Klabu ya Yanga ifanye mabadiliko haya...

Klabu ya Yanga ifanye mabadiliko haya...

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,295
Reaction score
8,848
Niliwah kuleta Uzi humu na nikasema mwamnyeto, Edmund john , n.k hawafai kubaki Yanga sc, nikaishia kutukanwa na kuitwa mjinga.

Leo nitawasanua Tena , max nzengeli,anacheza nafasi isiyokua yake kiuhalisia ,sio Central midfielder, nor box to box , ni no 10 yanga wanapaswa kutafuta viungo asilia wawili wa Kati ..duke abuya ana energy lakini ufanisi wake wa pasi ni butu na maamuzi yake mengi uwanjan ni amateur level hafai hata kukaa benchi Yanga .

Yanga inahitaji namba Tisa mwingine mkali , iwafukuze dube na depu, wote ni useless!!...Yanga wanahitaji natural winger walau mmoja , Kisha mfukuze buba jameeh, Lakini Shadrack Boka pia sio material ya Yanga sc, ni mchezaji wa kawaida mwenye mbio bila ufundi mguuni , .

Mwamnyeto nimemsema mara nyingi , huyu ameshuka uwezo na hafai kuanza Wala kukaa benchi Yanga ni vile tu mpira wa bongo umekua wa mazoea sana.

Pacome awekwe kwenye mipango ya kuuzwa sababu uwezo wake ni duni na haonyeshi kama atarudi katika kiwango chake ,na hili linaweza kufanyika dirisha dogo mwakani ikiwa hatoonyesha improvement mwanzoni mwa msimu ujao ..

Mwisho Koch msomali Hana technical awareness kiwango cha ku manage timu kubwa kama Yanga ..huyu hafai hata kua sehemu ya washauri .

Mwisho kabisa kiburi cha viongozi wa Yanga ndio anguko la Yanga

Adiossss
 
Futa kazi hao wastaafu mwamnyeto et all, including injinia mwenyewe coz anaona hiyo yanga ni mali yake

Huyo boka ande riadha huko congo

Huyo mwingine arudi huko kwao Zanzibar, si kuna ligi yao??

Mnyeto..... amakweli uchawi upo kazini 🙌
 
Maajabu ya mpira msimu huu nitayaona kwenye ligi yetu endapo Yanga atabeba ubingwa.

Wapinzani wetu simba wameonyesha ubora mkubwa kwenye sajili ya msimu huu hasa dirisha dogo.

Mashindano bado yapo mengi huko mbele tuendelee kujiboresha ili tuwe bora zaidi misimu ijayo..

YANGA MBELE DAIMA
 
Kimsingi Yanga ilipoteza muelekeo kule nyuma tangu alipoumia Dickson Job! Kosa kama alilofanya Baka kwenye goli la tatu, ni makosa ya kijinga kufanya na mchezaji wa hadhi ya Yanga.

Timu haina morali! Na mechi inayofuata ya tarehe 24 hao Azam wakishinda tena, na mbuo za ubingwa wa ligi kuu na zenyewe zitaishia hapo.

Kuhusu maboresho; hayakwepeki. Usajili uliofanyika msimu uliopita ulikuwa ni wa hovyo. Ni ingizo moja pekee la Allan Okello ndiyo limezaa matunda. The rest hakuna kitu.
 
Futa kazi hao wastaafu mwamnyeto et all, including injinia mwenyewe coz anaona hiyo yanga ni mali yake

Huyo boka ande riadha huko congo

Huyo mwingine arudi huko kwao Zanzibar, si kuna ligi yao??

Mnyeto..... amakweli uchawi upo kazini 🙌
Injinia mungu mtu atoke tena? Injinia ni mpaka atakapochoka mwenyewe
 
Utopolooooooooooooooòoooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Kwaheriniiiii
 
Niliwah kuleta Uzi humu na nikasema mwamnyeto, Edmund john , n.k hawafai kubaki Yanga sc, nikaishia kutukanwa na kuitwa mjinga.

Leo nitawasanua Tena , max nzengeli,anacheza nafasi isiyokua yake kiuhalisia ,sio Central midfielder, nor box to box , ni no 10 yanga wanapaswa kutafuta viungo asilia wawili wa Kati ..duke abuya ana energy lakini ufanisi wake wa pasi ni butu na maamuzi yake mengi uwanjan ni amateur level hafai hata kukaa benchi Yanga .

Yanga inahitaji namba Tisa mwingine mkali , iwafukuze dube na depu, wote ni useless!!...Yanga wanahitaji natural winger walau mmoja , Kisha mfukuze buba jameeh ,
Lakini shadrack boka pia sio material ya Yanga sc, ni mchezaji wa kawaida mwenye mbio bila ufundi mguuni , .

Mwamnyeto nimemsema mara nyingi , huyu ameshuka uwezo na hafai kuanza Wala kukaa benchi Yanga ni vile tu mpira wa bongo umekua wa mazoea sana.
Pacome awekwe kwenye mipango ya kuuzwa sababu uwezo wake ni duni na haonyeshi kama atarudi katika kiwango chake ,na hili linaweza kufanyika dirisha dogo mwakani ikiwa hatoonyesha improvement mwanzoni mwa msimu ujao ..

Mwisho Koch msomali Hana technical awareness kiwango cha ku manage timu kubwa kama Yanga ..huyu hafai hata kua sehemu ya washauri .
Mwisho kabisa kiburi cha viongozi wa Yanga ndio anguko la Yanga

Adiossss
Mwamnyeto kazeeka, Abuya umri umemtupa hao si wachezaji wa kucheza dakika 90!
Makocha tutawalaumu bure ila ukweli mchungu viongozi walipuyanga kwenye usajili, ukiangalia benchi huoni mchezaji wa maana wa kuisaidia timu, kaingia Damaro na Edmund wanacheza kama cha ndimu🚮🤣
 
Niliwah kuleta Uzi humu na nikasema mwamnyeto, Edmund john , n.k hawafai kubaki Yanga sc, nikaishia kutukanwa na kuitwa mjinga.

Leo nitawasanua Tena , max nzengeli,anacheza nafasi isiyokua yake kiuhalisia ,sio Central midfielder, nor box to box , ni no 10 yanga wanapaswa kutafuta viungo asilia wawili wa Kati ..duke abuya ana energy lakini ufanisi wake wa pasi ni butu na maamuzi yake mengi uwanjan ni amateur level hafai hata kukaa benchi Yanga .

Yanga inahitaji namba Tisa mwingine mkali , iwafukuze dube na depu, wote ni useless!!...Yanga wanahitaji natural winger walau mmoja , Kisha mfukuze buba jameeh ,
Lakini shadrack boka pia sio material ya Yanga sc, ni mchezaji wa kawaida mwenye mbio bila ufundi mguuni , .

Mwamnyeto nimemsema mara nyingi , huyu ameshuka uwezo na hafai kuanza Wala kukaa benchi Yanga ni vile tu mpira wa bongo umekua wa mazoea sana.
Pacome awekwe kwenye mipango ya kuuzwa sababu uwezo wake ni duni na haonyeshi kama atarudi katika kiwango chake ,na hili linaweza kufanyika dirisha dogo mwakani ikiwa hatoonyesha improvement mwanzoni mwa msimu ujao ..

Mwisho Koch msomali Hana technical awareness kiwango cha ku manage timu kubwa kama Yanga ..huyu hafai hata kua sehemu ya washauri .
Mwisho kabisa kiburi cha viongozi wa Yanga ndio anguko la Yanga

Adiossss
Tunawashukuru Mwamnyeto na Bacca kwa kumshikisha adabu Diara.
 
Wapo wanasubiri
 

Attachments

  • Screenshot_20260621-205932_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20260621-205932_WhatsApp.jpg
    48.7 KB · Views: 17
Kifo kisikie kwa jirani
 

Attachments

  • Screenshot_20260621-210518_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20260621-210518_WhatsApp.jpg
    154.4 KB · Views: 19
Basi fukuza timu yote hadi mashabiki,,tuanze upya.
 
Acheni ulozi na upangaji wa matokeo. Timu inachukua ubingwa mara 4 mfululizo na Champions performance ya hovyoooo!!!
Mtajivunia niinii kwa historia yenu ya makombe ya kupewa!!?

eti yanga bingwa 😂😂😂😂😂
 
Acheni ulozi na upangaji wa matokeo. Timu inachukua ubingwa mara 4 mfululizo na Champions performance ya hovyoooo!!!
Mtajivunia niinii kwa historia yenu ya makombe ya kupewa!!?

eti yanga bingwa 😂😂😂😂😂
Hii ni hoja ya kijiweni na sio ya kimpira. Mojawapo ya timu zilizofungwa mara nyingi ni Simba, je nani anahongwa huko Simba?

Yanga tukubali sajili zetu zimefeli na watafutwe wachezaji sahihi. Simba nayo ilipitia sajili mbovu kwa muda mrefu, ni juzi tu kwenye dirisha dogo wamepata wachezaji sahihi.
 
Kimsingi Yanga ilipoteza muelekeo kule nyuma tangu alipoumia Dickson Job! Kosa kama alilofanya Baka kwenye goli la tatu, ni makosa ya kijinga kufanya na mchezaji wa hadhi ya Yanga.

Timu haina morali! Na mechi inayofuata ya tarehe 24 hao Azam wakishinda tena, na mbuo za ubingwa wa ligi kuu na zenyewe zitaishia hapo.

Kuhusu maboresho; hayakwepeki. Usajili uliofanyika msimu uliopita ulikuwa ni wa hovyo. Ni ingizo moja pekee la Allan Okello ndiyo limezaa matunda. The rest hakuna kitu.
Bala Conte
Lassine Kouma
Frank Asinki
Celestine Ecua
Often Chikola
Casemiro
Andy Boyeli
Mohamed Doumbia
Mohamed Husein
Damaro
Edmund John
Wachezaji 11 walioajiriwa msimu huu na hawakupa namba first eleven
 
Bala Conte
Lassine Kouma
Frank Asinki
Celestine Ecua
Often Chikola
Casemiro
Andy Boyeli
Mohamed Doumbia
Mohamed Husein
Damaro
Edmund John
Wachezaji 11 walioajiriwa msimu huu na hawakupa namba first eleven
Dahhh ila mkeka ni mrefu! inasikitisha sana kwa kweli
 
Back
Top Bottom