ama ni agent wa shetani? mi sielewi aisee!!

kwa kifupi tu shetani.. siwezi sema zaidi kwa sababu hata katika maombi huwa tunasema ''shetani toka, wala hatusemi agent wa shetani toka''! lols!
 
ok, asante...

hivi ulishawahi kusikia cases mbalimbali za wanafunzi kulalamika kuwa wanaona karatasi imegeuka kuwa nyeusi na maandishi hayaonekani?

sorry kwa hili swali, ulishawahi kuishi katika mazingira ya vijiji ambako elimu hakuna kabisa kabisa?

sijawahi kuishi kijijini na siamini ushirikina!
 
Back
Top Bottom