Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,452
- 65,716
- Thread starter
- #41
Ina wezekana ata hakumkuta bikraSiyo kweli 100% utakataa uwezavyo lkn ukweli unaujua mwenyewe yaani kitu kipya kiendeleee kuwa kipya ? Yaani hata bikra yake inarudi kila siku? Kama sivyo huo upya wa kila siku unatoka wapi?