Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Ukichunguza ukaribu watu ambao ndoa kuvunjika na ikivunjika basi kunatizo tena sio tatizo ni kwamba mzee ndio tatizo kama baba wa kusimamia.
Miaka ya nyuma wazee waliweza kumudu wake wengi na kila mke aliweza kupata anacho wekewa kuzalishwa idadi ya watoto ya kama movie ya fast ferious.
Ila leo wanawake ambao wapo kwenye ndoa wanafanya wanaume kuonekana maanisi kuwa hawana uwezo wa kuzalisha kumbe ni wao sababu ya unyumba
Miaka ya nyuma wazee waliweza kumudu wake wengi na kila mke aliweza kupata anacho wekewa kuzalishwa idadi ya watoto ya kama movie ya fast ferious.
Ila leo wanawake ambao wapo kwenye ndoa wanafanya wanaume kuonekana maanisi kuwa hawana uwezo wa kuzalisha kumbe ni wao sababu ya unyumba