Aragorn son of Arathorn
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 789
- 825
Pasco, Mtanzania Atakae Ichagua Ccm Iwe Kwa Bao La Mkono! Au Bao La Kalio! Inabidi Apimwe Akili!
hivi kweli kuna Mtanzania, mwenye akili zake timamu, anayefahamu maana halisi ya maendeleo, tangu tulipopata uhuru, tulikuwa na rasilimali gani, tungepaswa kuwa wapi, na kulinganisha na hapa tulipo sasa, halafu ukaelezwa sababu ya sisi Tanzania kuwa hapa tulipo, ni CCM, then hivi kuna Mtanzania kweli, mwenye akili zake timamu, bado ataichagua CCM?!.
Nawatakia uchaguzi mwema hapo kesho.
Pasco
Watu wanapiga sana kelele kumhusu Magufuli!. He is our choice, tulimchagua wenyewe, lazima sasa tumvumilie anapolinyoosha taifa hili!.Wanabodi, zikiwa zimabaki siku 14 tufanye uchaguzi wetu, naomba kuuliza, hivi kweli kuna Mtanzania, mwenye akili zake timamu, anayefahamu maana halisi ya maendeleo, tangu tulipopata uhuru, tulikuwa na rasilimali gani, tungepaswa kuwa wapi, na kulinganisha na hapa tulipo sasa, halafu ukaelezwa sababu ya sisi Tanzania kuwa hapa tulipo, ni CCM, then hivi kuna Mtanzania kweli, mwenye akili zake timamu, bado ataichagua CCM?!.
Hili ni swali tuu!.
Mimi si miongoni mwa wale wanaodai CCM haikafanya kitu, no!, CCM imefanya mengi mazuri, but it is not enough!, Tanzania tuko hapa tulipo, kwa sababu kuna things CCM should have done, but it didn't, as a result, ndio tuko hapa tulipo!, ila kwa kumsikiliza Magufuli, you can see his genuinity to change things for the better, tatizo ni CCM!.
Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali
Viroba vina shida gani mkuu huoni kuwa vinatumika kuifadhia nafaka kwaajili ya chakula?Hivi kuna mtanzania mwenyee akili zake ambazo sio za viroba aache kuchagua ccm...... jibu hayupo...... ila wa viroba wapo.... na viroba vinapgwa marufuku sooon sijui itakuwajeeeee
mmmh tawireViroba vina shida gani mkuu huoni kuwa vinatumika kuifadhia nafaka kwaajili ya chakula?
bado huwa najiuliza hili swali!.
P.
Ukiwa na Ubongo timamu uliobeba akili timamu zinazofanya kazi kwa utimamu wake, akili timilifu, HUWEZI KUISHABIKIA CCM.
Unachotakiwa kujua ni kwamba huwezi kuwa na akili timamu na bado ukaishabikia CCM.Badala yake utashanikia chama gani?
Kama una akili timamu onesha ni wapi nimeitaja BAVICHA kwenye bandiko langu.Kuwa bavicha ndio kipimo Cha utimamu!!!punguzeni kuandika ushuzi
Amesisimkwa.Kama una akili timamu onesha ni wapi nimeitaja BAVICHA kwenye bandiko langu.
Ccm ndiko kuna brain,huko kwingine ni kujitafutia pressureUnachotakiwa kujua ni kwamba huwezi kuwa na akili timamu na bado ukaishabikia CCM.
Bora NLD cha Hashim Rungwe.
Twaweza tuwaombe wathibitishe hili.Ccm ndiko kuna brain,huko kwingine ni kujitafutia pressure
You could have a brain, but malfunctioning.Ccm ndiko kuna brain,huko kwingine ni kujitafutia pressure