Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,343
- 6,403
Unategemea nini kama timu ina mashabiki au wanachama kama weweee! Unaelezwa tatizo la msingi, wewe unarukia mengine!Muulizeni Uchebe sehemu au club yenye viongozi waongo wasioenda shule.
Club ambayo viongozi wake na mashabiki ni maboya fuata upepo.
Mkifungwa mechi moja tu, kocha hafai. Kesho mkishinda, mnajidai hata aje Barca hatoki.