Hivi, kiwango cha mwisho cha kuhesabu namba ni ngapi?

Hivi, kiwango cha mwisho cha kuhesabu namba ni ngapi?

Namba hazina mwanzo wala mwisho we ulisoma shulegani ambazo hazifundishi number line.

ndo kithibitisho kwamba MUNGU hana mwanzo wala mwisho na zero ndo maana ya hatumuoni
 
Kila Lenyemwanzo Halikosi Mwisho Msemo Huo Lakin Ukija Kwenye Namba Haufui Dafu Ya Mungu Ni Mengi N Moja Ya Kaz Ya Mungu Kutupa Uelewa Wakuelewa Kua Ni Namba Tu Lakin Mwisho Wake Tusije Tukajua?
 
Mfano mnaposema inahesabu number mpaka uchoke .. na jina lake litaitwaje ..

Kwa sababu kuna Laki...millioni.... bilioni na trillioni.
Mfano ; 10006900000000000780000000000000000000008880009.

nimeonheza number na nimechoka ..je nimtamkie mtu kwa maneno nimeamdika number gani .?
 
Mfano mnaposema inahesabu number mpaka uchoke .. na jina lake litaitwaje ..

Kwa sababu kuna Laki...millioni.... bilioni na trillioni.
Mfano ; 10006900000000000780000000000000000000008880009.

nimeonheza number na nimechoka ..je nimtamkie mtu kwa maneno nimeamdika number gani .?

manambanamba
 
Fikiria kwanza unachokihesabu ni nini ? (Just think about it) kama unachokihesabu kipo basi mwisho ni pale unachokihesabu kitakapokwisha..

Ila kama unataja namba kwa kuongeza namba nyingine mbele basi hakuna mwisho.., sababu kila utakapoishia kuna uwezo wa kuongeza nyingine.... na hata kama figure fulani hatujaipatia jina watu tunaweza tukakaa na kukubaliana kuipatia jina

hili jibu mimi limenifaa. asante mkuu
 
Previously mathematicians said its that number when you write one then you put zeros right hand side till your hands get tired. But different people gets tired at different time period. So They agreed to the number called Millinillion. Its 10 power 3003(ie 10^3003). But in actual fact numbers are infinite since you can write numbers for the whole of your life without finishing them!

jibu lako lina ushawishi mkuu

.made in mby city.
 
NAMBA YA MWISHO KUHESABU ipo na inapishana kwa kila mmoja wetu, na hutaijua kwani utaanza kuhesabu mpaka utakata roho unaendelea kuhesabu! tangu uanze umeshafika ngapi! ulianzia 0! kuna upande wa kushoto wenye -ve usiusahau tafadhali!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom