Nimesikitika sana kusikia kwamba wizara ya miundo mbinu ya Tanzania na wale wa Zambia wako china kujaribu kutafuta menejimenti ya kuendesha shirika.
Najiuliza swali moja, hivi kweli ktk watanzania milioni 36 hakuna wasomi wazuri wa kuweza kuiendesha TAZARA? Mbona Dk. Charles Kimei ameweza kuiendesha CRDB mpaka sasa ni benki bora Tanzania?
Tatizo la Tanzania nafikiri siyo wataalamu ila ni wanasiasa kuingilia maamuzi ya kitaalam. Sasa wanaJF sijui tufanye nini ili watawala wetu wawe na akili ya kutumia wataalam wetu na wasiwaingilie ktk maamuzi??
Najiuliza swali moja, hivi kweli ktk watanzania milioni 36 hakuna wasomi wazuri wa kuweza kuiendesha TAZARA? Mbona Dk. Charles Kimei ameweza kuiendesha CRDB mpaka sasa ni benki bora Tanzania?
Tatizo la Tanzania nafikiri siyo wataalamu ila ni wanasiasa kuingilia maamuzi ya kitaalam. Sasa wanaJF sijui tufanye nini ili watawala wetu wawe na akili ya kutumia wataalam wetu na wasiwaingilie ktk maamuzi??