Wanasomea mambo mengi sana uendeshaji wa Organization, uaandaaji wa payroll na malipo kwa wafanyakazi, kufuatilia michango ya wafanyakazi ya mifuko ya jamii, mipango ya uajiri rasilimali watu, kanuni na sheria za wafanyakazi, kupandisha madaraja na mishahara, ufuatiliaji wa ufanisi wa wafanyakazi performance appraisal wanasomea vitu vingi vyenye tija na vingine vingi nilivyoviacha
Kwanini umeamini moja kwa moja lalamiko aliyoleta huyo ndugu hapo juu, watu hutofautiana tabia mmejikita kulaumu professional ya human resource badala ya tabia ya mtu, mmetumia vigezo gani kuwalaumu na kuwatuhumu watu wa idara ya human resource? Idara nyingi tu kuna watu wana madharau sana, na ni kutokana na ushamba wa kitabia.