Hivi kwanini sisi binadamu hatuna plate number kama yalivyo magari na vyombo vingine vya moto?

Hivi kwanini sisi binadamu hatuna plate number kama yalivyo magari na vyombo vingine vya moto?

Kila nikiwa idle akili yangu huwa inanipeleka kufikiria vitu ambavyo hata mimi nashangazwa navyo lakini kwa hili,, nmeona bora nililete tufikirie wote🫠
Tunazo.
1-vyeti vya kuzaliwa
2-vitambulisho ie NIDA,NEC/ZEC,BIMA,LESENI nk.
3-namba za simu/anwani makazi/code numbers
4-...........
 
Kila nikiwa idle akili yangu huwa inanipeleka kufikiria vitu ambavyo hata mimi nashangazwa navyo lakini kwa hili,, nmeona bora nililete tufikirie wote🫠
Uko sahihi 100%. Tulia inakuja gwajima aliwai dokeza wakati wa corona, yenyewe itakuwa mfano wa kama IP address, ila bado haikajulikana kama itakuwa physical address ( samahani kuchanganya lugha) kama uko muslim sio rahisi ila wakristo wengi wanajua ni mfumo ambao dunia inaelekea huko yaani One World Order. Google utapata maelezo ya kutosha. Au tafuta the last pope.

Inaelekea una akili nyingi ndani ya
kichwa
 
Kwanini tuwe na plate number?,
Tuanzie hapa kwanza
Magari yana majina kama Toyota, Bmw, Mercedes pia katika Toyota kuna majina tena Crown, Ist Vits etc. Why do they still having plate number
Nadhani ishu ni kuwa easy identified or recognised. Je, sisi binadamu hatuhitaji kuwa easy recognised? Yaani uweze kupata chap details za mtu bila kupata access ya kitambulisho chake cha Nida, kura etc
 
Uko sahihi 100%. Tulia inakuja gwajima aliwai dokeza wakati wa corona, yenyewe itakuwa mfano wa kama IP address, ila bado haikajulikana kama itakuwa physical address ( samahani kuchanganya lugha) kama uko muslim sio rahisi ila wakristo wengi wanajua ni mfumo ambao dunia inaelekea huko yaani One World Order. Google utapata maelezo ya kutosha. Au tafuta the last pope.

Inaelekea una akili nyingi ndani ya
kichwa
Thanks let me check on it📌
 
Back
Top Bottom