Hivi kwanini mchokane?

Hivi kwanini mchokane?

Mkuu Leloo June 50 cent ni Qooma,,,he destroyed Ja Rules Career akishirikiana na Slim Shady, i hate those 2 muhfukas for that. Ja was on the peak by the time 50 alitaka kutoka na hakuwa na njia ya ku hit mainstream akaanza ku diss style ya muhuni kuwa was wack na kwamba alikuwa ana impersonate uhuni esp image ya Tupac. Too bad alirudi na kuitumia yeye hio style during his music career kmalammke 50.

Irv Gotti wa Murder Inc ndio alikuwa talk of the time na ndio aliproduce na ku Dj ngoma za Ja Rule. Inshort ni wivu tu wa wasanii wenzake ndio ulipelekea kuua career yake maana Ja Rule alikuwa mbishi ikapelekea shootings za raia kadhaa jamaa wakaanza kumpa na makesi akawa anakula ban za kurecord na show na kuna kipindi flani Ja Rule alifungwa ila i still respect that Nigga for the Talent he has.

To date bado 50 Cent anastalk moves za Ja Rule na Irv Gotti kwa kila wanachojaribu kufanya ili wapige hela. That muthafuquer is tailing on 'em niggas like a damn bug, sasa sijui anapata faida gani na Rule alishaamua kuachana na beef isio na maana. He left it in the past na hana mpango wa kuwa na urafiki na 50 cent. Kila mtu na njaro zake ila 50 can't resist revealing his pussy attitude everytime he sees Ja doing something big. I hate that stupid envious muthafuka till i fuckin die ma nigga, wish i had a chance to kill that wack niggas ass, those 9 shots weren't enough foe that mean mug gay ass muthafukker mane😡😡😡.

He once fucked up with Terror Squad, and he got his ass on heat...Acting like he can't get touched!!! Joe Crack alimaliza kwa diss track moja tu fuckk 50!!!

Daah bro kweli ulikuwa unamuelewa kwelikweli ja rule 🙌
 
Kwahiyo wewe ukiwa na mwanamke haumuonyeshi mapenzi wala kumjali?
Ilikuwa zaman...!!i used to be that romantic guy!!....lkn kila bnadam ana njia 1 ya kumpa funzo kuu maishan mwake...bahati mbaya mimi nlipewa funzo la kutojali mwanamke...hasa hisia...!!

So naendelea kulisukuma gurudum mpk hapo ntakpohic nipo tyr...!!
 
Kwahiyo wewe unaamini kwamba wanawake wote duniani tabia zao zinafanana? Na unashauri na wanawake nao wakiumizwa na mwanaume mmoja tu wasipende tena waanze kuwa wakatili na wasijali hisia za wanaume watakaokuwa nao?
Ilikuwa zaman...!!i used to be that romantic guy!!....lkn kila bnadam ana njia 1 ya kumpa funzo kuu maishan mwake...bahati mbaya mimi nlipewa funzo la kutojali mwanamke...hasa hisia...!!

So naendelea kulisukuma gurudum mpk hapo ntakpohic nipo tyr...!!
 
Kwahiyo wewe unaamini kwamba wanawake wote duniani tabia zao zinafanana? Na unashauri na wanawake nao wakiumizwa na mwanaume mmoja tu wasipende tena waanze kuwa wakatili na wasijali hisia za wanaume watakaokuwa nao?
Nop...naamin kuwa wanawake wote mitazamo inafanana...!!

Cmpangii mtu kufanya maamuzi ila ni juu yao

Ila kwa sasa naamin kama mtu akiweka pemben mapenzi kwa mda ht miaka miwil akajikita kwenye ktafta hela

Hatataman kuwa kweny mahusiano
 
Nop...naamin kuwa wanawake wote mitazamo inafanana...!!

Cmpangii mtu kufanya maamuzi ila ni juu yao

Ila kwa sasa naamin kama mtu akiweka pemben mapenzi kwa mda ht miaka miwil akajikita kwenye ktafta hela

Hatataman kuwa kweny mahusiano
Sawa
 
Ukifanya Wrong choice ni bora ujivue gamba mkuu haina aja mpasuane kichwa maisha yenyewe mafupi
Kumbuka mlivyokutana, mkatongozana mkaelewana, mkanjunju weee kwa kila style kila saa mkutanapo.

Mkapostiana kwenye mitandao wee kila upande wa dunia. Ooh you're my errything bey...Me and you forever boo...!!!

Mmeitana kila aina ya Pet names spent alot of times together on each others spot. Nobody looked perfect on you unajua except for him, or her.

All over sudden, ati jamaa kageuka mbwa? Mshenzi and all that curse is for him. Mwanamke kawa bitch nae.
Aisee huwa tunakwama wapi jamani.!?

Inakuwaje unamchoka mtu unayempenda? Inatokeaje yani maana ulimpenda kama lulu?
 
duh hio ndoa ilikuwa ya kukata na shoka
Na honeymoon ilikuwa south Africa,inshort nikwamba binti alikuwa nikutoka familia ambayo ilikuwa na urafiki na yetu ,Sasa tulihusika kwa asilimia
duh hio ndoa ilikuwa ya kukata na shoka
Inshort binti alipendana na mfanyabiashara yeye akiwa Mwalimu katika shule moja jijini,mapenzi yao yalikuwa ya new Africa hotel,kempisk,na maeneo mengine ya expensive cos jamaa alikuwa bepari kweli kweli (In magu's voice). Katika maisha hayo yaliendelea mpaka ndoa ambayo ilifana sana pale New Africa hotel,huku jamaa akimzawadia mkewe prado mpya,wafanyabiashara wenzake walikuwa wanashindana kutoa Pesa, maana kamati tu ilikabidhi karibia million 120,huku Sisi wenye nauli tu mfukoni tukiendelea kushangaa ukizingatia tulienda kama familia rafiki na binti,Mbwembwe zilikuwa nyingi sana (Pesa ya JK enzi zile za neema)

Baada ya honeymoon,mume akawa anamshawishi mkewe aache kazi asimamie miradi baada ya kuomba ushauri akaambiwa atulie kwanza asifanye maamuzi haraka,kadri siku zilivyozidi kumbe mshikaji kwenye nyumba yake ambayo ni hekalu mbezi beach kuna vyumba vina misukule ambayo mke inabidi ahudumie sasa hapo ndiyo Ndoa ikaanza kuyumba baada ya binti kuona misukule ambayo inatakiwa akabidhiwe.

Mengi yalitokea ila binti alirudi home directly,vikao vilikaa hadi level ya askofu ila haikuwa solved,ikaishia hapo ndoa.

Binti baada ya miaka minne akafunga Ndoa ambayo ana watoto wanne sasa,bahati nzuri yule bepari inasemekana alikuwa hajalenga vizuri japo kwa taarifa za kiintelligensia inasemekana alitoa ujauzito wa miezi kadhaa.

Kufahamiana muhimu,jua mwenzio anafanya nn na wapi,analala wapi na mazingira gani, ni muhimu sana
 
Na honeymoon ilikuwa south Africa,inshort nikwamba binti alikuwa nikutoka familia ambayo ilikuwa na urafiki na yetu ,Sasa tulihusika kwa asilimia

Inshort binti alipendana na mfanyabiashara yeye akiwa Mwalimu katika shule moja jijini,mapenzi yao yalikuwa ya new Africa hotel,kempisk,na maeneo mengine ya expensive cos jamaa alikuwa bepari kweli kweli (In magu's voice). Katika maisha hayo yaliendelea mpaka ndoa ambayo ilifana sana pale New Africa hotel,huku jamaa akimzawadia mkewe prado mpya,wafanyabiashara wenzake walikuwa wanashindana kutoa Pesa, maana kamati tu ilikabidhi karibia million 120,huku Sisi wenye nauli tu mfukoni tukiendelea kushangaa ukizingatia tulienda kama familia rafiki na binti,Mbwembwe zilikuwa nyingi sana (Pesa ya JK enzi zile za neema)

Baada ya honeymoon,mume akawa anamshawishi mkewe aache kazi asimamie miradi baada ya kuomba ushauri akaambiwa atulie kwanza asifanye maamuzi haraka,kadri siku zilivyozidi kumbe mshikaji kwenye nyumba yake ambayo ni hekalu mbezi beach kuna vyumba vina misukule ambayo mke inabidi ahudumie sasa hapo ndiyo Ndoa ikaanza kuyumba baada ya binti kuona misukule ambayo inatakiwa akabidhiwe.

Mengi yalitokea ila binti alirudi home directly,vikao vilikaa hadi level ya askofu ila haikuwa solved,ikaishia hapo ndoa.

Binti baada ya miaka minne akafunga Ndoa ambayo ana watoto wanne sasa,bahati nzuri yule bepari inasemekana alikuwa hajalenga vizuri japo kwa taarifa za kiintelligensia inasemekana alitoa ujauzito wa miezi kadhaa.

Kufahamiana muhimu,jua mwenzio anafanya nn na wapi,analala wapi na mazingira gani, ni muhimu sana
😅😅😅 waache wale wanaotuona wapuuzi tukisema ni muhimu kuishi pamoja kipindi cha uchumba waendelee na misimamo yao.

Unajua maisha ya mtu hasa mwenye mafanikio yana siri kubwa sana. Hapo binti alijua kaukata kashayatoa maisha kumbe ndani kwa ndani angekuwa anateketea.
 
Wakati mwingine ni makosa madogo sana na mtu kujiona yeye ndiyo yeye japo kakosa lakini hataki kukubali kosa lake na kusema I am sorry. Mawasiliano hupungua taratibu na mwisho hukata kabisa huku kila mmoja wao akimmiss mwenzie sana. Mara PUFF! ndo imetoka.

Kumbuka mlivyokutana, mkatongozana mkaelewana, mkanjunju weee kwa kila style kila saa mkutanapo.

Mkapostiana kwenye mitandao wee kila upande wa dunia. Ooh you're my errything bey...Me and you forever boo...!!!

Mmeitana kila aina ya Pet names spent alot of times together on each others spot. Nobody looked perfect on you unajua except for him, or her.

All over sudden, ati jamaa kageuka mbwa? Mshenzi and all that curse is for him. Mwanamke kawa bitch nae.
Aisee huwa tunakwama wapi jamani.!?

Inakuwaje unamchoka mtu unayempenda? Inatokeaje yani maana ulimpenda kama lulu?
 
Wakati mwingine ni makosa madogo sana na mtu kujiona yeye ndiyo yeye japo kakosa lakini hataki kukubali kosa lake na kusema I am sorry. Mawasiliano hupungua taratibu na mwisho hukata kabisa huku kila mmoja wao akimmiss mwenzie sana. Mara PUFF! ndo imetoka.
Hio si ile wanaita Ego, kila mtu akitaka kuwa juu hamsogei. At times mmoja lazma awe chini🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom