sijawahi kuishi kijijini na siamini ushirikina!
mkuu sasa kwanini watu hawataki kuamini uchawi kuwa uchawi upo katika elimu???
ngoja niombe maoni zaidi... Arushaone, Lady doctor, MziziMkavu, mwekundu, Mtambuzi, Mr Rocky, Palomaaaaa!! (lols, you know why i called you so!) Mlachake, sosoliso, uran, kiwatengu, shansarie, amu, Preta, ram, lusungo, Dinazarde, JERRY msigwa, bily, farkhina, Mshinga, mpigamsuli, Dr. mo, Mr Rocky..
hoja inayojadiliwa hapa ni kwamba...
je, uchawi upo katika elimu/masomo?
mwanafunzi anaweza kufaulu kweli kwa kutegemea uchawi?? inawezekana vipi akili ya mwanafunzi ihamishwe kimazingara na kuwekwa kwa mwanafunzi mwingine?? je mnaamini haya kama yapo ama hayapo??
je, katika mazingira yenu mnayoishi, ama kwa jirani, ndugu na jamaa, vitendo kama hivi vilishawahi tokea?
karibuni wakuu...
Kwani uchawi upo kijijini tuu?
mkuu mwaka data tuzidi kujifunza zaidi..
mimi nilishawahi onana uso kwa uso na VIBWENGO! (kwa wakazi wa tanga nadhani wamenielewa hapa!!)
huyu sijui ni shetani ama ni agent wa shetani? mi sielewi aisee!!
kwa kifupi tu shetani.. siwezi sema zaidi kwa sababu hata katika maombi huwa tunasema ''shetani toka, wala hatusemi agent wa shetani toka''! lols!
wajua Excel na frankclemence, matatizo yameumbiwa watu, na hatuna jinsi kuyakabili, iliwahi kunitokea muda kidogo binti mmoja alitaka nimuoe wakti yeye alikuwa mpango kando, sasa baada ya kukataa na kumpiga chini ndio tatizo likaanza hapo, basi dushelele likagoma tibia sana wapi nusu ndoa iteteleke jamaa yangu, sasa dingi yangu akaniambia njoo home, nikafika natukaenda sehemu ambapo huwa kule ndio uvumbuzi mpya unapotolewa ndio nikakuta mambo.Toa experience Hapa acha fiction
wajua Excel na frankclemence, matatizo yameumbiwa watu, na hatuna jinsi kuyakabili, iliwahi kunitokea muda kidogo binti mmoja alitaka nimuoe wakti yeye alikuwa mpango kando, sasa baada ya kukataa na kumpiga chini ndio tatizo likaanza hapo, basi dushelele likagoma tibia sana wapi nusu ndoa iteteleke jamaa yangu, sasa dingi yangu akaniambia njoo home, nikafika natukaenda sehemu ambapo huwa kule ndio uvumbuzi mpya unapotolewa ndio nikakuta mambo.
tatizo langu lilikuwa dogo sana, wakati naongea vijana wa yule mzee ambao waumri wetu wakawa wananicheka, dawa ilikuwa mizizi na kakukuu basi...
sasa issue ikaja simu ikapigwa na yule mjomba akapokea jamaa anataka atumiwe dawa kuna mtu anamsumbua mkewe anataka kumkomesha, mtaalamu akakataa sababu lilikuwa ni bomu ambalo akikosea anaondoka yeye mwenyewe... baada ya simu nikaanza kumdadisi mzee pale nini hicho akasema TEGO, Excel tego unalijua.....?
basi jamaa alifafanua......
wajua Excel na frankclemence, matatizo yameumbiwa watu, na hatuna jinsi kuyakabili, iliwahi kunitokea muda kidogo binti mmoja alitaka nimuoe wakti yeye alikuwa mpango kando, sasa baada ya kukataa na kumpiga chini ndio tatizo likaanza hapo, basi dushelele likagoma tibia sana wapi nusu ndoa iteteleke jamaa yangu, sasa dingi yangu akaniambia njoo home, nikafika natukaenda sehemu ambapo huwa kule ndio uvumbuzi mpya unapotolewa ndio nikakuta mambo.
tatizo langu lilikuwa dogo sana, wakati naongea vijana wa yule mzee ambao waumri wetu wakawa wananicheka, dawa ilikuwa mizizi na kakukuu basi...
sasa issue ikaja simu ikapigwa na yule mjomba akapokea jamaa anataka atumiwe dawa kuna mtu anamsumbua mkewe anataka kumkomesha, mtaalamu akakataa sababu lilikuwa ni bomu ambalo akikosea anaondoka yeye mwenyewe... baada ya simu nikaanza kumdadisi mzee pale nini hicho akasema TEGO, Excel tego unalijua.....?
basi jamaa alifafanua......
nimejibu nilichoulizwa....soma vizuri kabla hujamquote mtu....muulize Excel kama uchawi upo kijijini tu coz yeye ndo alouliza!!hata ukiwepo mbuyuni mi siamini 🙂
mkuu sasa kwanini watu hawataki kuamini uchawi kuwa uchawi upo katika elimu???
hoja inayojadiliwa hapa ni kwamba...
je, uchawi upo katika elimu/masomo?
mwanafunzi anaweza kufaulu kweli kwa kutegemea uchawi?? inawezekana vipi akili ya mwanafunzi ihamishwe kimazingara na kuwekwa kwa mwanafunzi mwingine?? je mnaamini haya kama yapo ama hayapo??
je, katika mazingira yenu mnayoishi, ama kwa jirani, ndugu na jamaa, vitendo kama hivi vilishawahi tokea?
karibuni wakuu...
mkuu mwaka data tuzidi kujifunza zaidi..
mimi nilishawahi onana uso kwa uso na VIBWENGO! (kwa wakazi wa tanga nadhani wamenielewa hapa!!)
huyu sijui ni shetani ama ni agent wa shetani? mi sielewi aisee!!
kwa kifupi tu shetani.. siwezi sema zaidi kwa sababu hata katika maombi huwa tunasema ''shetani toka, wala hatusemi agent wa shetani toka''! lols!
Toa experience Hapa acha fiction
ushawahi kusikia watu wamegandana, au umesikia jamaa akikutana na mwanamke mwingine dushelele, basi huo ni mfanowe,na mengine mengi, kuna bomu linawekwa katika ganda la risasi, ni balaa! sasa waonaje siku moja twende tukapate elimu huko Excel...?dah.. mkuu kwanza pole kwa majanga yaliyokukuta... ama kweli dunia ina mengi!
ndugu yangu hilo TEGO huwa nalisikia, kuwa ukishanasa tu hutoki...
zaidi na zaidi sijafahamu inakuwa vipi! naomba unipe ufafanuzi!
mkuu asante kwa mchango wako! i am impressed for sure..
tukirudi katika suala hili hili la elimu, unataka kuniambia kwamba through that confidence, wanafunzi wanaopewa uchawi wanakuwa better zaidi ya wale ambao hawatumii?
mkuu naomba tu nikuulize swali! kwanini huamini uchawi?
kwanini unasema uchawi haupo wakati vitabu vya dini vinaukubali kuwa upo?
mkuu refer picha niliyotumia kuongeza mvuto wa habari yangu!
namaanisha uchawi wa kurogana kutoka kwa waganga wa kienyeji!
ushawahi kusikia watu wamegandana, au umesikia jamaa akikutana na mwanamke mwingine dushelele, basi huo ni mfanowe,na mengine mengi, kuna bomu linawekwa katika ganda la risasi, ni balaa! sasa waonaje siku moja twende tukapate elimu huko Excel...?
Nimeziona mkuu asanteutafiti ulishafanyika mkuu.. kuna watu tayari wanazo hizo profession ndio maana nikauliza mawazo yenu hapa..
hebu ona hizi category hapa...
angalia kwenye kipengele cha wateja wengine wa uchawi.. mwanafunzi yuko namba nne...
cc.. utafiti