Kuna tetesi kuwa,baada ya kupata urais mkewe alimwambia awachukue watoto wote wa nje(sijui wangapi) awalee na kuwa tunza lakini jamaa akakataa na shorly akamuoa binti wa SAKIYA MEGHIJI,then mambo yakaendelea kihivyo hivyo kwenye ndoa
duuuh akusanye watoto wote wa nje si pale magogoni patajengwa hostel ndogo ya kuwa accomodate..hahaaaaaa
mambo ya mahusiano huku kwetu Afrika msilinganishe na Ulaya...acheni kufuata upepo...mbona Zuma ana wanne na anapeta tu?? msitake tuige kila kitu kwa wazungu,na wao waacheni waige huku,kha!!
Nafikiri sasa kuna haja ya MODs kuanza kufanyia vetting mijadala inayoanzishwa humu kabla haijabandikwa hapa jamvini, kama hoja sio ya msingi itupwe kapuni. Hii itachangia sana watu kusugua vichwa vyao wakati wanaandaa vitu vya kupost hapa. I miss the old JF kinoma, sasa hivi hapa kumejaa maugomvi ya watu na wake zao, mtu hata akinyimwa au mkewe asipomkatikia anaona ni sawa tu kutuletea huo upuuzi hapa tujadili. Sasa na huyu anataka tuanze kujadili ngono za Raisi hapa....
!!Tunaongelea mambo ya rais ambayo yanaweza(kama yapo)kufanya uongozi wake ukawa wa namna fulani.Mfano kama rais ana uhusiano ya kingono na baadhi ya mawaziri/watendaji wake atashindwa kuchukua hatua stahiki pale mtu wake huyo atakapo shindwa kutekeleza majukumu yake na athari yake ni kuyumba na kuongezeka kwa matatizo ya kiuongozi ktk nchi.