Hivi kwanini Kenya inakataa wazo la kuzuia malori ya Kenya na Tanzania kama?

Rais Uhuru Kenyatta alifunga mipaka ya Somalia na Tanzania kwa sababu ya kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona kuingia Kenya toka hizi nchi mbili. Ikumbukwe kwamba maambukizi mengi yamegundulika miongoni mwa madereva wa magari ya mizigo.

Mkuu wa mikoa ya Tanga na Kilimanjaro walizuia magari ya mizigo ya Kenya na Tanzania kutorihusiwa kuvuka mipaka kwa sababu madereva ndio wenyekukutwa na maambukizi ya Corona.

Tulitegemea kwamba wakenya wangekubaliana na uamuzi huu wa hawa wakuu wa mikoa kwasababu kiukweli madereva wa malori wa Tanzania ndio wanaogundulika kuwa na maambukizi mengi, lakini jambo la kushanga, Uhuru Kenyatta amepinga wazo hilo la kuzuia malori ambayo ndio chimbuko kuu la kuingiza Corona Kenya, badala yake anataka kupima lakini MAGARI yaruhusiwe.

Hivi kwanini Kenya hawawezi kuvumilia huo mwenzi mmoja tuishi bila kuruhusu malori ya pande zote mbili?, ina maana Kenya wanathamini biashara kuliko maisha yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuelewa mkuu. Naelewa Uhuru anachotaka ila sielewi nyie mnataka nini? Eti proposal yenu ni gani?
 
Onyesha lini Kenya na Uganda mlilimaliza tatizo la Migingo, na je ni nchi gani inayomiliki Migingo, ninakuomba weka link inayoonyesha kwamba Kenya na Uganda walishakubaliana kuhusu Migingo.

Kuhusu Ilemi triangle, wanajeshi wa Ethiopia wamekua wakiingia katika eneo hili na kuwauwa wakenya kwa kisingizio kwamba sio Eneo la Kenya, hili tatizo limeishia wapi?

Kenya na Somali mnagombea maritime border.

Jeshi la Ethiopia linaisaidia Serikali ya Somalia kupigana na Jeshi la Jubaland na KDF, huo nao ni Mgogoro uliosababishwa na Kenya kuisaidia Serikali ya Jubaland isiyotambulika kimataifa.

Tanzania na Kenya hatujawahi kuwa marafiki na Kenya toka enzi za Nyerere na Jommo Kenyatta.

Kwanini Kenya mnakwaruzana na majirani wenu wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah
1. Migingo: Kenya and Uganda strike deal
2. The only border point ETHIOPIAN forces have crossed over is the area around MOYALE. ILEMI is further west and like I told you ET has NEVER laid claim in ILEMI. A simple Google Search will suffice.
3. Kenya Somalia maritime? Yes that's the only possible conflict we have with a neighbor. And this is normal for many coastal states. There are currently DOZENS of maritime cases at the ICJ with regards to maritime boundaries. So this is nothing new.

4. JUBALAND: that regional government was recognized by the international community. FGS and ET were caught flat footed and thus the current fiasco. The good thing is that the international community is behind Kenya's efforts.

FYI: SS and KE brokered a deal for KE to administer the region in exchange for KE supporting the Sudan Civil War in favor of SS. Usishangae mbona bendera yao ni sawa na yetu. Usilazimishe ugomvi 😹
 
Sijakuelewa mkuu. Naelewa Uhuru anachotaka ila sielewi nyie mnataka nini? Eti proposal yenu ni gani?
Proposal yetu Kenya na Tanzania wa-exchange mizigo mpakani ili tuone kelele zenu za kudai tunawaambukiza coronavirus zina ukweli upi! Kenyatta anajua ataumbuka ndo maana analazimisha madereva wa Kenya kuingia Tanzania ili apate excuse ya ku-put blame on Tanzania!
 
Proposal yetu Kenya na Tanzania wa-exchange mizigo mpakani ili tuone kelele zenu za kudai tunawaambukiza coronavirus zina ukweli upi! Kenyatta anajua ataumbuka ndo maana analazimisha madereva wa Kenya kuingia Tanzania ili apate excuse ya ku-put blame on Tanzania!
Sawa. Wacha tuone nchi gani itashinda. Tutajua nchi gani ina nguvu zaidi
 
Hahah
1. Migingo: Kenya and Uganda strike deal
2. The only border point ETHIOPIAN forces have crossed over is the area around MOYALE. ILEMI is further west and like I told you ET has NEVER laid claim in ILEMI. A simple Google Search will suffice.
3. Kenya Somalia maritime? Yes that's the only possible conflict we have with a neighbor. And this is normal for many coastal states. There are currently DOZENS of maritime cases at the ICJ with regards to maritime boundaries. So this is nothing new.

4. JUBALAND: that regional government was recognized by the international community. FGS and ET were caught flat footed and thus the current fiasco. The good thing is that the international community is behind Kenya's efforts.

FYI: SS and KE brokered a deal for KE to administer the region in exchange for KE supporting the Sudan Civil War in favor of SS. Usishangae mbona bendera yao ni sawa na yetu. Usilazimishe ugomvi
1)Kitendo cha kwamba Kenya imefikia makubaliano na Uganda kuhusu Migingo kinaonyesha kwamba Kenya na Uganda zilikwaruzana kuhusu Migingo (Kenya ilikwaruzana Uganda)

2)Kitendo cha Kenya na South Sudan kuendelea kugombania Ilemi triangle (Kenya mnakwaruzana na South Sudan)

3)Kitendo cha Ethiopia kuisaidi Somalia kupigana na Jubaland inayosaidiwa na Kenya(Kenya inakwaruzana na Ethiopia na Somalia)

4)Kitendo cha Kenya na Somalia kugombania maritime border ni Kitendo kibaya, hata kama zipo nchi zingine zinagombania mpaka,. Kwahiyo kwasababu duniani watu wengi wanakufa kwa Corona, kwako unadhani sio tatizo kubwa wakenya wakifa wengi kwasababu sio jambo la ajabu?.

Kwanini Kenya mnakwaruzana na majirani wenu wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1)Kitendo cha kwamba Kenya imefikia makubaliano na Uganda kuhusu Migingo kinaonyesha kwamba Kenya na Uganda zilikwaruzana kuhusu Migingo (Kenya ilikwaruzana Uganda)

2)Kitendo cha Kenya na South Sudan kuendelea kugombania Ilemi triangle (Kenya mnakwaruzana na South Sudan)

3)Kitendo cha Ethiopia kuisaidi Somalia kupigana na Jubaland inayosaidiwa na Kenya(Kenya inakwaruzana na Ethiopia na Somalia)

4)Kitendo cha Kenya na Somalia kugombania maritime border ni Kitendo kibaya, hata kama zipo nchi zingine zinagombania mpaka,. Kwahiyo kwasababu duniani watu wengi wanakufa kwa Corona, kwako unadhani sio tatizo kubwa wakenya wakifa wengi kwasababu sio jambo la ajabu?.

Kwanini Kenya mnakwaruzana na majirani wenu wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Kitendo chako kutumia "ili-" inaonyesha kuwa imebakia historia kwani ni kitu kilishatendeka na hakuna ugomvi tena.

2. Kenya na SS hawana ugomvi kuhusu Ilemi. Nishakuelezea jinsi KENYA tulijipata tuki "administer" a huge chunk of the triangle. Sisi na SS ni mandugu RE: Tafuta bendera ya SS.

3. Haionyeshi kwamba tuna mgogoro na ETH. Hakuna uhakika au thibitisho ya ET kushirikiana na SOM kukwaruzana na KE. Kama unayo naomba uoneshe.

4. KE-SOM maritime dispute si kitendo kibaya jinsi unavyojaribu kusisitiza. Otherwise things could have escalated a long time ago. Kesi iko ICJ na nchi zote zinangoja uamuzi. Wewe uko hapa kujaribu kulazimisha ugomvi tu.
 
Mliishia wapi na Northern Corridor?

Sis kama Watanzania msimamo wetu nikuto tanagza maambukizi mapya...hou ni msimamo wa waTz, Nyinyi wakenya msimamo wenu nikutangaza kila ambukizo jipya na lockdown ya usiku..haina shida..

Shida ipo hapa...kwanini ukimpima mtz unautangazia ulimwengu kuwa nimewakuta Wtz wanavirusi huku ukijua sis hatutaki...kwanini usiamue kuwarudisha kwao Tz na ukaa kimya......

Sasa kupitia viongozi wetu tukaamua basi madereva wetu wasije kwenu maana tutawaambukiza CORONA..

Cha kushangaza bado mnatuhitaji...

Naomba nikuulize...hivi katka magonjwa yanayo ongoza kwa kuuwa watu Africa,Je Corona ni number ngapi? je ipo katika top ten?
kwanini mmeipa kapaumbele coroana..au kwasababu inauwa mzungu? kwanini nguvu hizo hamzitumii kutokomeza Malaria,kifua kikuu au njaa kule TURKANA,

Tatizo lenu wekenya mna ulimmbukeni na watu weupe sana.

bYE
Aisee ungekuwa karibu ningekupa offer ya chupa ya wine Kama unatumia au hata katuni nne za maji Kama hutumii kilevi...
 
Back
Top Bottom