Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,687
- 7,560
Siyo kwamba tumsikilize Zahera kuhusu Viongozi Wanaingilia Majukumu ya Kocha na bench la ufundi..Muulizeni Uchebe sehemu au club yenye viongozi waongo wasioenda shule.
Club ambayo viongozi wake na mashabiki ni maboya fuata upepo.
Mkifungwa mechi moja tu, kocha hafai. Kesho mkishinda, mnajidai hata aje Barca hatoki.