Hivi kwanini Kenya inakataa wazo la kuzuia malori ya Kenya na Tanzania kama?

Kwa akili zenu adui mkubwa wa Tz ni Kenya. Ila kwa mtazamo wa Kenya na rais UK pia ni kwamba adui mkubwa wa Kenya na Tz pia ni Corona. Ndio maana tulifunga mpaka ili kuzuia maambukizi kutoka upande wa pili na tunawapima madereva wa Tz na kuwarudisha wale wanaopatikana +ve. Nyinyi mnakichofanya ni kujibu tu mapigo na aibu ya hatua hizo za Kenya kwa mbwembwe nyingi, bila kushirikisha ubongo, badala ya kupambana na 'kaugonjwa kadogo ka Corona'. Ndio maana baada ya kugoma kupokea simu wakati wa vikao vya marais wa EAC, sasa hivi rais wenu anatembea na simu mkononi. Kumbuka kwamba kibiashara Kenya inawauzia bidhaa za thamani ya juu zaidi ya mnazotuuzia na kufikia maamuzi ya kufunga boda ilikuwa tayari ni hasara kwa Kenya, zaidi ya itakavoiletea hasara Tz. Mwisho wa siku mvutano huu unaashiria kwamba afya, maisha na maslahi ya wananchi wa Kenya ni kipaumbele kwa serikali ya Kenya. Ila upande wa pili wa boda maisha ya punda sio muhimu zaidi ya mzigo anaoubeba, ongeza na sifa za kipumbavu juu yake.
Kumbe mnatambua kuwa Kenya itapata hasara zaidi.??!! Sasa mbwembwe zote zilikuwa za Nini? Hilo la kumdhihaki Rais wetu kuwa Sasa eti Sasa anatembea na simu wakati eti Alikuwa hafanyi hivyo tafadhali usirudie Tena kuweka upuuzi wa Aina hiyo...Kumbuka our President ni Head of State na Commander in chief of our armed forces..ukimdhihaki yeye sawa na kuwadhihaki Watz wote
Yeye ni kichwa chetu...na sisi hatuwezi kumdhihaki Uhuru Kenyatta ambaye ni kichwa chenu...kumbukeni kuwa siku chache zilizopita baadhi ya media zenu ziliomba radhi kwa kumdhihaki Rais wetu...hata BBC ya mabeberu naona Sasa imejirudi baada ya kuingizwa mkenge kuhusu Corona in Tanzania..
 
South Sudan - Ilemi triangle
Uganda - Kisiwa cha Migingo
Somalia - Maritime border
Ethiopia - KDF na Jeshi la Ethiopia
Tanzania - Ugomvi wa biashara hauishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha unalazimisha ugomvi. KDF na ENDF hawana ugomvi. In fact we have a mutual defence pact.

Tanzania ni uongozi mbaya unachochea huo ugomvi. Rejelea jinsi utawala wenu unavyowahadaa waKenya na biashara zao. Si kuchoma vifaranga, kutaifisha ngombe, kunyimana work permits, over taxation of Kenyan companies in TZ and now the whole border fiasco.

Uganda: Migingo island ndogo sana less than 2sq.km ifanye Kenya na UG tuwe na ugomvi? Hahah. Anyway, that was resolved amicably.

Ilemi triangle: Huu ni ugomvi ulioanza long before kuwe na nchi inayoitwa Kenya. Kumekua na treaties kibao ambayo huja na administrative boundaries from time to time. Walio na ugomvi si Kenya na SS bali jamii zinazoishi humo (pastoralists: and I think you have a slight idea of how they always have disputes with regards to limited resources?)
Wakuu wa mikoa yetu ndo wanaweza kujibizana na nyie na kenyatta we got no time for European puppets

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha lakini mbona mnaweweseka kiasi hii? 😹
 
Tanzania na Kenya hazijawahi kuwa na uhusiano mzuri, yeye Kikwete ndiye aliyezuia safari za KQ hadi Uhuru Kenyatta alipomtafuta na kuyarekebisha. Vipi kuhusu hizo nchi zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia jinsi wananchi wenzako wamekubaliana na kauli hapo kwenye replies. Iweje wewe uwe na the only diverging view? Kuna kasoro.
 
Sasa si muendelee tu kufunga kwa huo mwezi mmoja huku na sisi tukifunga wa kwetu,kwani kuna shida gani,yan mwezi tu kila mtu akae kwake then baada ya hapo maisha yataendelea kama kawaida
Kwa akili zenu adui mkubwa wa Tz ni Kenya. Ila kwa mtazamo wa Kenya na rais UK pia ni kwamba adui mkubwa wa Kenya na Tz pia ni Corona. Ndio maana tulifunga mpaka ili kuzuia maambukizi kutoka upande wa pili na tunawapima madereva wa Tz na kuwarudisha wale wanaopatikana +ve. Nyinyi mnakichofanya ni kujibu tu mapigo na aibu ya hatua hizo za Kenya kwa mbwembwe nyingi, bila kushirikisha ubongo, badala ya kupambana na 'kaugonjwa kadogo ka Corona'. Ndio maana baada ya kugoma kupokea simu wakati wa vikao vya marais wa EAC, sasa hivi rais wenu anatembea na simu mkononi. Kumbuka kwamba kibiashara Kenya inawauzia bidhaa za thamani ya juu zaidi ya mnazotuuzia na kufikia maamuzi ya kufunga boda ilikuwa tayari ni hasara kwa Kenya, zaidi ya itakavoiletea hasara Tz. Mwisho wa siku mvutano huu unaashiria kwamba afya, maisha na maslahi ya wananchi wa Kenya ni kipaumbele kwa serikali ya Kenya. Ila upande wa pili wa boda maisha ya punda sio muhimu zaidi ya mzigo anaoubeba, ongeza na sifa za kipumbavu juu yake.
 
Haha unalazimisha ugomvi. KDF na ENDF hawana ugomvi. In fact we have a mutual defence pact.

Tanzania ni uongozi mbaya unachochea huo ugomvi. Rejelea jinsi utawala wenu unavyowahadaa waKenya na biashara zao. Si kuchoma vifaranga, kutaifisha ngombe, kunyimana work permits, over taxation of Kenyan companies in TZ and now the whole border fiasco.

Uganda: Migingo island ndogo sana less than 2sq.km ifanye Kenya na UG tuwe na ugomvi? Hahah. Anyway, that was resolved amicably.

Ilemi triangle: Huu ni ugomvi ulioanza long before kuwe na nchi inayoitwa Kenya. Kumekua na treaties kibao ambayo huja na administrative boundaries from time to time. Walio na ugomvi si Kenya na SS bali jamii zinazoishi humo (pastoralists: and I think you have a slight idea of how they always have disputes with regards to limited resources?)

Haha lakini mbona mnaweweseka kiasi hii?
Kwahiyo Uganda na Kenya ni kweli bado mnaendelea na mgogoro juu ya kisiwa cha Migingo, Somalia mnagombania Maritime border, South Sudan na Ethiopia mnagombania Ilemi triangle.

Jeshi la Ethiopia linasaidia Jeshi la Serikali ya Mogadishu kupambana na majeshi ya Jubaland yanayosaidiwa na KDF.

Kuhuhus Tanzania, ugomvi wetu ulianza enzi za Nyerere na haujawahi na wala hautakwisha.

Swali; Kwanini mnakwaruzana na majirani wenu wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si muendelee tu kufunga kwa huo mwezi mmoja huku na sisi tukifunga wa kwetu,kwani kuna shida gani,yan mwezi tu kila mtu akae kwake then baada ya hapo maisha yataendelea kama kawaida
Yaani hawa jamaa ni hovyo sana, kuzuia malori ya Kenya na Tanzania kwa mwezi mmoja tu hawawezi, kweli Tanzania ndio tunaowalisha hawa wajinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo Uganda na Kenya ni kweli bado mnaendelea na mgogoro juu ya kisiwa cha Migingo, Somalia mnagombania Maritime border, South Sudan na Ethiopia mnagombania Ilemi triangle.

Jeshi la Ethiopia linasaidia Jeshi la Serikali ya Mogadishu kupambana na majeshi ya Jubaland yanayosaidiwa na KDF.

Kuhuhus Tanzania, ugomvi wetu ulianza enzi za Nyerere na haujawahi na wala hautakwisha.

Swali; Kwanini mnakwaruzana na majirani wenu wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali: KWA NINI tanzania mnapenda ku "play victim"?

This is ADOLESCENCE behavior. GROW UP.
 
Kwa akili zenu adui mkubwa wa Tz ni Kenya. Ila kwa mtazamo wa Kenya na rais UK pia ni kwamba adui mkubwa wa Kenya na Tz pia ni Corona. Ndio maana tulifunga mpaka ili kuzuia maambukizi kutoka upande wa pili na tunawapima madereva wa Tz na kuwarudisha wale wanaopatikana +ve. Nyinyi mnakichofanya ni kujibu tu mapigo na aibu ya hatua hizo za Kenya kwa mbwembwe nyingi, bila kushirikisha ubongo, badala ya kupambana na 'kaugonjwa kadogo ka Corona'. Ndio maana baada ya kugoma kupokea simu wakati wa vikao vya marais wa EAC, sasa hivi rais wenu anatembea na simu mkononi. Kumbuka kwamba kibiashara Kenya inawauzia bidhaa za thamani ya juu zaidi ya mnazotuuzia na kufikia maamuzi ya kufunga boda ilikuwa tayari ni hasara kwa Kenya, zaidi ya itakavoiletea hasara Tz. Mwisho wa siku mvutano huu unaashiria kwamba afya, maisha na maslahi ya wananchi wa Kenya ni kipaumbele kwa serikali ya Kenya. Ila upande wa pili wa boda maisha ya punda sio muhimu zaidi ya mzigo anaoubeba, ongeza na sifa za kipumbavu juu yake.


Mliishia wapi na Northern Corridor?

Sis kama Watanzania msimamo wetu nikuto tanagza maambukizi mapya...hou ni msimamo wa waTz, Nyinyi wakenya msimamo wenu nikutangaza kila ambukizo jipya na lockdown ya usiku..haina shida..

Shida ipo hapa...kwanini ukimpima mtz unautangazia ulimwengu kuwa nimewakuta Wtz wanavirusi huku ukijua sis hatutaki...kwanini usiamue kuwarudisha kwao Tz na ukaa kimya......

Sasa kupitia viongozi wetu tukaamua basi madereva wetu wasije kwenu maana tutawaambukiza CORONA..

Cha kushangaza bado mnatuhitaji...

Naomba nikuulize...hivi katka magonjwa yanayo ongoza kwa kuuwa watu Africa,Je Corona ni number ngapi? je ipo katika top ten?
kwanini mmeipa kapaumbele coroana..au kwasababu inauwa mzungu? kwanini nguvu hizo hamzitumii kutokomeza Malaria,kifua kikuu au njaa kule TURKANA,

Tatizo lenu wekenya mna ulimmbukeni na watu weupe sana.

bYE
 
Kwahiyo Uganda na Kenya ni kweli bado mnaendelea na mgogoro juu ya kisiwa cha Migingo, Somalia mnagombania Maritime border, South Sudan na Ethiopia mnagombania Ilemi triangle.

Jeshi la Ethiopia linasaidia Jeshi la Serikali ya Mogadishu kupambana na majeshi ya Jubaland yanayosaidiwa na KDF.

Kuhuhus Tanzania, ugomvi wetu ulianza enzi za Nyerere na haujawahi na wala hautakwisha.

Swali; Kwanini mnakwaruzana na majirani wenu wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuna ugomvi na UGANDA (resolved amicably inamaanisha kuwa ugomvi ulisitishwa kidiplomasia)

Ethiopia has never laid claim into this Ilemi triangle issue. Ilemi triangle is an issue BTW SS and KE only. And like I said, administrative boundaries have been put in place and they change from time to time. So this is no longer a "dispute"

KDF na ENDF wanapigania Somalia. Na ENDF wako on the wrong kwa sababu they are illegally in Somalia. (except for troops within AMISOM)

As for TZ nishakuelezea ni nchi gani inahujumu biashara ila you are choosing what to believe SELECTIVELY.

Usilazimishe ugomvi.
 
Hatuna ugomvi na UGANDA (resolved amicably inamaanisha kuwa ugomvi ulisitishwa kidiplomasia)

Ethiopia has never laid claim into this Ilemi triangle issue. Ilemi triangle is an issue BTW SS and KE only. And like I said, administrative boundaries have been put in place and they change from time to time. So this is no longer a "dispute"

KDF na ENDF wanapigania Somalia. Na ENDF wako on the wrong kwa sababu they are illegally in Somalia. (except for troops within AMISOM)

As for TZ nishakuelezea ni nchi gani inahujumu biashara ila you are choosing what to believe SELECTIVELY.

Usilazimishe ugomvi.
Onyesha lini Kenya na Uganda mlilimaliza tatizo la Migingo, na je ni nchi gani inayomiliki Migingo, ninakuomba weka link inayoonyesha kwamba Kenya na Uganda walishakubaliana kuhusu Migingo.

Kuhusu Ilemi triangle, wanajeshi wa Ethiopia wamekua wakiingia katika eneo hili na kuwauwa wakenya kwa kisingizio kwamba sio Eneo la Kenya, hili tatizo limeishia wapi?

Kenya na Somali mnagombea maritime border.

Jeshi la Ethiopia linaisaidia Serikali ya Somalia kupigana na Jeshi la Jubaland na KDF, huo nao ni Mgogoro uliosababishwa na Kenya kuisaidia Serikali ya Jubaland isiyotambulika kimataifa.

Tanzania na Kenya hatujawahi kuwa marafiki na Kenya toka enzi za Nyerere na Jommo Kenyatta.

Kwanini Kenya mnakwaruzana na majirani wenu wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom