mkuu sasa kwanini watu hawataki kuamini uchawi kuwa uchawi upo katika elimu???
ngoja niombe maoni zaidi...
Arushaone,
Lady doctor,
MziziMkavu,
mwekundu,
Mtambuzi,
Mr Rocky,
Palomaaaaa!! (lols, you know why i called you so!)
Mlachake,
sosoliso,
uran,
kiwatengu,
shansarie,
amu,
Preta,
ram,
lusungo,
Dinazarde,
JERRY msigwa,
bily,
farkhina,
Mshinga,
mpigamsuli,
Dr. mo,
Mr Rocky..
hoja inayojadiliwa hapa ni kwamba...
je, uchawi upo katika elimu/masomo?
mwanafunzi anaweza kufaulu kweli kwa kutegemea uchawi?? inawezekana vipi akili ya mwanafunzi ihamishwe kimazingara na kuwekwa kwa mwanafunzi mwingine?? je mnaamini haya kama yapo ama hayapo??
je, katika mazingira yenu mnayoishi, ama kwa jirani, ndugu na jamaa, vitendo kama hivi vilishawahi tokea?
karibuni wakuu...