mtongwe
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,572
- 4,257
Wanaopanda hilo gari ni ukosefu wa pesa z kutosha ila sio kabisa kwa safari ya umbali uleSahihi kabisa. Juzi nimepishana na hiyo City Boy mida ya 12 jioni Dodoma nikajiuliza hili basi liko serious kweli?? nikajiuliza litafika lini huko Karagwe.