Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,112
- 126,050
Suala la imani kila mtu ana imani yake. Kwahy kuhusu imani kaa nayo Ww mwnyw unayeamini.Watu wanakunywa pombe na hawafanyi vitu vya ovyo, kuna watu wanakunywa pombe inawapa raha kama vile ww unavyokunywa soda vile .
Biblia ilichokataza ni ulevi ambao upo wazi unaeza kuwa ni wa kitu chochote.
Tunaongelea imani tutajikita kwenye imani zaidi na si maisha ya kawaida kama unavyotaka wewe, imani haipaswi kuwa na maswali mengi unafuata kile unachoambiwa tu pasipo kuhoji sana.
Biblia ambacho ni kitabu cha wakristo wote kimekataza kula nguruwe direct, kimeandika nguruwe asiliwe zaidi ya maandiko 30
Swali langu linabaki vilevile, uharamu wa kitimoto ni upi?