Wale wanatumia nguvu za Giza wanakuondolea ufahamu kwanza kwa kukujaza mapepo,hafu unakuwa unawatii kwa kila jambo.Hivi kwa nini devil worshippers wengi wana uwezo mkubwa sana wa kufikiri na kucheza na mind za watu kiasi kwamba wanaweza kukuaminisha uwongo kuwa ukweli ?
Christians wengi wana akili ndogo sana kiasi kwamba wanachoambiwa na viongozi wao wa dini wana fuata bila kuhoji, kwa mfano kesi kama ya kibwetele alipo waambiwa waumini wake wagawe mali zao zote yesu anakuja kuwachukuwa na waumini hawakumbishia matokeo yake aliwafungia na kuwachoma moto
Au kuna juzi juzi tu kuna kiongozi wa dini alikuwa anawanywesha wafuasi wake dettol kama sehemu ya ibada
Hivi ni kweli wanaenda kupata mabikra mbinguniNikweli hata ukiwaangalia waislamu wengi wanaambiwa wabebe mabom na kuua watu ndio watauona ufalme Wa mbingu nao wanakubali, utakuta mwislamu mzima anamchinja mwenzake kisa tu kaambiwa akiua ataenda mbinguni
Mheshimiwa nakushauri usihuzunike na maneno ya mtoa mada maana hufahamu wake ndipo ulipoishia, neno devil's worshipers sio dini kiswahili ni waabudu shetani ni mtu yeyote wa dini yeyote anaweza akawa Christian au Islam au hata Pagan lkn ana amini vitu vimuhusisho Shetani let say wewe ni Christian au Islam lkn unaenda kwa waganga ktk harakati zako za maisha mnapunga mashetani then unapewa Hirizi ya kukukinga you are Devil worshiper my friend! Hata zile secret societies ambazo tunaziita Satanic ,members wake ni watu kutoka kwenye madhehebu na dini zetu tena waumini wazuri na wenye misaada sana kwa jamii ila kuna imani nyingine ya ziada wanaifanya ili kugain power and prosperity!Mbona unaidhihaki dini ya kikristo tu? Hapo hujawatendea haki si kila atakaye litaja jina la Yesu atauona ufalme wa Mungu.
Pia unatuambia nn kuhusu alqaida vs Muslim, alshabab vs Muslim na ISS vs Muslim .Je ni halali kuuhusisha uislam na makundi haramu ya kigaidi? Mm naona hatuwezi tukafanyaivo bc kama ni ivo hatuwezi tukasema watu wa dini fulani wana IQ ndogo
Watu hushiriki kwenye uovu fulani huku wakitumia mwavuli wa taasisi ilotukuka.
Aisee kumbe mkuu ulikuwa unataka kunitoa kafaraHuyu anayejiita HR 666 kama kweli amedhamiria kuwa mpinga kristo namuomba afanye alivofanya kwenye Uzi wake. Mkimsikia anaishi tena basi mtambue huyu MTO ni mpinga Kristo kweli ila kama anabeep atakiona
Mkuu. Be care.Aisee kumbe mkuu ulikuwa unataka kunitoa kafara
Ha ha ha ha ha
Mimi mtoto wa ujinini mkuu
Nayajua ya duniani na ya ujinini
Kwa hilo umefeli
Nakutania bhana mkuuMkuu. Be care.
Mkuu unatambua kitu kinachoitwa inkanyanyala. Mkuu kuwa makini.Nakutania bhana mkuu
Sijui lolote mimi kuhusu mambo hayo ndio maana nauliza mnijuze
sijui lolote mkuuMkuu unatambua kitu kinachoitwa inkanyanyala. Mkuu kuwa makini.
Mkuu siwezi kukutoa kafara. Mm numeona avatar yako nikaona nikujaribu akili yako ilivyo.sijui lolote mkuu
Ila kwa nini ulitaka kunitoa kafara ?
ila ngojaMkuu siwezi kukutoa kafara. Mm numeona avatar yako nikaona nikujaribu akili yako ilivyo.
Mkuu. Pls angaliaila ngoja
Nikanywe makombe ya kutosha
Nikaoge mzizima
Halafu nirudi tena jukwaani kuendelea
tuishie hapa mkuuMkuu. Pls angalia
Jaribu mkuu. Utaimarika sana ba safar zako ambazo umeanzatuishie hapa mkuu
Tuendelee na mengine
Ila maelekezo yako yale ya kuchinja paka siwezi kuyafanya
Wanafanya hayo pamoja na kuwa na IQ kubwa!! Aisee!Nikweli hata ukiwaangalia waislamu wengi wanaambiwa wabebe mabom na kuua watu ndio watauona ufalme Wa mbingu nao wanakubali, utakuta mwislamu mzima anamchinja mwenzake kisa tu kaambiwa akiua ataenda mbinguni
MKUU Mara nyingi watu wasio fuata dini zenye sheria na mipaka ya kufikiri uwa wanafikiria behind the limit kwaiyo ni nafuu kwao katika kugundua na kuvumbua mambo makubwa na magumuHivi kwa nini devil worshippers wengi wana uwezo mkubwa sana wa kufikiri na kucheza na mind za watu kiasi kwamba wanaweza kukuaminisha uwongo kuwa ukweli?
Christians wengi wana akili ndogo sana kiasi kwamba wanachoambiwa na viongozi wao wa dini wana fuata bila kuhoji, kwa mfano kesi kama ya Kibwetele alipo waambiwa waumini wake wagawe mali zao zote Yesu anakuja kuwachukuwa na waumini hawakumbishia matokeo yake aliwafungia na kuwachoma moto.
Au kuna juzi juzi tu kuna kiongozi wa dini alikuwa anawanywesha wafuasi wake dettol kama sehemu ya ibada.