Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,544
- 7,391
Wanajeshi wengi hasa wale wastaafu na ambao walipigana vita vya Idd Amin hawampendi kabisa Nyerere,nilisikia kwamba baada ya ile vita,serikali ya Marekani ilitoa fedha(baada ya kuona JW wamepigana usiku na mchana hadi wakashinda) kila askari aliyepigana ile vita apewe gari,ila Nyerere akataifisha hela yote kwenye bank moja iliyopo kule South Afrika,je hii ndiyo yaweza kuwa sababu haswa ya jamaa kutopendwa au kuna nyingine???mwenye details amwage hapa...@!!!