luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,023
- 21,268
Hapana mkuuDuuuh hujawahi soma story ya Nkumbu mkuu
Hapana mkuuDuuuh hujawahi soma story ya Nkumbu mkuu
Thankssame to you my dear
Aiseee! Alikuwa demu mkali kishenzi. Nimeangalia avanta yako hapo nikalinganisha kama mnafanania iviHapana mkuu
Mimi diaspora nilokutana nao kwakweli wanavutia kila idara,yaani unatamani huyu angekuwa mme wako.
Yaani hao wawili nilokutana nao wacha wee sijui magari ya maana ni wao, sijui nyumba nzuri, ni wao, kwakweli siwezi wataja hapa ila mlipo silute kwenu.
Diaspora nyote ntaoaga mbinguni huku duniani hakuna wake zenu.
TATIZO WALILO NALO..........NI KUOA
diaspora popote mlipo aliyewaroga dawa aliwawekea mapenzini ili msioe. Poleni sana.
Ahaaaaa sidhan maana mmoja nilikutana nae humu na najua id yake, mwingine nilijuana ne mitaani sijui kama yupo humuEwaaa sasa wewe umekutana na wanyamwezi wa kweli afu usikute unaniongelea mimi mkuu
Ahaaaaa sidhan maana mmoja nilikutana nae humu na najua id yake, mwingine nilijuana ne mitaani sijui kama yupo humu
Nb naona uko team job tukiandamana kupinga kujiuzulu nitakuunga mkono😂😂😂😂
Ni sawa unapofeli maisha ukaamua kwenda Riaha mbuyuni kulima vitunguu au ukaenda chunya kuchimba dhahabu.Wasalaam wanajamvi.
Jamani kuna jambo linanifikirisha kwa muda sasa, hivi kuna uhusiano wowote kwa vijana wa makamo wanaorudi toka ughaibuni na kufeli maisha? Nimekutana na case Kama tatu hivi ambazo zimenivuruga kichwa. Nitazielezea kiufupi.
1. Katika hekaheka za humu duniani nilikaribishwa kwenye house party moja maeneo ya Salasala, ilisheheni mbwembwe za kila aina, nilikuwa na wadada warembo na wakaka wamotoo, kila mtu alijifanyia ni mmarekani, Siku hiyo nilijiona nimeokota dodo chini ya mchongoma kwani Kuna jamaa very presentable aliyetambulishwa Kama ndio fresh karudi zake kutoka ughaibuni alitokea kunitunuku. Hapo ndio ulikuwa mwanzo wa penzi tamu nikiwa na matarajio kibao.
Picha linaanzia huyu Bwana hana hata nyumba, kapewa nyumba na wazazi wake maeneo ya Tangi bovu ndio anaishi hapo, huyu Bwana sifa ya umalaya hakubarikiwa, yeye ni mlevi hujapata ona, akiamka asubuhi anaoga, anawasha zake muziki anaanza kunywa whiskey jamani ni asubuhi ya saa tatu, hiyo Ni mpera mpera mpaka atavyolala Sasa sita. Alikuwa anapenda kupika mwenyewe, anapika anakula kidogooo vyote najilia mie yeye anatwanga mipombe yake.. Baada ya miezi kadhaa nikaanza muuliza ana mpango gani wa maisha? Kazi au biashara hana jibu sahihi.. Nina search zoom namuonyesha nafasi za kazi jibu lake sawa nita apply, miezi inayoyoma yule bwana hastuki wala nini. Imagine mtu ana 41 anapewa pocket money na mama..
Nikaanza lalamika kwa ndugu zake wa karibu, mtoto wa baba yake mdogo akaniita faragha "Kama kweli una ndoto na maisha yako hapo unapoteza muda wako buree huyo hajarudi na kitu chochote zaidi ya begi lake na picha za kwenye barafu, huko Germany hajasoma chochote na wala huku nyumbani hajainvest kitu chochote kufupi Ni kwamba"Kaenda KUZURURA miaka Saba halafu karudi hoi.. Nikachoka na penzi likafa.. Ila penzi lake lilikuwa tamu sana hana kero, muelewa, romantic kwa kweli abarikiwe Sana na atolewe tozo kwenye kila muamala ataofanya.
2. Huyu ni kaka wa best friend wangu, siku anaondoka hadi airport tumemsindikiza akielekea UK akiahidi ahadi kedekede lazima apambane atoke kimaisha kwamba nafasi aliyoipata hawezi chezea. Jamani kaenda huko miaka sita baadae hata nauli ya kurudi ilibidi atumiwe, karudi hana hata mia yupo tu amekuwa mwamba wa kupiga virungu.
3. Huyu wa tatu nahisi ndio kamaliza Ulaya yoteee kikubwa anachomiliki Ni saa aina Seiko anadai Ni original alinunua Milan, simu yake ya smartphone, kiingereza kilichonyooka na album yake ya Google photos ikiwa imesheheni picha pambe kabisa zenye mandhali ya kuvutia sana. Nae kwa virungu na uchawa hajambo.
Sasa Hawa Ni mfano tu wa wengi wanaokwenda huko ughaibuni na kurudi tee. Hebu tuwaulize nyie mnaojiita Diaspora huko huwa mnafanya nini? Wenzenu huku nyumbani Mambo yetu ni bambam tumeoana, tuna watoto, tunaishi vizuri. Sasa huko jamani mbona Kama mnapoteza muda Ila mkitupia picha mnatuvimbia kwelikweli ilihali si uhalisia.
My Take Kama huko Mambo meusi rudini nyumbani tujenge nchi. Nyie vijana wenye ndoto za kwenda kusaka tonge huko ughaibuni nawashauri mpambane tu hapa nyumbani mtatoboa unless mkachukue elimu mrudi.
Ishiiiiiy kiki tu hana jipya😀 😀 tumpe Mwijaku uspika sasa au unasemaje?
Mimi siko interested na thread bali niko interested na mtuhumiwa namba moja.Wasalaam wanajamvi.
Jamani kuna jambo linanifikirisha kwa muda sasa, hivi kuna uhusiano wowote kwa vijana wa makamo wanaorudi toka ughaibuni na kufeli maisha? Nimekutana na case Kama tatu hivi ambazo zimenivuruga kichwa. Nitazielezea kiufupi.
1. Katika hekaheka za humu duniani nilikaribishwa kwenye house party moja maeneo ya Salasala, ilisheheni mbwembwe za kila aina, nilikuwa na wadada warembo na wakaka wamotoo, kila mtu alijifanyia ni mmarekani, Siku hiyo nilijiona nimeokota dodo chini ya mchongoma kwani Kuna jamaa very presentable aliyetambulishwa Kama ndio fresh karudi zake kutoka ughaibuni alitokea kunitunuku. Hapo ndio ulikuwa mwanzo wa penzi tamu nikiwa na matarajio kibao.
Picha linaanzia huyu Bwana hana hata nyumba, kapewa nyumba na wazazi wake maeneo ya Tangi bovu ndio anaishi hapo, huyu Bwana sifa ya umalaya hakubarikiwa, yeye ni mlevi hujapata ona, akiamka asubuhi anaoga, anawasha zake muziki anaanza kunywa whiskey jamani ni asubuhi ya saa tatu, hiyo Ni mpera mpera mpaka atavyolala Sasa sita. Alikuwa anapenda kupika mwenyewe, anapika anakula kidogooo vyote najilia mie yeye anatwanga mipombe yake.. Baada ya miezi kadhaa nikaanza muuliza ana mpango gani wa maisha? Kazi au biashara hana jibu sahihi.. Nina search zoom namuonyesha nafasi za kazi jibu lake sawa nita apply, miezi inayoyoma yule bwana hastuki wala nini. Imagine mtu ana 41 anapewa pocket money na mama..
Nikaanza lalamika kwa ndugu zake wa karibu, mtoto wa baba yake mdogo akaniita faragha "Kama kweli una ndoto na maisha yako hapo unapoteza muda wako buree huyo hajarudi na kitu chochote zaidi ya begi lake na picha za kwenye barafu, huko Germany hajasoma chochote na wala huku nyumbani hajainvest kitu chochote kufupi Ni kwamba"Kaenda KUZURURA miaka Saba halafu karudi hoi.. Nikachoka na penzi likafa.. Ila penzi lake lilikuwa tamu sana hana kero, muelewa, romantic kwa kweli abarikiwe Sana na atolewe tozo kwenye kila muamala ataofanya.
2. Huyu ni kaka wa best friend wangu, siku anaondoka hadi airport tumemsindikiza akielekea UK akiahidi ahadi kedekede lazima apambane atoke kimaisha kwamba nafasi aliyoipata hawezi chezea. Jamani kaenda huko miaka sita baadae hata nauli ya kurudi ilibidi atumiwe, karudi hana hata mia yupo tu amekuwa mwamba wa kupiga virungu.
3. Huyu wa tatu nahisi ndio kamaliza Ulaya yoteee kikubwa anachomiliki Ni saa aina Seiko anadai Ni original alinunua Milan, simu yake ya smartphone, kiingereza kilichonyooka na album yake ya Google photos ikiwa imesheheni picha pambe kabisa zenye mandhali ya kuvutia sana. Nae kwa virungu na uchawa hajambo.
Sasa Hawa Ni mfano tu wa wengi wanaokwenda huko ughaibuni na kurudi tee. Hebu tuwaulize nyie mnaojiita Diaspora huko huwa mnafanya nini? Wenzenu huku nyumbani Mambo yetu ni bambam tumeoana, tuna watoto, tunaishi vizuri. Sasa huko jamani mbona Kama mnapoteza muda Ila mkitupia picha mnatuvimbia kwelikweli ilihali si uhalisia.
My Take Kama huko Mambo meusi rudini nyumbani tujenge nchi. Nyie vijana wenye ndoto za kwenda kusaka tonge huko ughaibuni nawashauri mpambane tu hapa nyumbani mtatoboa unless mkachukue elimu mrudi.
Siku bhana nikapata kasafari ka kikazi Hong Kong. Kuna jamaa zangu wako pale nikasema niwatafute kiaina. Wale jamaa wakajua niko kule lakini akili ikawatuma nimezamia kwenda kutafuta mchongo.... Jamaa walinikwepa sijawahi kuona. Kuja kushangaa wakajua hoteli niliyofikia .... wakashangaa na kuanza kunitafuta....Kwani nikifika Dubai kunaniongezea nini?nitolee unga wako hapa
Mkuu, tudondoshee mbinu angalau chache tu.Ulaya ni hapahapa tu.... as long as unajua kuzitafuta....
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Sasa hivi nimepumzika kidogo natafiti biashara zingine.Unajua nimeishi mtogole, na ni mwenyeji hapo....
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Babu mbona kama huyu sie yule mjukuu wako?Mimi siko interested na thread bali niko interested na mtuhumiwa namba moja.
Nakupa masaa 24. Vinginevyo utaletwa na pingu
Cc Chaliifrancisco kwa taarifa na utekelezaji
Ni nadra sana kutoboa ukiwa huko, huku mwalimu wa shule ya msingi anamshinda aliyeko huko nje. Mie Kuna ninaowajua wako nje ila wazazi huku nyumbani wanawasaidia.
Nikezipokea hizo taarifa kwa mshtuko mkubwa sana. Leo ntaongea na waandishi wa habariBabu mbona kama huyu sie yule mjukuu wako?
Aiseee Bora kudanga Tanzania kuliko kupoteza muda huko Ulaya....rudini tu kwa kweli
Haya.maneno mazuriHuwezi danga ulaya “labda” nchi za bara la Asia au Uarabuni. Ni sahihi wapo waliofeli na pia wapo waliofanikiwa, wengi wanaorudi huwezi juwa kwa nini wamerudi labda deportion au kaharibu sasa unategemea mtu kama huyo atarudi na nini? Mwingine alikuwa anaishi bila makaratasi so hata kazi unazopata ni za kipato cha chini unaishi kama digidigi. Ungekuwa umeshawahi kufika huko ulaya ungeandika kilicho bora zaidi na ungejuwa kwa nini inakuwa hivyo pia kumbuka wengi wao hawezi kukuambia ukweli kwa nini karudi. Tatizo mlishaaminishwa mtu akienda nje lazima atafanikiwa kumbe hata ndani unafanikiwa tu so mkikutana na aliyetoka nje mnamatarijo makubwa sana kwamba anapesa na amefanikiwa.Kusafiri Nje na kufanya kazi kunakupa exposure na sio guarantee utafanikiwa.Maisha popote!!!!!