py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Umenikumbusha mbali sana aseKunjani wena....
Sagabona kunjani wena
Ngiyaphila
Umenikumbusha mbali sana aseKunjani wena....
pole yako.....Warudi ili iweje sasa wakakae nawewe muongee umber au utawapa kazi minds your own life and your family
PremitivityHivi kwanini vijana wengi hasa wale wa uswahilini na waimba singeli wanapenda sana kuongea kizulu kuliko lugha nyingine yeyote ?
KunjaniHilo tu
Sawubona
yami
Umngane
Wena
Woza
Nk
wahuni wakisikia unazungumza maneno hayo,wanakuona bonge la mjanja aka baharia.Umenikumbusha mbali sana ase
Sagabona kunjani wena
Ngiyaphila
pia ina kingoni ndani yake.Mimi mwenyewe naipenda balaha. Halafu ina kinyakyusa ndani yake.
Wapi niliposema "mtu yoyote" ??Wewe kweli sio mjanja yani inafikiria mtu yoyote aendae hapo south ni mhuni wa uswahilini? ??south Africa ni nchi ya biashara na wewe huwezi elewa
Mkuu tafadhali nakuomba utafsiri maneno hayo yanaonekana kubeba ujumbe mzitoUmoya wami ngeke uxole ngo mfoka Masondo lala kahle uyibekile induku ebandla ngohlala ngikukhumbula Mdeva
Wenza wena e south Africa?Zamani likuwa ili uwe msela lazima uwe umejaribu au kufika SA.
Lugha ilikuwa maarufu koz wakirudi lazima watumie hayo maneno hata kama aliishia Mozambique.
Wapo waliofanikiwa na wengine hawajarudi tena. Ila maskani huwa wanabandika picha zao wale wanaokutana nao huko wanapiga nao picha na kuzileta maskani.