Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,422
- 21,115
- Thread starter
- #41
Yami umngane woza PMnajua sentensi mbili tu.....omkonto we sizwe.....na.....sawubhona.....yebhoo...wena
Yami umngane woza PMnajua sentensi mbili tu.....omkonto we sizwe.....na.....sawubhona.....yebhoo...wena
huko pm ntakuangusha mkuu mi hata blantyre sijafikaYami umngane woza PM
Udinga ukuthola ngokwanele ukuze uthole kuboImali akuyona inkinga
OkuhleUdinga ukuthola ngokwanele ukuze uthole kubo
NgiyabongaOkuhle
Warudi ili iweje sasa wakakae nawewe muongee umber au utawapa kazi minds your own life and your familyvpi mafanikio yao na wana mpango gani kuludi nyumbani
bayakwazisaNgiyabonga
Mkuu mbona umekasirika ghafla?Eti kuongea kizulu?
Wewe kijana mada zako zimekaa kizumbukuku sana hivi unawezaje kuongea sana lugha fulani wakati maneno ya lugha yenyewe unayoyafahamu hayazidi hata maneno matano?
Unaweza kuongea English sana wakati maneno ya English unayoyafahamu ni how are you na thank you tuu?
Au kizulu Tanzania ni lugha ya kufiundishia mashuleni siku hizi?
Ni vijana wa mtaa gani?Hivi kwanini vijana wengi hasa wale wa uswahilini na waimba singeli wanapenda sana kuongea kizulu kuliko lugha nyingine yeyote ?
Mkuu huyu kijana anageuza JF kijiwe cha kahawa nimeshafungua uzi zake tatu mpya zote ni pumba tupu hazina mashiko kabisa mkuuMkuu mbona umekasirika ghafla?
Nini shida?
Wewe kweli sio mjanja yani inafikiria mtu yoyote aendae hapo south ni mhuni wa uswahilini? ??south Africa ni nchi ya biashara na wewe huwezi elewaWatoto wengi wanaoimba singeri ni wa mitaa ya uswahilini kama vile Manzese,Magomeni,Tandare na n.k.Na huko stori nyingi ni za watoto wa kiuni ambao wengi walienda au wanaendelea kwenda huko.
Owesifazane uyohlale owesifazane, Iam smart ngokwanele ukudlala amakhadi amiUdinga ukuthola ngokwanele ukuze uthole kubo
Hivi kwa nini hampendi watu waongee lugha ya taifa lingine!Hivi kwanini vijana wengi hasa wale wa uswahilini na waimba singeli wanapenda sana kuongea kizulu kuliko lugha nyingine yeyote ?