Hivi kinachoitwa MFUMO ni kitu gani?

Hivi kinachoitwa MFUMO ni kitu gani?

Wanasema tatizo la ufisadi ktk nchi yetu ni "mfumo"ndiyo maana hata baada ya lowassa kujiudhuru mwaka 2008,umeendelea..! Me nauliza huo mfumo ni kitu gani sasa ambacho binadamu hawa(watuhumiwa)hawahusiki!??

Baada ya 2008 ufisadi ulisha au uliongezeka?
 
Slaa kaminywa uhuru wake

Mh.Slaa tunamheshimu sana kwa mchango wake mkubwa ktk kukifikisha chama hapa kilipo. Ni vipindi vitatu hivi tumemteua kuwa mgombea wa nafasi ya urais bila mafanikio kiasi kwamba imefika wakati wa kutumia mbinu za msituni kukabiliana na joka CCM.

Ikiwa joka limeingia ndani mwako hakuna silaha inayofaa basi mbinu zozote zitatumika ikiwa ni kwa kulimwagia mafuta ya taa,kutumia meza,jembe au chochote kile ili mradi joka liuwawe na ndio mbinu zinazotumika sasa hivi.
Tumepiga kelele kwa muda mrefu kuwe na tume huru ya uchaguzi lakini wapi,katiba bora kwa watanzania lakini wapi sasa kilichobaki ni kuwakaanga kwa mafuta yao wenyewe.
Mh. Slaa tuko pamoja na tunakutaka ushiriki kikamilifu,tukubali kubadilika kama vile joka linavyobadili mbinu la sivyo kuikamata dola itakuwa ngumu hadi kiama.
 
a set of connected things or parts forming a complex whole, in particular.
a set of principles or procedures according to which something is done; an organized scheme or method.
a set of staves in a musical score joined by a brace.
 
Kimsingi tunaongelea jambo moja, na tunakubaliana, ila tofauti yetu ni kitu kidogo sana. Kuna jambo ndogo tu hutaki kulielewa.

well. nikuulize kitu, hapo kwenye red, je unaweza kuweka kanuni ya kuongoza chochote kile katika nchi bila kuwa na katiba kwanza? Jibu hapa ni hapana, kwa sababu, kabla hujatengeneza kanuni au mwongozo mwingine wowote ule (iwe sera, sheria, kanuni, utaratibu, waraka nk nk) lazima kwanza ujue/ufanye reference ya Kanuni/sheria/mwongozo mama (yaani katiba) ili ujue kwanza katiba inasemaje juu ya hiyo sub kanuni unayotaka kutunga. Sababu ya kufanya hiyo reference ni kwamba, na kama ulivyosema wewe mwenyewe, haitakiwi itungwe kanuni, sera, sheria, mwongozo, au utoe waraka wowote ambao unapingana na katiba la sivyo kanuni hiyo itakuwa ni illigal. vivyo hivyo na mifumo inatengenezwa na sheria sera kanuni (ambazo zinatokana na/au sharti zilandane na katiba ya nchi) na ambazo zinaboreshwa siku hadi siku ili kuifanya mifumo ufanye kazi vema zaid na zaid. Ndo maana ulikuwa unaona watu wenye akili kama cdm na ukawa walikuwa wanahoji uwepo kwanza wa mifumo ( sera, sheria, kanuni nk) ya uendashaji wa biashara ya gesi kabla gesi haijaanza kuchimbwa na kabla mikataba haijaanza kuingiwa. Lakini ninyi ccm, kama kawaida yenu, mlikuwa mnakimbilia tu kuchimba gesi kabla hata ya kutengeza hiyo mifumo ya kusimamia hiyo kazi. Anyway, ni uzuzu fulani ambao tunataka sasa kushirikiana na Lowassa kuundoa.

Kwa hiyo, kimsingi, Sipingani na maelezo yako ila nachokuelewesha ni kuwa katiba ndo kanuni ya kwanza kabla ya kanuni nyingine zote, ndo sheria, sera, mwongozo wa kwanza unaozaaa miongozo mingine yote hence mifumo yote ya uendeshaji nchi

Tunapo kubaliana ni kuwa katiba ni sheria mama, lakini wewe unaendelea kuchanganya zao la mfumo wa uendeshwaji serikarini pia unategemea katiba hapo ndio tunapopingana.

Kwa mfano CAG kagundua kuna tatizo la mishahara hewa, already kuna sheria za ubadharifu kwenye criminal law already sasa hapo kutatuwa tatizo sugu la kuzuiwa huu uwizi unahitaji sheria nyingine tena kutatua tatizo au management creativity kama vile electronic management information systems kwenye kila taasisi mfano electronic log inns or anyother operation management tools and reasoning to ensure supervision of their resources kutoka wizarani kuweza kuangalia resources zao kwa umakini? Kwa sasa tatizo kulitatuwa wameamua kulipa mabenki moja kwa moja kitu gani kinazuia watu kuajiriwa na kutakiwa kupeleka nusu kwa boss kama dili ilihali awaingii maofisini kwa hivyo sidhani kama ni mwarobaini kamili.

In short system za serikari ni jinsi mambo yanavyofanyika na kusimamiwa kufikia malengo sheria nyingi zipo sambasamba na katiba lakini for the most part ni administrative laws tu jinsi watu watakavyofanya vitu lakini bado kuna wigo kubwa sana la management abilities kwenye kutekeleza hayo mambo na mengi ayahitaji sheria ni management creativity people go to school to learn those skills wala sio sheria. Mfano CAG akisema tatizo la ufisadi pia unachangiwa na poor management abilities utaweka sheria gani? wakati already huyo mtu labda ana phd, kwa hivyo swala linaweza kuwa serikari kutomwekea measurable performances za kazi zake na jinsi ya kugagua taasisi anayo iongoza kuhakikisha ufisadi aupo kabisa kwenye taasisi kwa hivyo hapo ni management system inahitajika sio sheria.

Swala la mikataba pia sheria aiwezi weka kila kitu zaidi ya ku-cover privity tu or rules of consideration kwa sababu mambo ya kuzalisha yanategemea faida za pande mbili ambayo yanaweza kuwa complicated kwenye hesabu zenyewe za ROI ambayo inataka uwe technical as per joint venture wakati mnaandika mkataba husika. Kwa hivyo lazima kuwe na wigo to negotiate pia.

Katiba sio system toa hicho kitu kwenye kichwa chako.
 
Mfumo wa CDM ni upi sasa utaolekebisha watu kwa maajabu kiasi hicho? Maana kina Zito, Arfi, Kitila, Mwigamba, Shonza, Shibuda etc walikuwa humohumo na mfumo wa CDM ulishindwa kuwabadilisha mpaka wakaitwa wasaliti.

Besides, ukiniuliza mimi naona CDM ndo wana mfumo mbaya eg kubadilisha katiba ya chama ili kuruhusu watu kubaki madarakani, kuendesha mchakato wa mgombea urais kwa usiri, kutesa wakosaji bila kufata sheria (Kagenzi) etc

Unajua watu hupenda kuongea vitu pasi kuvijua mradi tu hivyo vitu au semi zimezoeleka kwenye jamii, hakuna kitu kinachoitwa kuondoa mfumo! How do you remove a system that for matter of efficiency, must work together to achieve an objective!
Individuals ndio wanaovuruga system kwa kwenda against the system kwa makusudi na bila wahusika wanaosimamia system kuchukua hatua stahiki, hii ni pamoja na rushwa, mikataba mibovu n.k.
Kanuni na taratibu zinaweza tu kuwa zinaingiliana kwenye system lkini ni suala la ku align sheria hizo na mambo yakaenda, kikubwa kuhusu kinachoitwa mfumo ni 'good governence'
Kukiwa kuna udhaifu katika usimamizi hapo ndio mambo yanapoonekana kuwa hayaendi sawasawa.
 
Juhudi za kumsafisha Lowassa zimeshika kasi hasa humu jamvini..!

Viongozi wa ukawa walipoulizwa juu ya ufisadi wa Lowassa,walidai tatizo la ufisadi si lowassa bali ni "mfumo" Tangu hapo wapenzi wa upande huo wamekuwa wakiitetea sana hoja hiyo. Me naomba wanisaidie,hivi kinachoitwa mfumo ni kitu gani,maana tunaaminishwa kana kwamba hicho kinachoitwa mfumo ni kitu hivi cha kushika.

Hata ccm yenyewe huwezi kuishika hivi mkononi,utakuta kuna viongozi,wanachama,sare,katiba nk.

Hivi kwa mfano viongozi wote walioko ccm na serikali yake wote wakihamia chadema,huo unaoitwa mfumo utabaki ccm kwenye majengo au utakuja chadema walikohamia wenye mfumo!??

Yaani eti hata wakija chadema rostam azizy;nazir karamagi,andrew chenge nk. Eti mfumo utakuwa umebaki ccm na wahusika watakuwa safi!!!

Acheni bhaana..

Tunawakaribisha wote mje mjiunge Chadema au CUF au NCCR-Mageuzi au NLD kwa pamoja UKAWA! Tunawahitaji sasa ili tuendeleze mapambano ya kumtoa Kaburu CCM!
 
hii katiba au mfumo huu haukuweko huko nyuma kipindi cha mwalimu?au katiba imebadilika?ufisadi ni wizi tu?wanasiasa waache kuhadaa watu,ccm haina sera ya ufisadi ila viongozi ndiyo mafisadi na wezi,nyerere mwenyewe alikuwa mwizi.

Mmeshachelewa!
 
Siyo vizuri mtu mwenye akili timamu kujitoa fahamu! Kii usichoelewa hapo!!? Kama CCM ingekuwa na mfumo wa Utawala unaopiva vita ya kweli rushwa na ufisadi tusingesikia utitiri wa matukio ya ufisadi hata baada ya EL kujiondoa Serikalini. Lowasa mwenyewe ameeleza namna Mamlaka za juu zilivyohusika ktk sakata la Richmond. Huo ndio mfumo mbaya tunaozungumza. Pia tabia ya CCM kukosa uwezo wa kukemea Serikali pale inapoboronga ni moja wapo ya mifumo mibaya. Kudharau katiba ya wananchi (Ya Warioba) ili kulinda maslahi ya wachache pia ni mfumo m'baya.
Kitu gani kinakupa imani kwamba hao mnaowapokea kutoka huko kwenye mfumo mbovu na mnawapa nafasi za juu kabisaa,kwamba hawatafanya yale waliyokuwa wakifanya wakiwa huko!!??
 
Wakuu tusemezane kidogo. System hapa Tanzania ni nani? kwanini yeye ndio anaonekana kuwa na nguvu kuliko watanzania wote? Kwanini anaamua baadhi ya viongozi wawe wezi anawaacha na wengine anawakamata?

This time amesikika kuwa na sauti kubwa kwenye uteuzi wa Magufuli, na anatajwa kuwa ameshika remote control itakayo m-control hata John Magufuli.

Ningeomba tuelimishane kuhusu system. Ni nini, nani yuko ndani yake, kwanini anaacha wengine wawe wezi na anawalinda, wengine anawaua, wengine anawasaidia, wengine anawatetea. Ni nani hasa huyu system?
 
System ni Kitengo ni kakikundi kadogo tu ka watu kan akopatikana katika kila taasisi ndani ya CCM System ndio waliompachika John kupeperusha bendera ya CCM ndani ya Chadema ndio waliomzawadia uanachama Edward wakamzawadia na ugombea uraisi ukitaka kujua nguvu ya CCM ni kubwa kuliko chama kizima pale anapojiunga ndani ya chama ndani ya siku tatu tuu anapewa nafasi ya kugombea nafasi ya uraisi sina uhakika kama huyu mtu alipata hata mda wa kusoma katiba na sera za chama lakini System ikiamua hakuna wa kupinga
 
Juhudi za kumsafisha Lowassa zimeshika kasi hasa humu jamvini..!

Viongozi wa ukawa walipoulizwa juu ya ufisadi wa Lowassa,walidai tatizo la ufisadi si lowassa bali ni "mfumo" Tangu hapo wapenzi wa upande huo wamekuwa wakiitetea sana hoja hiyo. Me naomba wanisaidie,hivi kinachoitwa mfumo ni kitu gani,maana tunaaminishwa kana kwamba hicho kinachoitwa mfumo ni kitu hivi cha kushika.

Hata CCM yenyewe huwezi kuishika hivi mkononi,utakuta kuna viongozi,wanachama,sare,katiba nk.

Hivi kwa mfano viongozi wote walioko ccm na serikali yake wote wakihamia chadema,huo unaoitwa mfumo utabaki ccm kwenye majengo au utakuja chadema walikohamia wenye mfumo!??

Yaani eti hata wakija CHADEMA, Rostam Aziz,Nazir Karamagi,Andrew Chenge nk. Eti mfumo utakuwa umebaki CCM na wahusika watakuwa safi!!!

Acheni bhaana..

mkuu mfumo kwa maana ya hapa naweza kukubalina. Kwa maana kwamba utaratibu wa chama na serikali wa impunity kwa baadhi ya watu na adhabu kwa wengine.

Lakini kuna maana nyingine kuwa ni kikundi cha watu kinachoitwa system, ni nani wako kwenye kikundi hicho?
 
Tunapo kubaliana ni kuwa katiba ni sheria mama, lakini wewe unaendelea kuchanganya zao la mfumo wa uendeshwaji serikarini pia unategemea katiba hapo ndio tunapopingana.

Kwa mfano CAG kagundua kuna tatizo la mishahara hewa, already kuna sheria za ubadharifu kwenye criminal law already sasa hapo kutatuwa tatizo sugu la kuzuiwa huu uwizi unahitaji sheria nyingine tena kutatua tatizo au management creativity kama vile electronic management information systems kwenye kila taasisi mfano electronic log inns or anyother operation management tools and reasoning to ensure supervision of their resources kutoka wizarani kuweza kuangalia resources zao kwa umakini? Kwa sasa tatizo kulitatuwa wameamua kulipa mabenki moja kwa moja kitu gani kinazuia watu kuajiriwa na kutakiwa kupeleka nusu kwa boss kama dili ilihali awaingii maofisini kwa hivyo sidhani kama ni mwarobaini kamili.

In short system za serikari ni jinsi mambo yanavyofanyika na kusimamiwa kufikia malengo sheria nyingi zipo sambasamba na katiba lakini for the most part ni administrative laws tu jinsi watu watakavyofanya vitu lakini bado kuna wigo kubwa sana la management abilities kwenye kutekeleza hayo mambo na mengi ayahitaji sheria ni management creativity people go to school to learn those skills wala sio sheria. Mfano CAG akisema tatizo la ufisadi pia unachangiwa na poor management abilities utaweka sheria gani? wakati already huyo mtu labda ana phd, kwa hivyo swala linaweza kuwa serikari kutomwekea measurable performances za kazi zake na jinsi ya kugagua taasisi anayo iongoza kuhakikisha ufisadi aupo kabisa kwenye taasisi kwa hivyo hapo ni management system inahitajika sio sheria.

Swala la mikataba pia sheria aiwezi weka kila kitu zaidi ya ku-cover privity tu or rules of consideration kwa sababu mambo ya kuzalisha yanategemea faida za pande mbili ambayo yanaweza kuwa complicated kwenye hesabu zenyewe za ROI ambayo inataka uwe technical as per joint venture wakati mnaandika mkataba husika. Kwa hivyo lazima kuwe na wigo to negotiate pia.

Katiba sio system toa hicho kitu kwenye kichwa chako.
ccm bana! ok basi umeshinda.

tatizo lako wewe unaongelea more at operation level, mimi naongelea at Corporate/policy level. bila shaka wewe ni operational manager wakati mimi ni General/Corporate Manager.

Admnistrative laws zote ni zao la katiba ya nchi. Kila admin law(whether imetungwa na wizara, taasisi, CAG..Whoever with a delegated legislative powers) ni lazima ilandane na katiba na si ku contradict katiba kwa namna yoyote ile. Admin laws/operation laws, na kanuni zake, zinatungwa na watu au bodies ambazo zimekuwa delegated such powers na bunge ambalo ndilo kimsingi lililokasimiwa madaraka na wajibu wa kutunga sheria na Katiba na wakati huo huo bunge nalo linapewa na katiba maradaka hayo linayokasimia. katiba nayo inapata uhalali wake kutoka kwa wananchi ambao, kwa ushiriki wao kwenye kuitunga, na kui approve katiba, wanakuwa ndo source ya authority na legitimacy ya hiyo serikali. Kwa hiyo wizara, idara, taasisi yoyote ya serikali (na hata isiyo ya serikali) inapotunga sheria au kanuni yoyte inafanya hivyo kwa ruhasa ya, na kwa niaba ya, bunge ambalo limepewa mamlaka na katiba, ya kutunga sheria, ambayo nayo inatokana na wanachi. Kwa hiyo nikuongezee tu kuwa, sheria zote, si kwamba tu ni zao la katiba bali pia, kimsingi na kidemokrasia na logically, na kama ilivyo kwa bunge na Mahakama, ni zao la wananchi wote wa nchi husikani. Tukifuata mtiririko huo, na kwa lugha nyepesi, ni sawa na kusema sheria, kanuni nynginezo mbali ya katiba, ni wajukuu na vitukuu vya katiba. Hizo sheria za ubadharifu kwenye criminal law unazosiseme ni zao la katiba kwa sababu zimetungwa na executive(subdelegated authority) kwa authority(subdelegation) ya legislature ambayo ndo kimsingi yenye mamlaka ya kutunga sheria kwa mujibu wa Katiba.

Kwa hiyo mfumo si hapo wizarani tu unapofanya kazi wala si hapo halmashauri tu wala hapo tanesco/TRA/BANDARI nk nk bali mfumo unanazia kwa wananchi wenyewe, thenk katiba ya nchi then huku chini sheria kanuni nk nk.

Tatizo ninyi ccm utawala wenu ni wa kidola (which is actually a step towards a dictatorship) ndo maana mnafikiri mfumo ni ninyi ccm tu wenyewe.

mfumo unaanzia mbali katika kuutengeneza, mbali huko kwa wananchi. ule mfumo wa juu(wananchi,Katiba, Bunge) ungeweza kuuita a Corporate system na huu wa huku chini(wizara, idara, taasisi, regional secretariets, executive agencies, serikal za mitaa nk nk) ni operation systems.

mfumo ni kitu kipana sana, stop being too paronchial.

Source: ni mimi mwenyewe
 
System ni Kitengo ni kakikundi kadogo tu ka watu kan akopatikana katika kila taasisi ndani ya CCM System ndio waliompachika Edward kupeperusha bendera ya CCM ndani ya Chadema ndio waliomzawadia uanachama Edward wakamzawadia na ugombea uraisi ukitaka kujua nguvu ya CCM ni kubwa kuliko chama kizima pale anapojiunga ndani ya chama ndani ya siku tatu tuu anapewa nafasi ya kugombea nafasi ya uraisi sina uhakika kama huyu mtu alipata hata mda wa kusoma katiba na sera za chama lakini System ikiamua hakuna wa kupinga
Too low
 
Kitu gani kinakupa imani kwamba hao mnaowapokea kutoka huko kwenye mfumo mbovu na mnawapa nafasi za juu kabisaa,kwamba hawatafanya yale waliyokuwa wakifanya wakiwa huko!!??
ni mfumo wetu safi ndo unaotupa imani.
 
Tunapo kubaliana ni kuwa katiba ni sheria mama, lakini wewe unaendelea kuchanganya zao la mfumo wa uendeshwaji serikarini pia unategemea katiba hapo ndio tunapopingana.

Kwa mfano CAG kagundua kuna tatizo la mishahara hewa, already kuna sheria za ubadharifu kwenye criminal law already sasa hapo kutatuwa tatizo sugu la kuzuiwa huu uwizi unahitaji sheria nyingine tena kutatua tatizo au management creativity kama vile electronic management information systems kwenye kila taasisi mfano electronic log inns or anyother operation management tools and reasoning to ensure supervision of their resources kutoka wizarani kuweza kuangalia resources zao kwa umakini? Kwa sasa tatizo kulitatuwa wameamua kulipa mabenki moja kwa moja kitu gani kinazuia watu kuajiriwa na kutakiwa kupeleka nusu kwa boss kama dili ilihali awaingii maofisini kwa hivyo sidhani kama ni mwarobaini kamili.

In short system za serikari ni jinsi mambo yanavyofanyika na kusimamiwa kufikia malengo sheria nyingi zipo sambasamba na katiba lakini for the most part ni administrative laws tu jinsi watu watakavyofanya vitu lakini bado kuna wigo kubwa sana la management abilities kwenye kutekeleza hayo mambo na mengi ayahitaji sheria ni management creativity people go to school to learn those skills wala sio sheria. Mfano CAG akisema tatizo la ufisadi pia unachangiwa na poor management abilities utaweka sheria gani? wakati already huyo mtu labda ana phd, kwa hivyo swala linaweza kuwa serikari kutomwekea measurable performances za kazi zake na jinsi ya kugagua taasisi anayo iongoza kuhakikisha ufisadi aupo kabisa kwenye taasisi kwa hivyo hapo ni management system inahitajika sio sheria.

Swala la mikataba pia sheria aiwezi weka kila kitu zaidi ya ku-cover privity tu or rules of consideration kwa sababu mambo ya kuzalisha yanategemea faida za pande mbili ambayo yanaweza kuwa complicated kwenye hesabu zenyewe za ROI ambayo inataka uwe technical as per joint venture wakati mnaandika mkataba husika. Kwa hivyo lazima kuwe na wigo to negotiate pia.

Katiba sio system toa hicho kitu kwenye kichwa chako.

1. management abilities/skliis ni component mojawapo tu anayotakiwa kuwa nayo a manager/leader. zipo nyingine nyingi tu. you are sideling a big picture and talk of too a small picture na hapo ndo tunapotofautiana.

2. Moja ya matokeo mabaya sana, ya udhaifu wa mfumo wa ccm, ni hilo la kutokuzingatia management/leadership principles, skills katika kuunda management teams za serikali na taasisi zake na badala yake, na kwa kias kikubwa, kuzingatia urafiki, undugu , kujuana na kulindana. Ni hivi...Rais wa nchi, aliyewekewa nguvu za kupitiliza, anachaguliwa kupitia katiba mbovu, rais huyo naye, kwa mamlaka aliyopewa na katiba mbovu, anateua wabunge wabovu na kushirikana nao kupitisha sheria mbovu, anateua waziri m'mbovu ambaye naye anateua managing director m'mbovu wa tanesco ambaye naye anaunda Tanesco managing team mbovu ambayo nayo inatoa matokeo mabovu.

umeuona huo mfumo sasa?
 
Back
Top Bottom