DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,610
- 17,839
Yeah Tatizo wanataka kung'ang'ania Kazi za Taaluma zingine..Asante daktari .
Case closed .
Bora Angesema Mtu aliyesoma Clinical pharmacy ningemuelewa
Yeah Tatizo wanataka kung'ang'ania Kazi za Taaluma zingine..Asante daktari .
Case closed .
Safi sanaUmeusemea vyema mjadala:
1: Kila mmoja ni muhimu kwa mwenzake.
2: Kila mmoja amesoma masomo ya mwenzake ila akijielekeza zaidi kwenye sehemu yake.
3: Wote wanakutana katikati katika kumhudumia mgonjwa.
4: Kazi ya mfamasia si kugawa dawa tu kama watu wanavyowatizama. Wafamasia ni sehemu ya drug molecules development/ugunduzi wa dawa.
5: Wafamasia ni watu wanaotakiwa kufanya compounding of molecules/kutengeneza michanganyiko ya dawa kulingana na mahitaji ya taasisi husika kwa usalama.
6: Mfamasia ni sehemu ya mnyororo wa manunuzi ya dawa na vifaa tiba kwa taasisi.
7: Mfamasia ni srhemu ya mnyororo wa utunzaji salama wa dawa na vifaa tiba.
8: Mfamasia ni mratibu wa matumizi ya dawa na vifaa tiba.
9: Mfamasia ni mratibu wa makosa yasiyokamilika/near miss kwenye utoaji wa tiba.
10: Mfamasia ni mratibu wa mpangilio wa dawa kwenye eneo la kazi.
11: Mfamasia ni mratibu wa madhira tarajiwa na yasiyotarajiwa ya dawa kwenye eneo lake.
12: Mfamasia ni mtoa elimu ya matumizi ya dawa kwa wateja anaowahudumia.
13: Nk.👇
Hivyo, hawa watu wanahitajiana sana. Mtu mmoja kutokutekeleza au kuzembea majukumu si sababu ya kulaumu fani nzima au kuishusha thamani na kinyume chake.
Kutokupata nafasi ya kutimiza majukumu yako kifasaha si sababu ya kuhitaji kazi nyingine kutoka fani tofauti. Tujitahidi kuelewa majukumu ya watu kabla ya kuwajadili na kutoa hitimisho.
Ukiondoa majivuno ya kibinadamu, mfamasia ana nafaai ya kumshauri daktari na daktari ana nafasi ya kumshauri mfamasia. Ni suala la uelewa tu.
Hiyo TGHS D ni sawa na TGS D au inakuwa juu kidogo.STAY ON YOUR JOB DESCRIPTION
View attachment 2819752
Serikali ina wajibu wa kuwawezesha wasomi wake ikiwa ni pamoja na kuwapa mikopo ili waweze kuanzisha viwanda! Aidha serikali ina wajibu wa kuwakaribisha wawekezaji wakubwa wenye makampuni ya madawa kuanzisha matawi ya makampuni yao hapa nchini!Sasa viwanda vyenyewe havipo tufanyeje?
TGS D sio sawa na TGHS DHiyo TGHS D ni sawa na TGS D au inakuwa juu kidogo.
Kutest dawa as How?ila na mimi naona kama mtoa mada ana hoja,
ila kwanini Pharmacist wasipewe mchakato mzima wa kuanzia ku test dawa, kuotesha wadudu wa ugonjwa, kumimini solution ya dawa , ku test wadudu wamekufa wangapi, kupima ni moles ngapi za compound fulani zimeuwa wadudu wenye miligramu ngapi. kisha ku develop equation ya hiyo reaction. kisha wakafundishwa kwenye real world ni udongo gani ambao una tabia ambazo unaweza kuuchimba sehemu na kuu- subject kwenye equation hiyo zikazalisha dawa ?
Wewe jamaa umemuelekeza kwa hekima sana.Dah Mkuu umesoma Chuo gani ambacho kinakushindwa kujua kuwa...
Wote Daktari na Mfamasia Husoma Pharmacy ila tu Daktari husoma kwa Kiasi kile kimachohusiana na Mgonjwa...
Daktari hubase katika pharmacokinetics na kidogo Pharmacodynamics na Pharmacognosy
na mfamasia hu base kwenye Pharmacodynamics sana na pharmacognosy sana kuliko Daktari...
na ndo Maana daktari hawezi kuelelezea Dawa Ya Amoxycilne imatengenezwaje kwa sababu Hakusoma Pharmacognosy ila Ukimuuliza Dawa inafanyaje kazi kwa Mwili wa Binadamu atakuelezea mpaka inapotolewa na hata madhara yale hutokea vipi...
kwahyo usipotoshe umma Kuwa Kwenye Dawa Daktari hajui...
Japo mfamasia hajui How we Prescribe dawa na Dose maintanance na Kujua Dx ,Hx na Mx..
unaweza ukajua Dawa DUNIA NZIMA ZINATENGENEZWAJE NA ZINAKUWAJE DAWA LAKINI UKASHINDWA KUJUA DAWA GANI INAFAA KWA MGONJWA..
NB: BAHATI MBAYA MGONJWA HATAKI KUJUA DAWA INATENGENEZWAJE NA WAPI NA IMETOKANA NA NINI ANAACHOTAKA NI KUPONA NA DAWA IMLETEE MATOKEO MAZURI
Kama umesoma vyema, hakuna anaeweza kusema ni muhimu zaidi kuliko mwingine. Wote tunashirikiana.Naam mkuu,tusaidie kuchambua na mchango wa Watu wa Maabara upoje katika tiba.
HahahahUliwahi kuona nchi gani hili? Mfamasia anaweza kukupa Dawa tofauti na aliyokuandikia daktari kama mbadala, mfano hata wewe unajuwa mtu akihitaji coca cola kama huna utampa Pepsi, Wafamasia wanajuwa vizuri Equivalent.
Alokwambia mtu anaweza kudiagnose akimaliza mwaka wa 2 ni nani?Hata pharmacist anasoma diagnosis first year na second year
Watu wa afya mnapenda kugombana na kulumbanalumbana
Nimewahi kuwaza hili ingawa Mimi siko kwenye tasnia ya afya.
Anayeandika au kuamuru mgonjwa atumie dawa ipi ni doctor, anayeamua mgonjwa atumie vipi dawa ni doctor. Sasa rule ya pharmacist ni nini?
😂😂😂😂😂😂😂Daah miaka 4 kugawa panadol nomaa sana
😂😂😂😂😂😂😂Kama watu wamavyo mu underate MTU anaesomea food science au human nutrition, (huku mtaani wanaitwa mama ntilie)
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mambo ya afya bhana.. "dayagonosisi famakoloji"