Mfumo wa ovyo unaozungumziwa nadhani ni jinsi chama tawala kinavyo isimamia serikari kuakikisha matumizi na sera azichakachuliwi ovyo, nidhamu ya wafanyakazi wa serikari na wanachama wa vyama pia wanavyo behave.
Kikawaida kila mfanyakazi anawekewa code of conduct kutokana na malengo ya taasisi na utaukumiwa kwa kuvunja hivyo iwe usimamizi legelege wa kitengo unacho ongoza, hasara uliyoitia taifa, mwenendo wa ovyo wa kiongozi kimaadili, ubora wa taasisi na wafanyakazi wake katika kueshimu code of conduct, etc.
Kwa hivyo nadhani wanaposema mfumo huko ovyo serikarini kwa kweli kuna hoja leo hakuna jitihada zozote za serikari despite CAG kuanzia kwa Utoh na huyu wa sasa wote kusema kuna kupwaya sana kwenye management levels za serikari and lack of creativity on running most organization inayosababishia ufisadi na inefficiency on quality of the services.
Kipi kimebadilika kutatua hilo hakuna, kwa maana hiyo chama tawala bado kinalea mfumo usio efficiency kwenye kutatua tatizo la ufisadi hakuna imposition of strict adherence of code of conduct in public sector nor thorough organization function audit to rectify repeating offences and slack supervision sanasana watapewa seminar tu.
Tanzania mtu anaweza jiamkia tu asubuhi na kubuni kodi bila ya kujali or introduce fees na kuchakachuwa hili taasisi yake ipate hela za kufanya tafrija na pengine kufisadi to name a few.
Mfumo ni tatizo hila CDM awana majibu vinginevyo wakependekeza hila yap hoja yao ya ufisadi ni product ya utawala mmbovu na supervision mechanism iliyozaa watu kama akina Lowassa, Chenge, Karamagi et al na bado kuwepo mtaani inasimama kialali.
This is him in private
The same man in public utadhani mtu wa maana.
Jana kwenye nchi za wenzetu kiongozi na mwakilishi imebidi aachie ngazi kwaku pigwa picha anatumia mihadharati, yuko na prostitute and his somewhat perplexing pose; hakuna alichovunja kisheria bali under the code of conduct ya kiongozi wa taifa this is unacceptable.
Sasa tena kwa yale anayoleta CAG wetu ambapo kuna serious issues of flaws on mfumo which could save the nation billions of money if not a trillion by only implementing a better system of supervision na bado hakuna maamuzi sahihi we have a problem.