Siyo kwamba tumsikilize Zahera kuhusu Viongozi Wanaingilia Majukumu ya Kocha na bench la ufundi..Muulizeni Uchebe sehemu au club yenye viongozi waongo wasioenda shule.
Club ambayo viongozi wake na mashabiki ni maboya fuata upepo.
Mkifungwa mechi moja tu, kocha hafai. Kesho mkishinda, mnajidai hata aje Barca hatoki.
Mchezo wa kuingilia bench la ufundi kwa maana ya kutaka kumpangia kocha wachezaji upo well documented kwenye club ya Simba.Siyo kwamba tumsikilize Zahera kuhusu Viongozi Wanaingilia Majukumu ya Kocha na bench la ufundi..
Ebu weka ushabiki pembeni tujadili hili Jambo kwa uzito wake.Muulizeni Uchebe sehemu au club yenye viongozi waongo wasioenda shule.
Club ambayo viongozi wake na mashabiki ni maboya fuata upepo.
Mkifungwa mechi moja tu, kocha hafai. Kesho mkishinda, mnajidai hata aje Barca hatoki.
Ufafanuzi wa uchebe huu hapaMuulizeni Uchebe sehemu au club yenye viongozi waongo wasioenda shule.
Club ambayo viongozi wake na mashabiki ni maboya fuata upepo.
Mkifungwa mechi moja tu, kocha hafai. Kesho mkishinda, mnajidai hata aje Barca hatoki.
Tatizo mbumbumbu wagumu kuelewa vitu vidogo.
Kuna timu ambayo washabiki wanapenda timu kuliko familia zaoTatizo mbumbumbu wagumu kuelewa vitu vidogo.
Zingine hizo.Kwa hiyo logo hazina shida labda kama logo mfano ya simba mnyama aliyeko kwenye logo wao wakaamua kuwa swala au nyani.Hapo utasema logo haiheshimiwi TUSIISHI KWA KUKARIRI.
Acha ujinga wa kuharibu uzi kwa kujaza usichokijua, timu kama timu ina uwezo wa kubadili logo wanavyotaka.Zingine hizo.Kwa hiyo logo hazina shida labda kama logo mfano ya simba mnyama aliyeko kwenye logo wao wakaamua kuwa swala au nyani.Hapo utasema logo haiheshimiwi
TUSIISHI KWA KUKARIRI.View attachment 1357622View attachment 1357623
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wenye Yanga yetu hatuwezi kuweka doa jekundu kwenye jezi yetu, ni bora tubaki bila wazamini Full stop!
Kwani ilivyowekwa hivyo matokeo yalibadilika?View attachment 1356345
Hii ni nyingine hapa ya Mbeya City FC. Hili kwa kweli halipendezi hata kidogo.
Imekuaibisha wewe peke yako sisi wengine tunaunga mkono hilo sualaDah hili la logo uongozi wa Yanga imetuabisha kwakweli sijaona matinki ya kushindwa kuwawekea logo halisi ya timu pinzani inayoenda kupambano nazo.
Ni moja ya mambo ya kiswahili sana uongozi unafanya kwenye hili. Inabidi huyo mtaalam wa uendeshaji wa timu kisasa aliyeletwa aanze na kuwabadilisha viongozi kwanza kutoka kwenye fikra za kijinga na kipumbavu kama hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app