Hivi kwanini Wanajeshi wengi hawampendi Mwl. Nyerere??

Hivi kwanini Wanajeshi wengi hawampendi Mwl. Nyerere??

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,544
Reaction score
7,391
Wanajeshi wengi hasa wale wastaafu na ambao walipigana vita vya Idd Amin hawampendi kabisa Nyerere,nilisikia kwamba baada ya ile vita,serikali ya Marekani ilitoa fedha(baada ya kuona JW wamepigana usiku na mchana hadi wakashinda) kila askari aliyepigana ile vita apewe gari,ila Nyerere akataifisha hela yote kwenye bank moja iliyopo kule South Afrika,je hii ndiyo yaweza kuwa sababu haswa ya jamaa kutopendwa au kuna nyingine???mwenye details amwage hapa...@!!!
 
Wanajeshi wengi hasa wale wastaafu na ambao walipigana vita vya Idd Amin hawampendi kabisa Nyerere,nilisikia kwamba baada ya ile vita,serikali ya Marekani ilitoa fedha(baada ya kuona JW wamepigana usiku na mchana hadi wakashinda) kila askari aliyepigana ile vita apewe gari,ila Nyerere akataifisha hela yote kwenye bank moja iliyopo kule South Afrika,je hii ndiyo yaweza kuwa sababu haswa ya jamaa kutopendwa au kuna nyingine???mwenye details amwage hapa...@!!!

Nenda kwenye eneo linalokufaa la UDAKU. Hili ni jamvi la watu wanaotafakari kabla ya kuchangia maoni au ku-post thread.
 
Duh kila mwanajeshi apewe gari mbona tulikuwa wengi sana au unamaana nyingine, hata wanajeshi wa Marekani waliotoka Iraq sijasikia wameahidiwa kupewa gari.
 
Ni % ngapi ya hao wanajeshi hawakumpenda nyerere?toa hoja kisomi usiwe kama mnywa kahawa wa mitaa ya twiga na jangwani.
 
Unakumbuka aliwaweka kwenye Chama Cha Mapinduzi; na kulikuwa na Mkoa wa Majeshi ambapo kiongozi wake anaweza kuwa captain na meja jeshini anampigia salut huyu captain kicheo ni mdogo lakini tu yuko kwa chama.

Na hakukuna na maslahi na kupanda cheo kama wakati wa Mwinyi Mkapa na Kikwete
 
Wanajeshi wengi hasa wale wastaafu na ambao walipigana vita vya Idd Amin hawampendi kabisa Nyerere,nilisikia kwamba baada ya ile vita,serikali ya Marekani ilitoa fedha(baada ya kuona JW wamepigana usiku na mchana hadi wakashinda) kila askari aliyepigana ile vita apewe gari,ila Nyerere akataifisha hela yote kwenye bank moja iliyopo kule South Afrika,je hii ndiyo yaweza kuwa sababu haswa ya jamaa kutopendwa au kuna nyingine???mwenye details amwage hapa...@!!!
udaku
 
Wanajeshi wengi hasa wale wastaafu na ambao walipigana vita vya Idd Amin hawampendi kabisa Nyerere,nilisikia kwamba baada ya ile vita,serikali ya Marekani ilitoa fedha(baada ya kuona JW wamepigana usiku na mchana hadi wakashinda) kila askari aliyepigana ile vita apewe gari,ila Nyerere akataifisha hela yote kwenye bank moja iliyopo kule South Afrika,je hii ndiyo yaweza kuwa sababu haswa ya jamaa kutopendwa au kuna nyingine???mwenye details amwage hapa...@!!!
huo ni mtazamo wako-
tupe source ya hii habari
 
Amiri Jeshi Mkuu Mwl. Julius Nyerere alikuwa kiongozi anayeheshimiwa na askari na wananchi wake tizama kuanzia dakika ya 6:23 ya clip Amiri jeshi mkuu akiwa mstari wa mbele na pia michango ya wananchi wa kawaida kuanzia dakika ya 9:00 ya clip hii ingawa sipingi kauli yako kuna baadhi ya wanajeshi walikuwa wana mawazo tofauti kama ilivyo kibinadamu.



Uwezo wa Amiri Jeshi Mkuu kujieleza na kuhamasisha umma na jeshi kumpiga adui ulikuwepo:
-Uwezo wa kumpiga tuna
-Nia ya kumpiga adui tunayo
-sababu ya kumpiga tunayo
 
Last edited by a moderator:
hehehe weekend imeanza naona...eti kila mwanajeshi apewe gari...hao wamarekani wakati huo walikuwa wanatoka vietnam ata baiskeli hawakupewa ndio waje wawanunulie watz magari?
 
hehehe weekend imeanza naona...eti kila mwanajeshi apewe gari...hao wamarekani wakati huo walikuwa wanatoka vietnam ata baiskeli hawakupewa ndio waje wawanunulie watz magari?

muulize huyo mwendawazimu. Afadhali angedanganyia kingine, zawadi ya gari kweli? Ulisikia Uganda walienda kukata viuno? Watu wamekatika miguu, wengne hawana mikono afu uwape gari. Ha haa! Afu mtoaji Marekani, ha ha haaaa! Jamaa hata kudanganya halijui, mbumbumbu pure!
 
sasa naanza kuamini wachangiaji wengi humu ni .com,khaaaaa!!!!
 
Nyerere angekuwa na tamaa nahisi angekuwa milionea. Watanzania kipindi kile walikuwa hawana jeuri wala access to information kama sasa; kila kitu ni "kidumu fikra.....". Nyerere alikuwa na power ya kuwaamuru watu na wakatii..But jamaa hakuwahi kutake advantage kwa kupewa heshima kiasi kile (unless kuna ambayo siyajui).

Ila in short hilo swala kwa Nyerere linanipa ugumu kidogo kulikubali. Hata swala la kupanda cheo, watu kibao wamekuwa wakubwa wa jeshi katika kipindi chake. Sema alikuwa strict na uchapaji kazi sasa hapo ndio nahisi chujio lilikuwa kali kwa mtu kupanda cheo.
 
Jamani mnabishana na huyu wa nini?mnapoteza muda wenu bure teh teh teh teh...mnajua kuwa mpo jukwaa la utani na jokes ama mnajibizana naye tu,naona jamaa hajitambui wala msihangaike naye
 
hizi hoja hata kwenye gahawa uzipati! labda wakikaa vichaa kwenye vijiwe vyao! Da "sizinga" una hata mtoto wa kucheza naye??
 
Back
Top Bottom