Hivi KIKWETE HANA KASHFA?

Status
Not open for further replies.

Shaycas

JF-Expert Member
Feb 13, 2009
906
110
Bill Clinton alipatwa na kashfa ya ngono,nusura apoteze urais,vipi JK anaweza kuwa salama kwa kashfa hizi au mpaka wahusika kama MONICA LEWISKY wajitokeze ndio watu washike bango?(kufuata upepo)
 
He is never serious in serious issue and the oppossite is the case
 
Kuna tetesi kuwa,baada ya kupata urais mkewe alimwambia awachukue watoto wote wa nje(sijui wangapi) awalee na kuwa tunza lakini jamaa akakataa na shortly akamuoa binti wa SAKIYA MEGHIJI,then mambo yakaendelea kihivyo hivyo kwenye ndoa yake na Salma
 
Kuna tetesi kuwa,baada ya kupata urais mkewe alimwambia awachukue watoto wote wa nje(sijui wangapi) awalee na kuwa tunza lakini jamaa akakataa na shorly akamuoa binti wa SAKIYA MEGHIJI,then mambo yakaendelea kihivyo hivyo kwenye ndoa

Haina uhusiano na urais wake very personal!above all ni uzushi

wewe una vimada wangapi? mbona hatukusemi?
 
Kwani jamani Kikwete si mwana CCM ?Sofia Simba alituambia hakuna kiongozi wa CCM aliyemsafi yaani kila mmoja wao ana skandali kwa hilo Madam Simba nampa asilimia mia moja
 
mambo ya mahusiano huku kwetu Afrika msilinganishe na Ulaya...acheni kufuata upepo...mbona Zuma ana wanne na anapeta tu?? msitake tuige kila kitu kwa wazungu,na wao waacheni waige huku,kha!!
 
duuuh akusanye watoto wote wa nje si pale magogoni patajengwa hostel ndogo ya kuwa accomodate..hahaaaaaa
 
Nafikiri sasa kuna haja ya MODs kuanza kufanyia vetting mijadala inayoanzishwa humu kabla haijabandikwa hapa jamvini, kama hoja sio ya msingi itupwe kapuni. Hii itachangia sana watu kusugua vichwa vyao wakati wanaandaa vitu vya kupost hapa. I miss the old JF kinoma, sasa hivi hapa kumejaa maugomvi ya watu na wake zao, mtu hata akinyimwa au mkewe asipomkatikia anaona ni sawa tu kutuletea huo upuuzi hapa tujadili. Sasa na huyu anataka tuanze kujadili ngono za Raisi hapa....
 
Well said kana ka nsungu! kwa kweli kuna haja ya mijadala kufanyiwa vetting vinginevyo tunakoelekea sio kuzuri
 
Haina uhusiano na urais wake very personal!above all ni uzushi

wewe una vimada wangapi? mbona hatukusemi?

....nilikuwa naye kabla sijaoa.kwa sasa ninae mke ninayempenda na kumheshimu.tunashauriana mambo mengi.
 
mambo ya mahusiano huku kwetu Afrika msilinganishe na Ulaya...acheni kufuata upepo...mbona Zuma ana wanne na anapeta tu?? msitake tuige kila kitu kwa wazungu,na wao waacheni waige huku,kha!!

....Sina uhakika kama Zuma anao vimada wanne au ni wake zake kwa mujibu wa mila na desturi zao.
 
Nafikiri sasa kuna haja ya MODs kuanza kufanyia vetting mijadala inayoanzishwa humu kabla haijabandikwa hapa jamvini, kama hoja sio ya msingi itupwe kapuni. Hii itachangia sana watu kusugua vichwa vyao wakati wanaandaa vitu vya kupost hapa. I miss the old JF kinoma, sasa hivi hapa kumejaa maugomvi ya watu na wake zao, mtu hata akinyimwa au mkewe asipomkatikia anaona ni sawa tu kutuletea huo upuuzi hapa tujadili. Sasa na huyu anataka tuanze kujadili ngono za Raisi hapa....

!!Tunaongelea mambo ya rais ambayo yanaweza(kama yapo)kufanya uongozi wake ukawa wa namna fulani.Mfano kama rais ana uhusiano ya kingono na baadhi ya mawaziri/watendaji wake atashindwa kuchukua hatua stahiki pale mtu wake huyo atakapo shindwa kutekeleza majukumu yake na athari yake ni kuyumba na kuongezeka kwa matatizo ya kiuongozi ktk nchi.
 
!!Tunaongelea mambo ya rais ambayo yanaweza(kama yapo)kufanya uongozi wake ukawa wa namna fulani.Mfano kama rais ana uhusiano ya kingono na baadhi ya mawaziri/watendaji wake atashindwa kuchukua hatua stahiki pale mtu wake huyo atakapo shindwa kutekeleza majukumu yake na athari yake ni kuyumba na kuongezeka kwa matatizo ya kiuongozi ktk nchi.


sawa,lakini hatuna jukumu la kumchimbachimba..ikija thibitika alishindwa chukua hatua stahiki kwa sababu za mahusiano yake yasiyofaa ndio tutaanzia hapo,vinginevyo this is irrelevant.
 
Ombeni Bungeni wafanye appraisal yake ili waone kama bado anatufaa! Kikatiba nadhani iko poa. Lakini nini ako mbaya?
 
muacheni mzee-kijana APUMZIKE KWA AMANI!au mnataka aweke mambo hadharani kama ZUMA!:D
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom