I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
hawa ni miungu watu wa ajira wanajisikia balaaa mbwa hawa
hamna kitu zaid ya kujaza perfomance apraisal na kuwarotate wafanayakaz na kujua likizo zao i thinkHivi wanasoma manini kwanza chuoni? Maana sioni something special kwao ata mm niliyesoma finance ukinipa kuwa HR naweza kuperform vzr pengine kuliko ata wao.
Kaa hapoIla mimi sijaelewa kosa lake hasa
Sikua na miadi nae Bali yy ndy alikuwepo na viongoz wengine hawakuepo..hlf pia hakunikaribisha Bali nilivyoingia tu yy akiwa kitini akaniambia 'kaa hapo'. Sasa kauli kama hii ya nn wakati hapo ni ofisin isitoshe mi ni mteja?Ulikuwa na miadi naye muda huo?, yaani mtu kukuambia usubiri kidogo basi unaondoka baada ya dakika mbili na kuja kuleta malalamiko hapa?
Kabisa..Hr's wataisikia mbingu kwa jiran.yaani mtu unasoma weee ili ukawe HR officer?
hizo ni kazi za watu wenye roho mbaya
Ulivyoandika inaonyesha hichi kitu kimeshakutokea.Pole sana ndugu yangu kumkuta huyo changudoa. Kuna makahaba wengine wanaoitwa wahasibu. Hawa makahaba kwa kweli ukiingia ofisini kwao unapata harufu ya papuchi isiyo oshwa. Yaani wanajiona Kama vile hawaendi vyooni. Hasa Kama una madai halali na yamesainiwa Kila mahali ispokua kusaini na kuchukua pesa.
Kama kawaida yenu..kabla hujaingia kazini mnakua kama watu ila mkishaoewa mamlaka mnanyanyasa raia.Binafsi ni mwanafunzi wa kozi ya human resources management
Na kwenye Kila course Kuna ethics zake ikiwamo good communication skills
Viongoz wengine hawakuwepo..nikamuona yy kwa kuelekezwa ndy nikazidi kujua rangi yao halisi ni ipiIla mkuu HR hahusiki na maswala ya tenda, hiyo ni kazi ya afisa ugavi.....
Usitetee wakati karibu kampuni nyingi HR's wana hulka ngumu mioyoni mwao..Shida sio wadhifa wa hao unaowalaumu, shida ni hulka tunaita personality traits za watu, kila mtu ana tabia zake kutokana na makuzi aliyopitia na tamaduni ya sehemu aliyokulia, hii kada ya human resource usijeuza ya kulaumiwa je ni kampuni ngapi umekutana human resource officer wenye hizo tabia? That is fallacy of generalization, kila kada kuna watu wa kila aina, huwezi kukosa kwenye jamii watu wanaojisikia, watu wenye maringo, watu wazuri nk...
Na ndicho nachoongolea..Hr's wanatakiwa wakumbuke maadili ya kazi yao.HRs ni wajinga wajinga fulani,wanajisikia mno;hawana adau,madharau mengi. Yuko moja kwa kampuni yetu, alikuwa na nyodo sana, anabana pua akiongea(lenyewe dume). Kuna jamaa alikorofishana naye,akamfanyia figisu hadi jamaa akahamishwa kituo cha kazi. Baada ya muda,huyo bwana aliyehamishwa akapata zali kuwa boss wa kampuni,,, huo mtiti,hr akaacha kazi... Siku hizi anagongea high life, watoto wake utawaonea huruma(amewatoa English medium,to kanumba schools).
Ni kati ya kundi ambalo wanajiona wameyapatia maishaWakuu Salaam;
Hawa watu wanaosimamia idara ya rasimali watu wanatakiwa watambue kua wao nao ni binadamu kama watu wengine na lazima waheshimu utu wa mtu yeyote achilia mbali hadhi ya huyo mtu.
Hawa Hr's wa kampuni hua na majibu ya hovyo sana wawapo kazini bila kujali anamjibu nani.
Leo nimeenda kuulizia tenda kwaajili ya kuleta mazao fulan kwa hiyo kampuni kwaajili ya kutengeneza vyakula vya kuku, nikaambiwa Hr ndiyo yupo kwa leo, ile kuonana nae tu akaniambia 'kaa hapo'. Kwa hii kauli nilitaka nivue kiatu changu nimzibue nacho nikajizuia. Nikajikaza kukaa dakika 2 nikaondoka zangu bila kumwelezea kwa upana biashara yangu na nia ya kufika kwenye kampuni. Hajajua Mimi nikileta mazao kampuni mwao ndiyo bidhaa zao zikiuzwa wanakuja kulipwa badaye mishahara.
Kufika nje nikamwelezea mfanya kazi mmoja akanishauri nimsubiri Mkurugenzi mwenyewe. Mfanya kazi akanieleza kua kwa saivi wanahitaji mzigo kwani stock inakaribia kuisha.
Huyohuyo mfanyakazi akaniambia hata wakati akiomba kazi na hata wengine pia walipata shida sana kwa huyo HR kusajiliwa.
Sasa nikajiuliza HR kiburi anatoa wapi wakati ilikua ni bahati mbaya tu kumkuta yeye?
Nyie HR specialists na HR managers msione hizo kampuni ni zenu, Bali toeni Huduma kwa jamii kwa weledi na kuheshimu utu wa mtu kwani wote tuko kwenye utafutaji.
Je, wewe binafsi Ulishawahi kukereka na HR kwa lolote?
Umesema kweli.Fundi ujenzi anahire, anaretain na ana-fire, vivyi hivyo mama ntilie, mafundi gereji nk hawa watu hawajasoma kozi za uongozi lakini wanafanya maamuzi kwa haki sana kuliko hao maHR
HROs Wanajisikia mno na kujiona wao ndio wao. Ukiona watu wanauliza kuwa wanasomea nini, ujue wanataka waone labda kozi hizo ni special sana kujustify uringaji wa hao watu, kumbe kozi zenyewe ni kawaida tu, digrii za miaka 3 na unit chache tu. Kozi yenyewe asilimia 90 ni ya kuajiriwa tu, sasa unaajiriwa halafu unaanza kunyanyasa wengine walioajiriwa au wanaotaka kuajiriwa kama wewe, ujinga na ulimbukeni mtupu.
Ukiandika hiv ndy kabsa wanajisahau kua wameajiriwa na wao piaSio maafisa uajiri ni maafisa rasilimali watu
Hapana..attitude yake kwenye kazi ndy unaathiri utendaji wakeDuh! Unataka kusema hukutakiwa kuambiwa usubiri?
Na ukaondoka baada ya dakika 2!
Hapa naona ulikuwa tayari na mtazamo hasi na huyo mtu.
Hakuna HR anazingatia ethics za kazi yake..hua mnapenda kuabudiwa sana kwenye kampuni...na wote mko hivyo.Mkuu pole lakini sidhani hapo kama ni sababu ya u Hr wake,hiyo ni tabia yake binafsi,Sisi Hr's tunafundishwa communication skills na somo muhimu sana,sio wote wako hivyo.
.
Je, wewe binafsi Ulishawahi kukereka na HR kwa lolote?
Hii hulka walionao ya kujimilikisha kila madaraka kwenye kampuni kwa kivuli cha kazi yao ni ulemavu wa Akili.Jana kuna jambo ameliongea ambalo kimsingi sio profession yake na hajui kitu nilijikuta nashindwa kujizuia kwa kicheko cha nguvu
Ungemuuliza muhudumu akuelekeze namna ya kumpata mpitisha tenda.... HR hahusiki na hiyo kazi....Viongoz wengine hawakuwepo..nikamuona yy kwa kuelekezwa ndy nikazidi kujua rangi yao halisi ni ipi