Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Mimi diaspora nilokutana nao kwakweli wanavutia kila idara,yaani unatamani huyu angekuwa mme wako.

Yaani hao wawili nilokutana nao wacha wee sijui magari ya maana ni wao, sijui nyumba nzuri, ni wao, kwakweli siwezi wataja hapa ila mlipo silute kwenu.

Diaspora nyote ntaoaga mbinguni huku duniani hakuna wake zenu.

TATIZO WALILO NALO..........NI KUOA

diaspora popote mlipo aliyewaroga dawa aliwawekea mapenzini ili msioe. Poleni sana.

Ewaaa sasa wewe umekutana na wanyamwezi wa kweli afu usikute unaniongelea mimi mkuu ;)
 
Ewaaa sasa wewe umekutana na wanyamwezi wa kweli afu usikute unaniongelea mimi mkuu ;)
Ahaaaaa sidhan maana mmoja nilikutana nae humu na najua id yake, mwingine nilijuana ne mitaani sijui kama yupo humu

Nb naona uko team job tukiandamana kupinga kujiuzulu nitakuunga mkono😂😂😂😂
 
Ahaaaaa sidhan maana mmoja nilikutana nae humu na najua id yake, mwingine nilijuana ne mitaani sijui kama yupo humu

Nb naona uko team job tukiandamana kupinga kujiuzulu nitakuunga mkono😂😂😂😂

😀 😀 tumpe Mwijaku uspika sasa au unasemaje?
 
Wasalaam wanajamvi.

Jamani kuna jambo linanifikirisha kwa muda sasa, hivi kuna uhusiano wowote kwa vijana wa makamo wanaorudi toka ughaibuni na kufeli maisha? Nimekutana na case Kama tatu hivi ambazo zimenivuruga kichwa. Nitazielezea kiufupi.

1. Katika hekaheka za humu duniani nilikaribishwa kwenye house party moja maeneo ya Salasala, ilisheheni mbwembwe za kila aina, nilikuwa na wadada warembo na wakaka wamotoo, kila mtu alijifanyia ni mmarekani, Siku hiyo nilijiona nimeokota dodo chini ya mchongoma kwani Kuna jamaa very presentable aliyetambulishwa Kama ndio fresh karudi zake kutoka ughaibuni alitokea kunitunuku. Hapo ndio ulikuwa mwanzo wa penzi tamu nikiwa na matarajio kibao.

Picha linaanzia huyu Bwana hana hata nyumba, kapewa nyumba na wazazi wake maeneo ya Tangi bovu ndio anaishi hapo, huyu Bwana sifa ya umalaya hakubarikiwa, yeye ni mlevi hujapata ona, akiamka asubuhi anaoga, anawasha zake muziki anaanza kunywa whiskey jamani ni asubuhi ya saa tatu, hiyo Ni mpera mpera mpaka atavyolala Sasa sita. Alikuwa anapenda kupika mwenyewe, anapika anakula kidogooo vyote najilia mie yeye anatwanga mipombe yake.. Baada ya miezi kadhaa nikaanza muuliza ana mpango gani wa maisha? Kazi au biashara hana jibu sahihi.. Nina search zoom namuonyesha nafasi za kazi jibu lake sawa nita apply, miezi inayoyoma yule bwana hastuki wala nini. Imagine mtu ana 41 anapewa pocket money na mama..

Nikaanza lalamika kwa ndugu zake wa karibu, mtoto wa baba yake mdogo akaniita faragha "Kama kweli una ndoto na maisha yako hapo unapoteza muda wako buree huyo hajarudi na kitu chochote zaidi ya begi lake na picha za kwenye barafu, huko Germany hajasoma chochote na wala huku nyumbani hajainvest kitu chochote kufupi Ni kwamba"Kaenda KUZURURA miaka Saba halafu karudi hoi.. Nikachoka na penzi likafa.. Ila penzi lake lilikuwa tamu sana hana kero, muelewa, romantic kwa kweli abarikiwe Sana na atolewe tozo kwenye kila muamala ataofanya.

2. Huyu ni kaka wa best friend wangu, siku anaondoka hadi airport tumemsindikiza akielekea UK akiahidi ahadi kedekede lazima apambane atoke kimaisha kwamba nafasi aliyoipata hawezi chezea. Jamani kaenda huko miaka sita baadae hata nauli ya kurudi ilibidi atumiwe, karudi hana hata mia yupo tu amekuwa mwamba wa kupiga virungu.

3. Huyu wa tatu nahisi ndio kamaliza Ulaya yoteee kikubwa anachomiliki Ni saa aina Seiko anadai Ni original alinunua Milan, simu yake ya smartphone, kiingereza kilichonyooka na album yake ya Google photos ikiwa imesheheni picha pambe kabisa zenye mandhali ya kuvutia sana. Nae kwa virungu na uchawa hajambo.

Sasa Hawa Ni mfano tu wa wengi wanaokwenda huko ughaibuni na kurudi tee. Hebu tuwaulize nyie mnaojiita Diaspora huko huwa mnafanya nini? Wenzenu huku nyumbani Mambo yetu ni bambam tumeoana, tuna watoto, tunaishi vizuri. Sasa huko jamani mbona Kama mnapoteza muda Ila mkitupia picha mnatuvimbia kwelikweli ilihali si uhalisia.

My Take Kama huko Mambo meusi rudini nyumbani tujenge nchi. Nyie vijana wenye ndoto za kwenda kusaka tonge huko ughaibuni nawashauri mpambane tu hapa nyumbani mtatoboa unless mkachukue elimu mrudi.
Ni sawa unapofeli maisha ukaamua kwenda Riaha mbuyuni kulima vitunguu au ukaenda chunya kuchimba dhahabu.

Maisha popote kijana na unapotafuta usione aibu
 
Wasalaam wanajamvi.

Jamani kuna jambo linanifikirisha kwa muda sasa, hivi kuna uhusiano wowote kwa vijana wa makamo wanaorudi toka ughaibuni na kufeli maisha? Nimekutana na case Kama tatu hivi ambazo zimenivuruga kichwa. Nitazielezea kiufupi.

1. Katika hekaheka za humu duniani nilikaribishwa kwenye house party moja maeneo ya Salasala, ilisheheni mbwembwe za kila aina, nilikuwa na wadada warembo na wakaka wamotoo, kila mtu alijifanyia ni mmarekani, Siku hiyo nilijiona nimeokota dodo chini ya mchongoma kwani Kuna jamaa very presentable aliyetambulishwa Kama ndio fresh karudi zake kutoka ughaibuni alitokea kunitunuku. Hapo ndio ulikuwa mwanzo wa penzi tamu nikiwa na matarajio kibao.

Picha linaanzia huyu Bwana hana hata nyumba, kapewa nyumba na wazazi wake maeneo ya Tangi bovu ndio anaishi hapo, huyu Bwana sifa ya umalaya hakubarikiwa, yeye ni mlevi hujapata ona, akiamka asubuhi anaoga, anawasha zake muziki anaanza kunywa whiskey jamani ni asubuhi ya saa tatu, hiyo Ni mpera mpera mpaka atavyolala Sasa sita. Alikuwa anapenda kupika mwenyewe, anapika anakula kidogooo vyote najilia mie yeye anatwanga mipombe yake.. Baada ya miezi kadhaa nikaanza muuliza ana mpango gani wa maisha? Kazi au biashara hana jibu sahihi.. Nina search zoom namuonyesha nafasi za kazi jibu lake sawa nita apply, miezi inayoyoma yule bwana hastuki wala nini. Imagine mtu ana 41 anapewa pocket money na mama..

Nikaanza lalamika kwa ndugu zake wa karibu, mtoto wa baba yake mdogo akaniita faragha "Kama kweli una ndoto na maisha yako hapo unapoteza muda wako buree huyo hajarudi na kitu chochote zaidi ya begi lake na picha za kwenye barafu, huko Germany hajasoma chochote na wala huku nyumbani hajainvest kitu chochote kufupi Ni kwamba"Kaenda KUZURURA miaka Saba halafu karudi hoi.. Nikachoka na penzi likafa.. Ila penzi lake lilikuwa tamu sana hana kero, muelewa, romantic kwa kweli abarikiwe Sana na atolewe tozo kwenye kila muamala ataofanya.

2. Huyu ni kaka wa best friend wangu, siku anaondoka hadi airport tumemsindikiza akielekea UK akiahidi ahadi kedekede lazima apambane atoke kimaisha kwamba nafasi aliyoipata hawezi chezea. Jamani kaenda huko miaka sita baadae hata nauli ya kurudi ilibidi atumiwe, karudi hana hata mia yupo tu amekuwa mwamba wa kupiga virungu.

3. Huyu wa tatu nahisi ndio kamaliza Ulaya yoteee kikubwa anachomiliki Ni saa aina Seiko anadai Ni original alinunua Milan, simu yake ya smartphone, kiingereza kilichonyooka na album yake ya Google photos ikiwa imesheheni picha pambe kabisa zenye mandhali ya kuvutia sana. Nae kwa virungu na uchawa hajambo.

Sasa Hawa Ni mfano tu wa wengi wanaokwenda huko ughaibuni na kurudi tee. Hebu tuwaulize nyie mnaojiita Diaspora huko huwa mnafanya nini? Wenzenu huku nyumbani Mambo yetu ni bambam tumeoana, tuna watoto, tunaishi vizuri. Sasa huko jamani mbona Kama mnapoteza muda Ila mkitupia picha mnatuvimbia kwelikweli ilihali si uhalisia.

My Take Kama huko Mambo meusi rudini nyumbani tujenge nchi. Nyie vijana wenye ndoto za kwenda kusaka tonge huko ughaibuni nawashauri mpambane tu hapa nyumbani mtatoboa unless mkachukue elimu mrudi.
Mimi siko interested na thread bali niko interested na mtuhumiwa namba moja.

Nakupa masaa 24. Vinginevyo utaletwa na pingu

Cc Chaliifrancisco kwa taarifa na utekelezaji
 
Kwani nikifika Dubai kunaniongezea nini?nitolee unga wako hapa
Siku bhana nikapata kasafari ka kikazi Hong Kong. Kuna jamaa zangu wako pale nikasema niwatafute kiaina. Wale jamaa wakajua niko kule lakini akili ikawatuma nimezamia kwenda kutafuta mchongo.... Jamaa walinikwepa sijawahi kuona. Kuja kushangaa wakajua hoteli niliyofikia .... wakashangaa na kuanza kunitafuta....

Wakanipata na wakapatikana kweli.
 
Ulaya ni hapahapa tu.... as long as unajua kuzitafuta....

Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Mkuu, tudondoshee mbinu angalau chache tu.

Mimi nimejaribu kuuza vipapatio vya kuku na vimbawa lakini sasa vinadoda?

Niliporudi bongo miaka kadhaa nyuma nikaanza na hizo vimbawa niliviita "wicked wings" na tuchips twembamba.

Niliweka kakibanda pale "Kwa Mtogole" lakini uswahilini saa hii hakuna pesa.

Ila hali ya uchumi kwa sasa ni mgogoro.
 
Ni nadra sana kutoboa ukiwa huko, huku mwalimu wa shule ya msingi anamshinda aliyeko huko nje. Mie Kuna ninaowajua wako nje ila wazazi huku nyumbani wanawasaidia.

Mmhh! Mkuu mbona kama una data za side -ve tuu!? Well ngoja nisome comment then nitaandika ninayoyajua kwa side zote mbili.

Ila in short kwenda Ulaya sio kufeli na wala kwenda Ulaya sio kufaulu kama ilivyo kubaki hapa sio kufaulu na wala kubaki hapa sio kufeli
 
Well, nimesoma comments kadhaa ngoja na mimi nichangie, from my experience ulaya kuna makundi matatu ya watafutaji.
1.Wanafunzi.
2.Waliozamia na hawana ujuzi.
3.Waliozamia wana ujuzi.
4.Walioend kwa ajira za makampuni ya kimataifa.

Makundi hayo manne juu usitegemee kama watarudi hapa na maisha sawa kama unavyotegemea kuwa wawe wametoboa.

Kubwa baya zaidi ni kushindwa kuishi kwa malengo.....

Yaani huyo jamaa ako namba 1 inaonekana hana malengo hata pale alipofeli, au ungemuuliza alikuwa na malengo gani ambayo yalifeli hapo ungepata picha y yeye alikuwa mtu wa aina gani huko Yurop.
 
Kwa comments hizi tutaendele kushuhudia watu kama kina Obama wanatokea kwa Wenzetu.
West Africa, mtoto anachangiwa pesa ili azamie, akatafute maish sisi tunasema bora kwetu wakati Africa tunaijua na kwetu tunajua n tunaona palivyo.
Kwa ufupi fighting spirit ya Wabongo wengi nje ni ndogo, mmatumbi anataka kuiishi Paris kama mzungu lazima life likupige K.O
 
Aiseee Bora kudanga Tanzania kuliko kupoteza muda huko Ulaya....rudini tu kwa kweli

Huwezi danga ulaya “labda” nchi za bara la Asia au Uarabuni. Ni sahihi wapo waliofeli na pia wapo waliofanikiwa, wengi wanaorudi huwezi juwa kwa nini wamerudi labda deportion au kaharibu sasa unategemea mtu kama huyo atarudi na nini? Mwingine alikuwa anaishi bila makaratasi so hata kazi unazopata ni za kipato cha chini unaishi kama digidigi. Ungekuwa umeshawahi kufika huko ulaya ungeandika kilicho bora zaidi na ungejuwa kwa nini inakuwa hivyo pia kumbuka wengi wao hawezi kukuambia ukweli kwa nini karudi. Tatizo mlishaaminishwa mtu akienda nje lazima atafanikiwa kumbe hata ndani unafanikiwa tu so mkikutana na aliyetoka nje mnamatarijo makubwa sana kwamba anapesa na amefanikiwa.Kusafiri Nje na kufanya kazi kunakupa exposure na sio guarantee utafanikiwa.Maisha popote!!!!!
 
Huwezi danga ulaya “labda” nchi za bara la Asia au Uarabuni. Ni sahihi wapo waliofeli na pia wapo waliofanikiwa, wengi wanaorudi huwezi juwa kwa nini wamerudi labda deportion au kaharibu sasa unategemea mtu kama huyo atarudi na nini? Mwingine alikuwa anaishi bila makaratasi so hata kazi unazopata ni za kipato cha chini unaishi kama digidigi. Ungekuwa umeshawahi kufika huko ulaya ungeandika kilicho bora zaidi na ungejuwa kwa nini inakuwa hivyo pia kumbuka wengi wao hawezi kukuambia ukweli kwa nini karudi. Tatizo mlishaaminishwa mtu akienda nje lazima atafanikiwa kumbe hata ndani unafanikiwa tu so mkikutana na aliyetoka nje mnamatarijo makubwa sana kwamba anapesa na amefanikiwa.Kusafiri Nje na kufanya kazi kunakupa exposure na sio guarantee utafanikiwa.Maisha popote!!!!!
Haya.maneno mazuri
 
Back
Top Bottom