GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
Mnaacha kutumia muda wenu mwingi kufikiria kwa Akili Kubwa jinsi ya kutatua Changamoto lukuki zinazowakabili Watanzania na Taifa la Tanzania nyie Kutwa mpo katika kutengeneza Maigizo ya Kipumbavu na Kishamba (kama mlivyo) ili tu muonekane Mnapenda na kujali kila Mtu, Wanyenyekevu na mno Huruma na Hambagui Mtu.
Mtatumia mno Nguvu ili mkubalike ila Ukweli utabaki palepale kuwa HAMPENDWI hata kama tumenunua Mafuta ya Mzaituni kutoka Israeli ili kuyapaka kila Siku, kila Jumamosi kuombewa na Tapeli wa Tanganyika Packers Kawe (kwa Kuitwa Feri) na tunatumia Waganga Wakubwa (kutoka nchi Tatu za Afrika) ili kuzing'arisha Nyota zetu ambazo pamoja na juhudi zote hizi bado hazijang'aa na ndiyo Kwanza tu Kuchukiwa, Kutoaminika na Kudharaulika nao kunazidi huku Wanafiki wakiendelea Kudanganya ili wale Fedha zako zisizo na Kazi.
Tunakumbushana tu kuwa Yanga SC itacheza na Mamelodi Sundowns FC na Simba SC itacheza na Al Ahly FC ambapo kwa Lugha nyepesi tunasema kuwa Warembo wamejipeleka wenyewe Maghettoni mwa Wanamume wa Kizulu na wa Kiarabu Kudadadeki.
Mtatumia mno Nguvu ili mkubalike ila Ukweli utabaki palepale kuwa HAMPENDWI hata kama tumenunua Mafuta ya Mzaituni kutoka Israeli ili kuyapaka kila Siku, kila Jumamosi kuombewa na Tapeli wa Tanganyika Packers Kawe (kwa Kuitwa Feri) na tunatumia Waganga Wakubwa (kutoka nchi Tatu za Afrika) ili kuzing'arisha Nyota zetu ambazo pamoja na juhudi zote hizi bado hazijang'aa na ndiyo Kwanza tu Kuchukiwa, Kutoaminika na Kudharaulika nao kunazidi huku Wanafiki wakiendelea Kudanganya ili wale Fedha zako zisizo na Kazi.
Tunakumbushana tu kuwa Yanga SC itacheza na Mamelodi Sundowns FC na Simba SC itacheza na Al Ahly FC ambapo kwa Lugha nyepesi tunasema kuwa Warembo wamejipeleka wenyewe Maghettoni mwa Wanamume wa Kizulu na wa Kiarabu Kudadadeki.