Humphrey Polepole, ndugu zako wanasiasa wenye chuki na wewe pamoja na wataalamu wa Afya wanasema kuingiza dawa ambazo hazijasajiliwa nchini ni ndoto

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Pole pole anapiga kazi , ana uwezo wa kujenga hoja na anayo maono makubwa kuhusu kesho ya Tanzania.

Kwa akili alizonazo hawezi kukubalika ndani ya CCM kirahisi na mwisho wa siku watampiga Majungu hata nafasi yake ya Ubalozi apokonywe. Waliona akiwa Malawi anafaidi wakampeleka Cuba . Amefika Cuba ametulia na kufanya mazungumzo na mamlaka husika na zimemwelewa, amepata fursa ya kuleta dawa tiba kwa watanzania.

Kuonyesha wana CCM walivyo na wivu na chuki, imemlazimu yeye binafsi afanye mazungumzo na hospitali ya Kairuki na kuwaomba wenye hospital nyingine wamtumie majina ya wagonjwa. Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono. Maana yake wapo watu wanajadili namna yakumkwamisha kwa kisingizio cha taratibu za kuingiza dawa nchini.

Watafanya hivyo kumkwamisha kwa sababu wao siyo wahanga wa magonjwa haya manne anayowaza kutusaidia mdogo wetu Polepole. Wapo watu wizara ya Afya watataka waende Cuba kujiridhisha na dawa hizi kwa gharama za serikali au cuba , jiulize kama hizo dawa hazipo nchini wao walizosomea wapi hadi wakazifanyie uchunguzi?

Nimeandika haya kwa sababu kwenye moja ya droup la whatsapp nimeona kiongozi mmoja Mwanza mwenye taaluma ya dawa akisema Polepole hatofanikiwa kwenye mpango wake kwa sababu hizo dawa anqzosema hazijasajiliwa na Mamlaka za Tanzania na kwamba serikali haiwezi kuziruhusu ziingie nchini. Pia ameongeza hakuna dawa zinaingizwa nchini kwa sababu tu balozi kaomba, dawa zinatakiwa zifanyiwe utafiti na wataalam wetu aidha kwa wao kwenda Cuba au sample kuletwa Tanzania. Haya mawazo ndiyo mtizamo wa wasomi wengi wa Afya, ndio mtizamo wa washauri wa serikali kwamba wao dawa hawana lakini wanataka wapewe wazichunguz3....Pole pole usikate tamaa tunahitaji msaada huu wa tiba kwa ajili ya ndugu zetu. Ila fanyia utafiti vikwazo vinavyotarajiwa kuwekwa na wanasiasa wenzako kukuzina mdomo na kukufanya uonekane umewalaghai wananchi.
 
Mfumo wa Usajili wa vizazi na vifo kwa njia ya mtandao (Erita) unasumbua sana karibu wiki mbili wamekuwa hawafanyii kazi taarifa zinazotumwa.

ukizingatia shule zinakaribia kufungukiwa na usajili wa watoto shuleni unakarbia kufungwa lakini RITA wamekuwa wazito kushughurikia vyeti naomba wenye mamlaka wafanye haraka ili watoto waweze kusajiliwa mapema shuleni
 
Pole pole anapiga kazi , ana uwezo wa kujenga hoja na anayo maono makubwa kuhusu kesho ya Tanzania.

Kwa akili alizonazo hawezi kukubalika ndani ya CCM kirahisi na mwisho wa siku watampiga Majungu hata nafasi yake ya Ubalozi apokonywe. Waliona akiwa Malawi anafaidi wakampeleka Cuba . Amefika Cuba ametulia na kufanya mazungumzo na mamlaka husika na zimemwelewa, amepata fursa ya kuleta dawa tiba kwa watanzania.

Kuonyesha wana CCM walivyo na wivu na chuki, imemlazimu yeye binafsi afanye mazungumzo na hospitali ya Kairuki na kuwaomba wenye hospital nyingine wamtumie majina ya wagonjwa. Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono. Maana yake wapo watu wanajadili namna yakumkwamisha kwa kisingizio cha taratibu za kuingiza dawa nchini.

Watafanya hivyo kumkwamisha kwa sababu wao siyo wahanga wa magonjwa haya manne anayowaza kutusaidia mdogo wetu Polepole. Wapo watu wizara ya Afya watataka waende Cuba kujiridhisha na dawa hizi kwa gharama za serikali au cuba , jiulize kama hizo dawa hazipo nchini wao walizosomea wapi hadi wakazifanyie uchunguzi?

Nimeandika haya kwa sababu kwenye moja ya droup la whatsapp nimeona kiongozi mmoja Mwanza mwenye taaluma ya dawa akisema Polepole hatofanikiwa kwenye mpango wake kwa sababu hizo dawa anqzosema hazijasajiliwa na Mamlaka za Tanzania na kwamba serikali haiwezi kuziruhusu ziingie nchini. Pia ameongeza hakuna dawa zinaingizwa nchini kwa sababu tu balozi kaomba, dawa zinatakiwa zifanyiwe utafiti na wataalam wetu aidha kwa wao kwenda Cuba au sample kuletwa Tanzania. Haya mawazo ndiyo mtizamo wa wasomi wengi wa Afya, ndio mtizamo wa washauri wa serikali kwamba wao dawa hawana lakini wanataka wapewe wazichunguz3....Pole pole usikate tamaa tunahitaji msaada huu wa tiba kwa ajili ya ndugu zetu. Ila fanyia utafiti vikwazo vinavyotarajiwa kuwekwa na wanasiasa wenzako kukuzina mdomo na kukufanya uonekane umewalaghai wananchi.
Kwa nini Polepole anataka atumiwe majina ya wagonjwa??
 
Umeandika: ''Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono.''
Ewe chawa wa Polepole, kwanini ni lazima wizara imuunge mkono kwenye mitandao? Anyways, hawa ndiyo CCM, kila kitu kinafanyika ili mtu apate au asipate umaarufu. Hakuna ambaye anafanya jambo kwa moyo wa kweli. Nchi hujengwa na wenye moyo na siyo wataka vyeo. CCM wote wanafanya mambo kwa kutaka vyeo. Hii ni hatari sana wasipoondolewa kwenye uongozi wa nchi.
 
Ubalozi unatakiwa kuendeshwa kama ofisi ya nchi sio ya mtu binafsi, yeye Polepole kama kuna dawa amezigundua huko Cuba zinafanya vizuri na ameona zina umuhimu sana kwa raia wa Tanzania anachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na Wizara ya Afya na watengeneze utaratibu wa hizo dawa kuuzwa hapa nchini kama vile dawa nyingine kutoka India n.k zinavyouzwa.
#Tusipende kiki na drama za wanasiasa.
 
Pole pole anapiga kazi , ana uwezo wa kujenga hoja na anayo maono makubwa kuhusu kesho ya Tanzania.

Kwa akili alizonazo hawezi kukubalika ndani ya CCM kirahisi na mwisho wa siku watampiga Majungu hata nafasi yake ya Ubalozi apokonywe. Waliona akiwa Malawi anafaidi wakampeleka Cuba . Amefika Cuba ametulia na kufanya mazungumzo na mamlaka husika na zimemwelewa, amepata fursa ya kuleta dawa tiba kwa watanzania.

Kuonyesha wana CCM walivyo na wivu na chuki, imemlazimu yeye binafsi afanye mazungumzo na hospitali ya Kairuki na kuwaomba wenye hospital nyingine wamtumie majina ya wagonjwa. Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono. Maana yake wapo watu wanajadili namna yakumkwamisha kwa kisingizio cha taratibu za kuingiza dawa nchini.

Watafanya hivyo kumkwamisha kwa sababu wao siyo wahanga wa magonjwa haya manne anayowaza kutusaidia mdogo wetu Polepole. Wapo watu wizara ya Afya watataka waende Cuba kujiridhisha na dawa hizi kwa gharama za serikali au cuba , jiulize kama hizo dawa hazipo nchini wao walizosomea wapi hadi wakazifanyie uchunguzi?

Nimeandika haya kwa sababu kwenye moja ya droup la whatsapp nimeona kiongozi mmoja Mwanza mwenye taaluma ya dawa akisema Polepole hatofanikiwa kwenye mpango wake kwa sababu hizo dawa anqzosema hazijasajiliwa na Mamlaka za Tanzania na kwamba serikali haiwezi kuziruhusu ziingie nchini. Pia ameongeza hakuna dawa zinaingizwa nchini kwa sababu tu balozi kaomba, dawa zinatakiwa zifanyiwe utafiti na wataalam wetu aidha kwa wao kwenda Cuba au sample kuletwa Tanzania. Haya mawazo ndiyo mtizamo wa wasomi wengi wa Afya, ndio mtizamo wa washauri wa serikali kwamba wao dawa hawana lakini wanataka wapewe wazichunguz3....Pole pole usikate tamaa tunahitaji msaada huu wa tiba kwa ajili ya ndugu zetu. Ila fanyia utafiti vikwazo vinavyotarajiwa kuwekwa na wanasiasa wenzako kukuzina mdomo na kukufanya uonekane umewalaghai wananchi.
Pamoja na kazi nzuri ya Polepole, lazima sheria, kanuni na taratibu zinazohusu uingizaji dawa zifuatwe.
Dawa zaweza kusababisha madhara zaidi ya kutibu, hivyo weledi unahitajika na siyo siasa.
 
Pole pole anapiga kazi , ana uwezo wa kujenga hoja na anayo maono makubwa kuhusu kesho ya Tanzania.

Kwa akili alizonazo hawezi kukubalika ndani ya CCM kirahisi na mwisho wa siku watampiga Majungu hata nafasi yake ya Ubalozi apokonywe. Waliona akiwa Malawi anafaidi wakampeleka Cuba . Amefika Cuba ametulia na kufanya mazungumzo na mamlaka husika na zimemwelewa, amepata fursa ya kuleta dawa tiba kwa watanzania.

Kuonyesha wana CCM walivyo na wivu na chuki, imemlazimu yeye binafsi afanye mazungumzo na hospitali ya Kairuki na kuwaomba wenye hospital nyingine wamtumie majina ya wagonjwa. Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono. Maana yake wapo watu wanajadili namna yakumkwamisha kwa kisingizio cha taratibu za kuingiza dawa nchini.

Watafanya hivyo kumkwamisha kwa sababu wao siyo wahanga wa magonjwa haya manne anayowaza kutusaidia mdogo wetu Polepole. Wapo watu wizara ya Afya watataka waende Cuba kujiridhisha na dawa hizi kwa gharama za serikali au cuba , jiulize kama hizo dawa hazipo nchini wao walizosomea wapi hadi wakazifanyie uchunguzi?

Nimeandika haya kwa sababu kwenye moja ya droup la whatsapp nimeona kiongozi mmoja Mwanza mwenye taaluma ya dawa akisema Polepole hatofanikiwa kwenye mpango wake kwa sababu hizo dawa anqzosema hazijasajiliwa na Mamlaka za Tanzania na kwamba serikali haiwezi kuziruhusu ziingie nchini. Pia ameongeza hakuna dawa zinaingizwa nchini kwa sababu tu balozi kaomba, dawa zinatakiwa zifanyiwe utafiti na wataalam wetu aidha kwa wao kwenda Cuba au sample kuletwa Tanzania. Haya mawazo ndiyo mtizamo wa wasomi wengi wa Afya, ndio mtizamo wa washauri wa serikali kwamba wao dawa hawana lakini wanataka wapewe wazichunguz3....Pole pole usikate tamaa tunahitaji msaada huu wa tiba kwa ajili ya ndugu zetu. Ila fanyia utafiti vikwazo vinavyotarajiwa kuwekwa na wanasiasa wenzako kukuzina mdomo na kukufanya uonekane umewalaghai wananchi.
@#Polepole kataa wahuni !!
Watu waadilifu wenye Akili huwa wanabambikwa mikashfa ili watupiliwe mbali ya ulingo wetu !!
 
Kwa comments hizi nadhani tumeelewa tatizo la Watanzania lilipo. Hawa wanaopinga agenda ya pole pole na kuweka urasimu ni wengi sana. Wanaona wivu kwamba kwanini awe polepole na siyo wao waliobuni hii kitu.

Pole pole nimesema ana akili nyingi sana, anafahamu siasa za Tanzania zilivyo na anaelewa fika kwamba anaweza kukwamishwa kwa sababu tu waliopo ofisini hawana ndugu zao wanaumwa.

Babu wa Loliondo alipoanzisha kikombe cha babu hakuna mfamasia wala MSD aliyeweka kikwazo. Pole pole anaposema kuna dawa ambazo watanzania wanazitaka na hazipo nchini he is serious.....wangapi wameenda Cuba na hakuna aliyewahi kutuambia haya? Leo hi wenye fedha ambao wana matatizo ya sukari na vidonda miguuni watakata tiketi kwenda kutibiwa Cuba.......wakifika huko hakuna atakayeuliza sheria na taratibu

Mwenzetu huyu katupa fursa si kwa manufaa yake ni kwa manufaa ya wagonjwa ikiwemo wewe ambaye leo hii ni mzima.....hakuna ajuaye kesho .

Polepole kataa wauni tuletee dawa, naamini Waziri mwenye dhamana na Mhe. Rais wapo positive kwenye hii hoja. Wanaojifanya wataalam walipaswa kwenda Cuba kabla ya wewe kuwaeleza uponyaji uliopo huko
 
Pole pole anapiga kazi , ana uwezo wa kujenga hoja na anayo maono makubwa kuhusu kesho ya Tanzania.

Kuonyesha wana CCM walivyo na wivu na chuki, imemlazimu yeye binafsi afanye mazungumzo na hospitali ya Kairuki na kuwaomba wenye hospital nyingine wamtumie majina ya wagonjwa. Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono. Maana yake wapo watu wanajadili namna yakumkwamisha kwa kisingizio cha taratibu za kuingiza dawa nchini.
Duh...!. Wabongo kwa husda, fitna na majungu.
Nimemsikia Balozi Polepole, amesisitiza utaratibu utafuatwa.
P
 
Nyerere alituambia kuwa maadui wakubwa wa taifa ni maskini, ujinga na maradhi.

Ila alisahau kuwa, kuna maadui wengine waliojificha ambao ni chuki na roho mbaya, hawa maadui wapya ndio sasa wanaliangamiza taifa kuliko chochote.

Adui wa Mwafrica huwa ni mwafrica mwenzie.
Hakuwasahau hao ndugu yangu ila aliwajumuisha katika ahadi za Chama kuwa "Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko." Tabia hizo ni rahisi kuzifuta kuliko kupigana hao maadui wannne.
 
Duh...!. Wabongo kwa husda, fitna na majungu.
Nimemsikia Balozi Polepole, amesisitiza utaratibu utafuatwa.
P
Watu wanapenda sana Wananchi wapate shida, ila formula ya shida ikitoka kwa mlalahoi inatabia ya kuhamia kwa tajiri

Kwenye hili urasimu uondolewe.....taratibu za serikali zina urasimu mkubwa na kwa wageni urasimu uondoa dhamira ya kusaidia wahitaji.

Ila pia wapo watu wanaona tangazo la pole pole kama linakwenda kuwaondolea fursa za biashara .Hawa ndio wengi zaidi
 
Kwa comments hizi nadhani tumeelewa tatizo la Watanzania lilipo. Hawa wanaopinga agenda ya pole pole na kuweka urasimu ni wengi sana. Wanaona wivu kwamba kwanini awe polepole na siyo wao waliobuni hii kitu.

Pole pole nimesema ana akili nyingi sana, anafahamu siasa za Tanzania zilivyo na anaelewa fika kwamba anaweza kukwamishwa kwa sababu tu waliopo ofisini hawana ndugu zao wanaumwa.

Babu wa Loliondo alipoanzisha kikombe cha babu hakuna mfamasia wala MSD aliyeweka kikwazo. Pole pole anaposema kuna dawa ambazo watanzania wanazitaka na hazipo nchini he is serious.....wangapi wameenda Cuba na hakuna aliyewahi kutuambia haya? Leo hi wenye fedha ambao wana matatizo ya sukari na vidonda miguuni watakata tiketi kwenda kutibiwa Cuba.......wakifika huko hakuna atakayeuliza sheria na taratibu

Mwenzetu huyu katupa fursa si kwa manufaa yake ni kwa manufaa ya wagonjwa ikiwemo wewe ambaye leo hii ni mzima.....hakuna ajuaye kesho .

Polepole kataa wauni tuletee dawa, naamini Waziri mwenye dhamana na Mhe. Rais wapo positive kwenye hii hoja. Wanaojifanya wataalam walipaswa kwenda Cuba kabla ya wewe kuwaeleza uponyaji uliopo huko
Inasemekana tangu muda mrefu Cuba ni wataalamu wazuri sana wa matibabu ya binadamu kuliko India na Baadhi ya nchi zilizoendelea.
Hata wagonjwa kutoka ulaya na marekani wanakwenda kutibiwa Cuba sababu mfumo wao wa afya ni bora halafu ni wa gharama nafuu sana ukilinganisha na kwao na Hata kuzidi India , ni kwavile Cuba ni mbali kuliko India ukitokea Africa mashariki .
 
Pole pole anapiga kazi , ana uwezo wa kujenga hoja na anayo maono makubwa kuhusu kesho ya Tanzania.

Kwa akili alizonazo hawezi kukubalika ndani ya CCM kirahisi na mwisho wa siku watampiga Majungu hata nafasi yake ya Ubalozi apokonywe. Waliona akiwa Malawi anafaidi wakampeleka Cuba . Amefika Cuba ametulia na kufanya mazungumzo na mamlaka husika na zimemwelewa, amepata fursa ya kuleta dawa tiba kwa watanzania.

Kuonyesha wana CCM walivyo na wivu na chuki, imemlazimu yeye binafsi afanye mazungumzo na hospitali ya Kairuki na kuwaomba wenye hospital nyingine wamtumie majina ya wagonjwa. Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono. Maana yake wapo watu wanajadili namna yakumkwamisha kwa kisingizio cha taratibu za kuingiza dawa nchini.

Watafanya hivyo kumkwamisha kwa sababu wao siyo wahanga wa magonjwa haya manne anayowaza kutusaidia mdogo wetu Polepole. Wapo watu wizara ya Afya watataka waende Cuba kujiridhisha na dawa hizi kwa gharama za serikali au cuba , jiulize kama hizo dawa hazipo nchini wao walizosomea wapi hadi wakazifanyie uchunguzi?

Nimeandika haya kwa sababu kwenye moja ya droup la whatsapp nimeona kiongozi mmoja Mwanza mwenye taaluma ya dawa akisema Polepole hatofanikiwa kwenye mpango wake kwa sababu hizo dawa anqzosema hazijasajiliwa na Mamlaka za Tanzania na kwamba serikali haiwezi kuziruhusu ziingie nchini. Pia ameongeza hakuna dawa zinaingizwa nchini kwa sababu tu balozi kaomba, dawa zinatakiwa zifanyiwe utafiti na wataalam wetu aidha kwa wao kwenda Cuba au sample kuletwa Tanzania. Haya mawazo ndiyo mtizamo wa wasomi wengi wa Afya, ndio mtizamo wa washauri wa serikali kwamba wao dawa hawana lakini wanataka wapewe wazichunguz3....Pole pole usikate tamaa tunahitaji msaada huu wa tiba kwa ajili ya ndugu zetu. Ila fanyia utafiti vikwazo vinavyotarajiwa kuwekwa na wanasiasa wenzako kukuzina mdomo na kukufanya uonekane umewalaghai wananchi.
Ni sawa na ile kampeni yake ya dawa ya mazalia ya mbu kule kibaha ilivyozimika.
 
Back
Top Bottom