Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,314
- 5,523
Utatombws sana na kuachwa, na hata ukibahatika kuolewa hutadumu kwenye ndoa. Mark ma words
Ndio fahari yenyewe
Utatombws sana na kuachwa, na hata ukibahatika kuolewa hutadumu kwenye ndoa. Mark ma words
Mwambie bwana mkubwa aelewe. Mke unagombana nae sehemu moja tuu..kwenye kukunyima papuchi.
Ha ha h aha ha kama ulikuwepo aisee utoa je ili upikiwe na kufuliwa pyuuuuuu. Nishindea kunako sita kwa sita ndio shida ila mambo mengine ya msingi lazima uyapate najua wewe ndio mfalme wangu hakuna zaidi yako siwezi kukuacha ule kisichofaa na sio lazima kila siku nipike mimi ila utaenjoy accordingly no matter whatMiss madeko naona unaongea kwa hisia huku unarusha mikono, angalia isimpige alo mbele yako
Ntamkula na mpishi kudadeki.
Na pale kati patamu kweli kweli...vijana wanapataka wazee wanapataka 🤣🤣🤣🤣🤣Haswaa na hilo siwezi kumnyima maana ndiko raha iliko. kupika sijui kufua alaaah
Sure mkuu,na kuna kundi lingine na wanawake wanajiita mafenist, hao ndio kabisa nao hawawezi ndoa kutokana na mishe mishe zao..Ni shidaaUmedadafua vizuri sanaaa, watu wanapinga tu hapa ila ukweli upo wazi kama kuku aliepulizwa na upepo.
Au sio? Basi unajiona umeongea bonge la point hapo, mkizalishwa na kuachwa mbio kufungua thread JF.. Muda wengine tusiwalaumu wanaume wanaozalisha na kukimbiaHivi kumbe unaoa ili upate wa kukupikia na kukufulia?
Swali langu yote si yanafanyika au unapenda urudi umkute mkeo na mwiko na huku jasho linamtoka kisa kukusongea ugali? Achana na mfumo dume wewe kuwa wa kisasa.................... hata km siendi kazini huko jikoni siingi ng'ooo na nguo pia sitafua utafuliwa na utapikiwa na utakula
NakupendaMifano ulotoa hapo ni tabia mkeo alizo nazo (hata kama umesema anasimamia miradi yenu)
unakuja hapa kupotosha watu ati kuna haja kuoa? Kuna vitu mke anafanya wewe hufanyi Wewe unazaa?
Hivi mwanamke kuwa na kazi inamaanisha asifanye majukumu yake? Kama mkeo hafanyi pole yako. Wengine wanafanya.
Mke anaefanya kazi lazima chakula cha usiku apike yeye. Lazima awe na tabia ya kuamka sa11 ili aandalie mtoto uji , chai ndo aende kazini.
Lakini pia weekend usafi lazima afanye afue apange nyumba na kupika chakula cha tofauti na siku zote maana ndo anakuwa na muda wa kutosha.
Mtu kama alizoea kufanya kazi za nyumbani kazi ya kuajiriwa haiwezi kuwa kikwazo.
Sema wenye bahati mbaya wanakutana na ma slay queen basi wanahisi wanawake wote wako hivyo.
Dada wa kazi siku zote ni msaidizi. Kama mm ambae sipendi wadada wa kazi sijui itakuwaje nikilazimika kuwa nae? mm sipendagi mtu kunifanyia kazi yeyote na akifanya isiwe na kasoro.
Naamini mpaka mtu akubali kuwa mke wa mtu anajua majukumu yake.