Hivi kuomba msamaha ni makosa?

demokrasia

Member
Apr 6, 2011
52
5
Nimeingia kwenye ugomvi na girlfriend wangu baada ya kumtamkia maneno mabaya nikiwa na hasira. Sababu ya kufikia hatua ya kumtamkia maneno hayo ni baada ya yeye kunigombeza kwa sababu ya kumtafuta kwenye simu ya rafiki yake baada ya kumkosa yeye kwenye simu yake.

Jambo hilo lilinikera sana kwa sababu sikuona mantiki ya yeye kunikoromea kwa sababu ya issue ndogo kama hiyo. Hilo lilipelekea nikapata hasira na kumtamkia maneno mabaya. Lakini baada ya hasira kuisha, niligundua kuwa sikufanya jambo jema kumtamkia maneno hayo, hivyo nikaamua kumwomba radhi kwa hilo.

Kitendo cha kujishusha na kuomba msamaha imekuwa kama ndio nimewasha moto kwa sababu hataki kunisikiliza hata kidogo na hata simu hapokei, na hii ni wiki ya 3 hataki kupokea simu yangu?

Halafu tatizo ni kwamba ninaishi mbali sana na yeye. Mimi nipo Shinyanga na yeye yupo DSM. Nimejaribu kuhusisha baadhi ya marafiki zake wamweleweshe ili anisamehe, lakini ndio kwanza anazidi kuwa mkali.

Cha kusikitisha ni kwamba nilipoanza tu kuomba msamaha alinitumia sms kwamba "ameamua tu-break up". Sasa najiuliza, hivi kuomba msamaha ni makosa?

Wana JF naombeni maoni yenu.
 
Kuomba msamaha sio makosa.

Swala la kumtafuta kupitia kwa rafiki yake binafsi sioni tatizo hapo...na ndio maana una namba ya rafikiye (naamini kwamba najua na anafurahia wewe kua nayo) ....

Kama unavyosema umeshaomba samahani kwa kosa la kumsema vibaya ila hataki kukusikia inabidi ujiulize kwanza maneno uliyomtolea yalikua mabaya kiasi gani.Maana hata kama ni mimi mtu akionyesha kunidharau kupitiliza no amount of samahani will make me take him back...hata kama ntasamehe.Na kama ni mazito sana uliyotoa inabidi utafute namna kweli ya kuonyesha kwamba hukumaanisha na kwamba unajutia...

Ila sasa kama uliyosema sio mzaito sana jua tu mwenzio alikua anatafuta sababu ya kuachana na wewe na sasa ameipata.

We ndo unaejua kila kitu kwahiyo piga mahesabu.
 
Pole sana kuomba msamaha wala si kosa. Ulichofanya ni sawa kabisa, labda alikuwa anatafuta sababu ya kuvunja penzi lenu sasa kaipata.



 
Last edited by a moderator:
kama kabla hata hamjaona inakua hivyo,Tafuta mwingine.Maana hakuna kitu muhimu kama hicho ulichofanya cha kuomba msamaha, na tena kwa kitu ambacho hukupaswa.Ila kwa aijili ya upendo ilibidi.mtu mgumu kusamahe huwe kwenda nae mbali.
 
Amekiukataa sababu umembipiga rafiki yake ulipomkosa yeye na pia sababu alipokuuliza maelezo ukamgombeza. sasa wewe unadhani kakukataa kwa kumuomba msamaha? uko mbali na ukweli.
Na maybe ukute kakukataa kwa sababu nyingine, alikua anatafuta sababu tu. Dar mji wa wajanja...
 
Mungu amekufunulia mapema, na ushukuru ni girl friend, huyo hakufai kabisa kama ulikuwa na mpango wa kumfanya mke basi ndio maono hayo.
 
Kosa halipo kwenye kuomba msamaha....!
Kama amechoka na hakutaki kuachana is inevitable, kumbuka akufukuzae akwambii toka
na penzi halilazimishwi, wewe mweleze bado unamuhitaji, na kilichobaki mwachie yeye, uamuzi.
and dont wait too long kama dalili zinaonyesha hakutaki tena labda ni muhimu kwako ku-move on.
 
Nimeingia kwenye ugomvi na girlfriend wangu baada ya kumtamkia maneno mabaya nikiwa na hasira. Sababu ya kufikia hatua ya kumtamkia maneno hayo ni baada ya yeye kunigombeza kwa sababu ya kumtafuta kwenye simu ya rafiki yake baada ya kumkosa yeye kwenye simu yake. Jambo hilo lilinikera sana kwa sababu sikuona mantiki ya yeye kunikoromea kwa sababu ya issue ndogo kama hiyo.Hilo lilipelekea nikapata hasira na kumtamkia maneno mabaya. Lakini baada ya hasira kuisha, niligundua kuwa sikufanya jambo jema kumtamkia maneno hayo, hivyo nikaamua kumwomba radhi kwa hilo. Kitendo cha kujishusha na kuomba msamaha imekuwa kama ndio nimewasha moto kwa sababu hataki kunisikiliza hata kidogo na hata simu hapokei, na hii ni wiki ya 3 hataki kupokea simu yangu? Halafu tatizo ni kwamba ninaishi mbali sana na yeye. Mimi nipo Shinyanga na yeye yupo Dsm. Nimejaribu kuhusisha baadhi ya marafiki zake wamweleweshe ili anisamehe, lakini ndio kwanza anazidi kuwa mkali. Cha kusikitisha ni kwamba nilipoanza tu kuomba msamaha alinitumia sms kwamba "ameamua tu-break up". Sasa najiuliza, hivi kuomba msamaha ni makosa? Wana JF naombeni maoni yenu.

Player huna chako hapo, gf unampigia simu wiki 3 hapokei wewe hupati meseji tu? Ukimtafuta kwenye simu ya rafiki yake (anything can happen, labda yuko hospitalini) anakuja juu?

Angalia usawa mwingine tu, huna chako.
 
Kuomba msamaha sio makosa.

Swala la kumtafuta kupitia kwa rafiki yake binafsi sioni tatizo hapo...na ndio maana una namba ya rafikiye (naamini kwamba najua na anafurahia wewe kua nayo) ....

Kama unavyosema umeshaomba samahani kwa kosa la kumsema vibaya ila hataki kukusikia inabidi ujiulize kwanza maneno uliyomtolea yalikua mabaya kiasi gani.Maana hata kama ni mimi mtu akionyesha kunidharau kupitiliza no amount of samahani will make me take him back...hata kama ntasamehe.Na kama ni mazito sana uliyotoa inabidi utafute namna kweli ya kuonyesha kwamba hukumaanisha na kwamba unajutia...

Ila sasa kama uliyosema sio mzaito sana jua tu mwenzio alikua anatafuta sababu ya kuachana na wewe na sasa ameipata.

We ndo unaejua kila kitu kwahiyo piga mahesabu.

Kama Mungu nae angekuwa anachagua makosa ya kusamehe basi hakuna atakaepona.
Kwenye imani tunakiri "Kusamehe kama tunavyosamehewa" no matter umefanya nini.
Neno "Msamaha" linamaanisha "Nimejutia nililofanya"

So kama huwezi kusamehe basi hata Mungu hawezi kukusamehe.
Na kama unachagua makosa ya kusamehe, basi hata wewe utachaguliwa makosa ya kusamehewa.
 
Nimeingia kwenye ugomvi na girlfriend wangu baada ya kumtamkia maneno mabaya nikiwa na hasira. Sababu ya kufikia hatua ya kumtamkia maneno hayo ni baada ya yeye kunigombeza kwa sababu ya kumtafuta kwenye simu ya rafiki yake baada ya kumkosa yeye kwenye simu yake. Jambo hilo lilinikera sana kwa sababu sikuona mantiki ya yeye kunikoromea kwa sababu ya issue ndogo kama hiyo.Hilo lilipelekea nikapata hasira na kumtamkia maneno mabaya. Lakini baada ya hasira kuisha, niligundua kuwa sikufanya jambo jema kumtamkia maneno hayo, hivyo nikaamua kumwomba radhi kwa hilo. Kitendo cha kujishusha na kuomba msamaha imekuwa kama ndio nimewasha moto kwa sababu hataki kunisikiliza hata kidogo na hata simu hapokei, na hii ni wiki ya 3 hataki kupokea simu yangu? Halafu tatizo ni kwamba ninaishi mbali sana na yeye. Mimi nipo Shinyanga na yeye yupo Dsm. Nimejaribu kuhusisha baadhi ya marafiki zake wamweleweshe ili anisamehe, lakini ndio kwanza anazidi kuwa mkali. Cha kusikitisha ni kwamba nilipoanza tu kuomba msamaha alinitumia sms kwamba "ameamua tu-break up". Sasa najiuliza, hivi kuomba msamaha ni makosa? Wana JF naombeni maoni yenu.



Umezungumzia galfriend hivyo ni kua wewe ni mkaka... Wanawake tukipenda kweli
hua hamna kitu tunapenda kama huyo tuliempenda atujali 24/7.. Sio kwamba awe hapo...
ila kwamba wakati wowote unapomhitaji au una shida... yupo... kitendo cha Galfrnd kuchukia
wewe kumtafuta thru rafiki proves kua kuna kitu anaficha, na ni kwamba anapoka hapatikani
sio bahati mbaya bali hataki... na kama kafika that stage hakupendi, yupo nawe kwa
sababu ya vigezo vingine...

Alikugombeza... ukamgombeza na ukaomba msamaha... ulikua huna sababu ya kuendelea kujishusha
mno... ilitakiwa umwambie wazi kua kweli umekosea ila hata wewe hujapenda tabia yake na
atoe sababu kwa nini akwazike kiasi hicho hali ulikua una was juu yake... Pole Saaana.
 
Kosa halipo kwenye kuomba msamaha....!
Kama amechoka na hakutaki kuachana is inevitable, kumbuka akufukuzae akwambii toka
na penzi halilazimishwi, wewe mweleze bado unamuhitaji, na kilichobaki mwachie yeye, uamuzi.
and dont wait too long kama dalili zinaonyesha hakutaki tena labda ni muhimu kwako ku-move on.

Nimegundua kuna watu wana nature ya KUTOSAMEHE
 
Pole sana kuomba msamaha wala si kosa. Ulichofanya ni sawa kabisa, labda alikuwa anatafuta sababu ya kuvunja penzi lenu sasa kaipata.



Si umeona eeeeee!,.....sasa hapo nafikiri njia nzuri ni kutulia kimya mpaka aje aanze mwenyewe,ukiona kimya potezea na endelea na safari,.....mtu unaomba msamaha halafu yeye ndio analeta zake za kuleta eti 'mbreak',.....kwani yeye hajawahi kukukosea na ukamsamehe.
 
Nimeingia kwenye ugomvi na girlfriend wangu baada ya kumtamkia maneno mabaya nikiwa na hasira. Sababu ya kufikia hatua ya kumtamkia maneno hayo ni baada ya yeye kunigombeza kwa sababu ya kumtafuta kwenye simu ya rafiki yake baada ya kumkosa yeye kwenye simu yake. Jambo hilo lilinikera sana kwa sababu sikuona mantiki ya yeye kunikoromea kwa sababu ya issue ndogo kama hiyo.Hilo lilipelekea nikapata hasira na kumtamkia maneno mabaya. Lakini baada ya hasira kuisha, niligundua kuwa sikufanya jambo jema kumtamkia maneno hayo, hivyo nikaamua kumwomba radhi kwa hilo. Kitendo cha kujishusha na kuomba msamaha imekuwa kama ndio nimewasha moto kwa sababu hataki kunisikiliza hata kidogo na hata simu hapokei, na hii ni wiki ya 3 hataki kupokea simu yangu? Halafu tatizo ni kwamba ninaishi mbali sana na yeye. Mimi nipo Shinyanga na yeye yupo Dsm. Nimejaribu kuhusisha baadhi ya marafiki zake wamweleweshe ili anisamehe, lakini ndio kwanza anazidi kuwa mkali. Cha kusikitisha ni kwamba nilipoanza tu kuomba msamaha alinitumia sms kwamba "ameamua tu-break up". Sasa najiuliza, hivi kuomba msamaha ni makosa? Wana JF naombeni maoni yenu.


Mkuu
Acha msamaha wa kweli utoke moyoni mwake, kama kumbembeleza na kumuelewesha naona umefanya vya kutosha.
Ni wazi anaonekana hawezi kukusamehe.
Na utajiingiza matatizoni ukimlazimisha akusamehe, atatumia mwanya huo kukushika masikio
 
Nimegundua kuna watu wana nature ya KUTOSAMEHE

kuna baadhi ya watu hasa wanawake
ukiomba msamaha tu,umeumia....
anakuona soft hivi au b.w.e.ge hivi...

ndo maana sometimes kesi ndogo unaziacha zinapita tu
unatoa space shetani apite kuliko kukimbilia kuomba msamaha...
 
Umezungumzia galfriend hivyo ni kua wewe ni mkaka... Wanawake tukipenda kweli
hua hamna kitu tunapenda kama huyo tuliempenda atujali 24/7.. Sio kwamba awe hapo...
ila kwamba wakati wowote unapomhitaji au una shida... yupo... kitendo cha Galfrnd kuchukia
wewe kumtafuta thru rafiki proves kua kuna kitu anaficha, na ni kwamba anapoka hapatikani
sio bahati mbaya bali hataki... na kama kafika that stage hakupendi, yupo nawe kwa
sababu ya vigezo vingine...

Alikugombeza... ukamgombeza na ukaomba msamaha... ulikua huna sababu ya kuendelea kujishusha
mno... ilitakiwa umwambie wazi kua kweli umekosea ila hata wewe hujapenda tabia yake na
atoe sababu kwa nini akwazike kiasi hicho hali ulikua una was juu yake... Pole Saaana.


When a woman . . . . .
Thanx
 
kuna baadhi ya watu hasa wanawake
ukiomba msamaha tu,umeumia....
anakuona soft hivi au b.w.e.ge hivi...

ndo maana sometimes kesi ndogo unaziacha zinapita tu
unatoa space shetani apite kuliko kukimbilia kuomba msamaha...


As much as umesema baadhi... ebu Boss wanaume wangapi wanaomba msamaha? wachache mno...
 
kuna baadhi ya watu hasa wanawake
ukiomba msamaha tu,umeumia....
anakuona soft hivi au b.w.e.ge hivi...

ndo maana sometimes kesi ndogo unaziacha zinapita tu
unatoa space shetani apite kuliko kukimbilia kuomba msamaha...

Mkuu
Ashadii kavua gamba hapo juu
Hebu soma sababu alizozitoa hapo juu wanawake kutosamheme, wakati by nature mwanamke ni alama ya upendo na huruma
 
Back
Top Bottom