Hivi kinachoitwa MFUMO ni kitu gani?

Hivi kinachoitwa MFUMO ni kitu gani?

mkuu tatizo lako ni lile lile la kuwa paronchial...

nikuulize swali, je unamjua mwajiri mkuu na mkuu wa utumishi wa umma nchini ni nani?

unajua kitu kinaitwa vacarious liability na corporate liability?
Nadhani wewe ndio limited sio mimi na sijui unaelekea wapi na hoja zako. Ni hivi hakuna liability bila ya responsibilities, regardless of who is appointing people each position is accompanied with duties before liability fall upon their seniors. Mhusika lazima ajibu his contractual obligation na kama ni makosa yake so is the liability.

Hata kama JK anateua kila mtu lakini wote hao wanamajukumu yanayoeleweka kikazi, tatizo la JK linaweza kuwa kuteua watu wasio na uwezo sehemu zingine. Aindoi accountabiliy ya mfanyakazi, au kiongozi wa kitendo inategemea na kosa lenyewe kama washauri wanasema pale kuna usimamizi mmbovu ina maana CEO ni tatizo; wakisema pale accountants awafuati taratibu za kuripoti zinazopendekezwa na CAG ina maana chief accountant washirika anahusika.

Ndio maana CAG wamelalama sana ata kama wizi mwingi unafanyika bila ya ushirika wa viongozi wao (na watu wanachukuliwa hatua kutokana na makosa yao) bado kuna tatizo la management kwenye kuboresha mifumo yao ya kazi na usimamizi wa rasilimali zao including ppl ili kupunguza tatizo.

That is to say blameworthy is based upon the nature of the illicit act, inaweza kuwa mtu, msimamizi, kiongozi mkuu au shirika.

Lakini hoja hapa ni mfumo hayo mengine sijui unayaleta ya nini.
 
Mnajua sema mnajipumbaza, ngoja uking'olewa ndo mtajua mfumo ni nini
 
Nadhani wewe ndio limited sio mimi na sijui unaelekea wapi na hoja zako. Ni hivi hakuna liability bila ya responsibilities, regardless of who is appointing people each position is accompanied with duties before liability fall upon their seniors. Mhusika lazima ajibu his contractual obligation na kama ni makosa yake so is the liability.

Hata kama JK anateua kila mtu lakini wote hao wanamajukumu yanayoeleweka kikazi, tatizo la JK linaweza kuwa kuteua watu wasio na uwezo sehemu zingine. Aindoi accountabiliy ya mfanyakazi, au kiongozi wa kitendo inategemea na kosa lenyewe kama washauri wanasema pale kuna usimamizi mmbovu ina maana CEO ni tatizo; wakisema pale accountants awafuati taratibu za kuripoti zinazopendekezwa na CAG ina maana chief accountant washirika anahusika.

Ndio maana CAG wamelalama sana ata kama wizi mwingi unafanyika bila ya ushirika wa viongozi wao (na watu wanachukuliwa hatua kutokana na makosa yao) bado kuna tatizo la management kwenye kuboresha mifumo yao ya kazi na usimamizi wa rasilimali zao including ppl ili kupunguza tatizo.

That is to say blameworthy is based upon the nature of the illicit act, inaweza kuwa mtu, msimamizi, kiongozi mkuu au shirika.

Lakini hoja hapa ni mfumo hayo mengine sijui unayaleta ya nini.
kwa sentensi hiyo ni kwamba sasa umekubali kuwa Kikwete anateua/anaajiri kila mtu na kwamba kikwete ni mwanasiasa. kwa hiyo sasa futa usemi wako wa mwanzo kuwa si kila mfanyakazi wa umma anateuliwa na mwanasiasa.

na mimi bado nipo hapo hapo kwenye mfuno kwamba mfumo wa ccm na serikali yake una udhaifu na mabaya mengi na kwamba moja ya mabaya hayo ni hilo la kurundika madaraka na nguvu nyingi mno kwa rais, kwa mfano hilo la kikwete kuteua/kuajiri kila mtu.
 
kwa sentensi hiyo ni kwamba sasa umekubali kuwa Kikwete anateua/anaajiri kila mtu na kwamba kikwete ni mwanasiasa. kwa hiyo sasa futa usemi wako wa mwanzo kuwa si kila mfanyakazi wa umma anateuliwa na mwanasiasa.

na mimi bado nipo hapo hapo kwenye mfuno kwamba mfumo wa ccm na serikali yake una udhaifu na mabaya mengi na kwamba moja ya mabaya hayo ni hilo la kurundika madaraka na nguvu nyingi mno kwa rais, kwa mfano hilo la kikwete kuteua/kuajiri kila mtu.
Sijakataa kwamba kuna tatizo kwenye madaraka ya raisi hila ninachosema teuzi za raisi ni 'small cog in the large wheel'.

Watu wanaoteuliwa pia wana majukumu yao wakifeli wana responsibility zao regardless wanateuliwa na nani aindoi accountability.
 
Uliwahi kusikia neno (ccm ina wenyewe ) hao wenyewe ndio mfumo sasa na ndio unaoamua mambo yote ndani ya serikali sasa tunataka hao wenyewe wakae kando kwanza tuanze upya
 
Mfumo ni kutetea kila kitu mfano.twiga.eoa.escrow.kiwira.net group silution.kufa atc.bilion za tibaijuka chenge na wenzake.loliondo gate etc.
 
Nakuhakikishia Chenge, Rostam wanaweza kuhamia chama kingine chochote na huko wakawa viongozi wazuri kulingana na utamaduni watakaoukuta huko. Kwa lugha nyepesi, kinachoitwa 'mfumo' hapa ni utamaduni uliojengeka chini ya uongozi wa ccm ambapo wakosaji na wezi wa mali ya umma wenye nyadhifa serikalini hawawajibishwi kwa makosa wanayotenda. Badala yake wanalindwa. Wanasiasa hao wakihamia chama kingine ambacho hakina huo utamaduni wa hovyo, hawana jinsi bali kubadilika.
hapo mimi ndo huwa napata shida na wakawa (cdm) chama kilichoonesha kuwajibishana ni ccm.. mawaziri wangapi mpaka leo wapo gerezani.. mramba, yona.. mgonja, liyumba. Mawaziri wangapi wamewajibishwa ikiwemo huyo lowasa. Hao chadema wanawajibishana kwa mtu kuingilia maslahi ya mhowe tu. Ukitaka kugombea uenyekiti tu unatupiwa vilago na kuitwa msaliti.. zzk na wangwe.

Waliosababisha hatu chafu ya CAG wamewajibishwa???

Aliyenunua magari chakavu ya kampein.. (yale mafuso yenye majukwaa kwa juu) na akataka kukiuzia chama kwa bei ya kuruka mlimuwajibisha?? Yaan generetor dogo kwenye hayo magari alisema anawauzia kwa 45m kufuatilia bei yake halisi ikawa 9m.. ha ha ha ha... mlimuwajibisha? Au kwa kuwa ndo mwenye chama.

Acheni hizo!.. ubinafsi ni janga la jamii.. hakuna cha mfumo wala nin.
 
Wanasema tatizo la ufisadi ktk nchi yetu ni "mfumo"ndiyo maana hata baada ya lowassa kujiudhuru mwaka 2008,umeendelea..! Me nauliza huo mfumo ni kitu gani sasa ambacho binadamu hawa(watuhumiwa)hawahusiki!??
jichunguze mwili wako.jinsi unavyo fanya kazi ni mfumo tosha.lakini maamuzi makubwa yanafanywa na ubongo wako.serikali nayo ni mfumo hakuna mtu anaamua jambo peke yake labda Raisi kwa mamlaka yake.kwa hiyo ukiona kitu flani kinajirudia mara kwa mara ujue mfumo wa serikali umeruhusu kitu hicho kitokee mfano ufisadi.the same k
 
My two cents;

  1. Nchi hii hatuwezi kuikabidhi kwa wapinzani...huo ni mfumo unaongea.
  2. Mtake msitake Raisi ni Magufuli...huo ni mfumo unaongea.
  3. CCM itashinda hata kwa goli la mkono...huo ni mfumo unaongea.
  4. Tume ikishamtangaza Raisi, hakuna kuhoji...huo ni mfumo unaongea.
  5. Lowassa hawezi kuwa Raisi wa nchi hii...huo ni mfumo unaongea.
  6. Wapinzani ni wapumbavu na malofa...huo ni mfumo unaongea.
  7. Hatutambui maoni ya wananchi kama yalivyowasilishwa na Tume ya Warioba...huo ni mfumo unaongea.
 
Juhudi za kumsafisha Lowassa zimeshika kasi hasa humu jamvini..!

Viongozi wa ukawa walipoulizwa juu ya ufisadi wa Lowassa,walidai tatizo la ufisadi si lowassa bali ni "mfumo" Tangu hapo wapenzi wa upande huo wamekuwa wakiitetea sana hoja hiyo. Me naomba wanisaidie,hivi kinachoitwa mfumo ni kitu gani,maana tunaaminishwa kana kwamba hicho kinachoitwa mfumo ni kitu hivi cha kushika.

Hata CCM yenyewe huwezi kuishika hivi mkononi,utakuta kuna viongozi,wanachama,sare,katiba nk.

Hivi kwa mfano viongozi wote walioko ccm na serikali yake wote wakihamia chadema,huo unaoitwa mfumo utabaki ccm kwenye majengo au utakuja chadema walikohamia wenye mfumo!??

Yaani eti hata wakija CHADEMA, Rostam Aziz,Nazir Karamagi,Andrew Chenge nk. Eti mfumo utakuwa umebaki CCM na wahusika watakuwa safi!!!

Acheni bhaana..
Mfumo ni uwendeshaji wa serikali, na Mfumo huo wa uwendeshaji ni katiba, hivyo chagueni ukawa iwaletee Katiba mpya itokayo na maoni ya wananchi ambayo ndio Mfumo mzuri munao taka katika kuendesha serikali pamoja na kulinda rasilimali za nchi,na huu Mfumo tulio nao ni Mfumo ulio dumaza na kuwalea viongozi kutokuwa na maarifa badala yake kutuweka katika umasikini na kutuibia mali za umma na kutunyanyasa wananchi.
 
1470896351314.jpg
 
Back
Top Bottom