Hivi kweli, mfumo dume si ni laana ya mwanamke?

honsetly NO. unaweza kunisaidia tafadhali?

Blaine Kama hujui mbona ulisema hujali unyenyekevu ila kuheshimiana......................kwani tofauti iko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Hahaha karne ya 21 hii, baby. Kwenye hicho chama mtakuwa Wewe na nani? Zinjanthropus ? Cave men?



quote_icon.png
By Rutashubanyuma

HoneyBee..tunahitaji chamacha wanaumme kutetea mfumo dume..........vingineyo hii kabali ya hawa wadada hatujikwamui hata chembe

HoneyBee Zinjathropus naye si ni mtu pia kama kweli aliwahi kuishi humu duniani?.....na cavemen si wapo iko shida gani....................ili mrai tuendelee kutetea haki zetu
 
Last edited by a moderator:
nakumbuka zamani ukikaza demu lazim a uwe juu....hii leo mashori nao wanakaa juu yako eti.....wanaume mmewaruhusu wenyewe......
 
unajua mambo mengine ni mfumo wa maisha na sababu za kibaologia unasababisha mambo yawe kama yanavyokuwa mbona hawadai vitani waende front line au utakuta usiku mwanamke akienda dukani atajisia amani hata akisindikzwa hata na mtoto wa kiume wamiaka 5
 
nakumbuka zamani ukikaza demu lazim a uwe juu....hii leo mashori nao wanakaa juu yako eti.....wanaume mmewaruhusu wenyewe......

aisee hii kali hapa imebidi ni comment tu maana huwa nafikiria hilo sana bora kifo cha mende kuendelea kumkandamiza mwanamke..
 
Na kwenye kutoa pesa na kuwatunza wake zenu MUWE MSTARI WA MBELE HIVIHIVI sio masuala ya kiuchumi mnajivua gamba na kutaka michezo kisasa ya cost sharing!

Mwanume hana lolote kimbelembele ndo yake haiba
Vitabu vitukufu kaandika yeye, basi hakusita ukubwa kuubeba
Kumdidimiza mwenzie ili hali sote binadam ndo wake ujuba
Ukimchuna utapunguza machungu si haba
Wanaume walikuwa zamani siku hizi migumegume

Mleta mada nyimbo zimekuisha huna sera
Wanaume wa siku hizi migumegume isiyo na sera
Ndoa zimeshinda wazikimbia kutwa kukwea mipera
Wassio oa wagoma gomo kuachana na ukapera
Wanaume walikuwa zamani siku hizi migumegume

Kuzaliwa mwanamke tayari ni mtaji tosha
Waishi kwa raha wala huna haja ya kujichosha
Ukiolewa ukiona shida shida wasema babu yatosha
Warudi kwenu hukawii kumpta utayemtosha
Wanaume walikuwa zamani siku hizi migumegume

lara kumbe nawe upo vizuri, chukua LIKE
 
[h=2][/h]
nakumbuka zamani ukikaza demu lazim a uwe juu....hii leo mashori nao wanakaa juu yako eti.....wanaume mmewaruhusu wenyewe......

Yo Yo Iko shida sana hapo
 
Last edited by a moderator:
aisee hii kali hapa imebidi ni comment tu maana huwa nafikiria hilo sana bora kifo cha mende kuendelea kumkandamiza mwanamke..

ndetichia.......kumkandamiza kwa kumpa maraha?
 
Last edited by a moderator:
unajua mambo mengine ni mfumo wa maisha na sababu za kibaologia unasababisha mambo yawe kama yanavyokuwa mbona hawadai vitani waende front line au utakuta usiku mwanamke akienda dukani atajisia amani hata akisindikzwa hata na mtoto wa kiume wamiaka 5

englibertm.......wapingao mfume dume ni wale ambao wanakodolea macho chapaa na mkate tu siyo majukumu kama hayo.............
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma enzi za mfumo dume zilishapita,
kwani haujajua kuwa wanawake siku hizi tuko juu.

Mamndenyi Tangia lini neno la Muumba likapitwa na wakati?........................mkiwa juu ujue kivuno ni upweke, makonzi mnapokuwa kwenye mahusiano au hata nyumba ndogo yabidi uivumilie ambayo itatambua kuwa mfumo dume udumishwe.......................................lol
 
Last edited by a moderator:
Mwanamalenga Rutashubanyuma nakubaliana na wewe kuwa Mwanamke hawezi kuwa sawa na Mwanamke japo sote tu viumbe tulioumbwa na Mungu lakini Mwenyezi Mungu alitupa uwezo na majukumu tofauti. Naona tabu si mfumo dume bali Wanaume wanaoabuse mfumo huo kwa kutokuwa responsible enough na kutambua uzito wa jukumu walilopewa

Jukumu lao ndio heshima yao..wengine hawataki kutimiza majukumu, lakini heshima wanaitaka itakuwa NGUMU!!
 
my dear ukiprovide, protect utapikiwa, utafuliwa mpk chupi! lakini ukianza cost sharing sahau kufanyiwa hayo, so kila mtu ajue role yake! nilisoma na mmama mkorofi sana mpk walimu walimjua lakini kwa mme wake alikuwa tofauti kabisa alikuwa mpole na mnyenyekevu anapika na kufua na kupasi, nilimuuliza mbona mpole kwa mmeo aliniambia toka aolewe kuanzia chakula, mavazi, nywele, mafuta ya gari, ada z watoto ni mmewe anaprovide! akisikia kuna shida kwa mkewe anasaidia akaniambia asipomuheshimu na kumpenda huyo mmewe hata Mungu atamlaani! ni msomi huyo mama ana masters na mme anamtafutia PhD! aliniambia hakuna mwanamke ujue jinsi ya kumtuliza tu! ni mkikuyu tena wa nyeri wajulikanao kwa ukorofi!

Wewe ndo umetoa jawabu, kuna mmoja analalamika mkewe hataki cost sharing..natamani angesoma comment hii, siku zote RESPECT IS EARNED na hii haijalishi wewe ni mume au ni baba You have to fullfill your RESPONSIBILITIES, vinginevyo malumbano na misongamano haitakoma
 
Ruta na mzabzab mkapimwe,kila mada mnayoitoa ni kuwaweka chini wanawake na nyie kutaka kujulikana km vidume mnh
 
Ingekua wanaume wa zamani ndo wa sasa basi i would have been so dedicated to support these,kama ndo hawa wa sasa,no way!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom