umekosea sana kutaja cheo, wasiolipa madeni ni wengi tuMtu namdai laki 1 tu,lakini huu unaenda mwezi wa 2 sasa,kila mshahara ukitoka jamaa anasema ana vipengele vingi hivyo nimvumilie.
Huu sio uungwana kabisa
Uwezo mdogo kutokana na unyonyaji wa chama uvundoMtu namdai laki 1 tu,lakini huu unaenda mwezi wa 2 sasa,kila mshahara ukitoka jamaa anasema ana vipengele vingi hivyo nimvumilie.
Huu sio uungwana kabisa
Anasema mbombongaaafuACHENI KUWAKOPESHA kopesheni wanao lipa bila usumbufu. Au mpwayungu unasemaje?
Wengine ni wachungaji na walokole.Usiombe ukawakopesasha utajuta.Mtu namdai laki 1 tu,lakini huu unaenda mwezi wa 2 sasa,kila mshahara ukitoka jamaa anasema ana vipengele vingi hivyo nimvumilie.
Huu sio uungwana kabisa
Kama walimu wa sekondari ni wepesi kulipa madeni, basi kumbuka kuwa mwaka 2018 kuna walimu wa sekondari walishushwa kwenda msingi.Mtu namdai laki 1 tu,lakini huu unaenda mwezi wa 2 sasa,kila mshahara ukitoka jamaa anasema ana vipengele vingi hivyo nimvumilie.
Huu sio uungwana kabisa
Sio hao tu, hadi ma policeMtu namdai laki 1 tu,lakini huu unaenda mwezi wa 2 sasa,kila mshahara ukitoka jamaa anasema ana vipengele vingi hivyo nimvumilie.
Huu sio uungwana kabisa
Mvumilie mwenzio nawe khaaah!Mtu namdai laki 1 tu,lakini huu unaenda mwezi wa 2 sasa,kila mshahara ukitoka jamaa anasema ana vipengele vingi hivyo nimvumilie.
Huu sio uungwana kabisa
Sio walimu tu.Umejitakia mwenyewe ukitaka umkopeshe mwalimu anabidi aweke bondi vitu vyake .
Wenzako wanawajua hao.
Sio hao tu, hadi ma policeMtu namdai laki 1 tu,lakini huu unaenda mwezi wa 2 sasa,kila mshahara ukitoka jamaa anasema ana vipengele vingi hivyo nimvumilie.
Huu sio uungwana kabisa
Polisi unamkopeshaje? Hiyo nikujitakia matatizoSio hao tu, hadi ma police