Hivi kwanini vijana wengi wa mtaani wanapenda sana lugha ya kizulu?

Status
Not open for further replies.
Watoto wengi wanaoimba singeri ni wa mitaa ya uswahilini kama vile Manzese,Magomeni,Tandare na n.k.Na huko stori nyingi ni za watoto wa kiuni ambao wengi walienda au wanaendelea kwenda huko.
 
Umoya wami ngeke uxole ngo mfoka Masondo lala kahle uyibekile induku ebandla ngohlala ngikukhumbula Mdeva
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom