Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Waelezeee maelezo yanajitosheeza
 
Waseme na wale wanaotoka mikoani kuja Dar,,, huwa wanajikuta kilixhowaleta dar hawakipati na kurudi makwao wanaona aibu,,siku wakirudi wanakuta waliowaacha wana maisha next level zaidi yao!! Hii inawakumba hata watumishi wa umma waliopangwa kazi nje ya mikoa yao mara nyingi hujikuta wana madeni tu huko mijini wanaogopa hata kurudi nyumbani
 
Hakuna usiano wowote kufeli ni kufeli tu hata ungeenda mwezini kama kufeli kupogo tu inategea huko kufeli kwa mtu. Kuna mwengine kufeli ni kuwa idle hahahaha
 
Hao ni wachache vipi walio wengi waliofanikiwa?

Hata hapa nchini kuna watu pia wamekwama na wamechoka ila pia kuna watu pia wamefanikiwa.

Hivyo kuna wanaofanikiwa na kuna wasiofanikiwa katika kila maeneo.
 
Umenena Vyema Sana mkuu....nimependa hapo kwenye"Wake Up Call"nadhani watakuelewa
 
I second you
 
Hiki ndicho Wabongo wasichoelewa. Na hawataelewa hadi siku watakapotoka Tanzania. Na kwa sababu hawatotoka, watakufa tu bila kuelewa. Watu wana hela kwenye nchi zilizoendelea lakini wanapanga mwanzo hadi mwisho.Cash ni muhimu sana ktk nchi zilizoendelea kuliko assets.
Ulaya watu hawajengi nyumba wewe. Kwako kujenga nyumba ndiyo kipimo cha maendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…