Afghanistan ni Uarabuni?Baki na imani yako kule uarabuni taliban inaua watu kwa mgongo wa dini ila kuna watu wanawatetea
Bimkubwa wako bora angempigisha mzee wako nyeto tu kuliko kulete hii hasaraNyonyoma ni ninyi punguani mliofufuliwa maana hata baada ya kufufuliwa bado ni misukule.
Kusuhudia uongo ni sifa kuu ya Ibilisi.KANISA LA UKWELI LIKOJE,NA LA UONGO LIKOJE,FAFANUA TUELEWE!
Ibilisi in action.Bimkubwa wako bora angempigisha mzee wako nyeto tu kuliko kulete hii hasara
Maswali ya WARUMI haya, huwa wanajihisi wao wapo sahihi sana tofauti na wengine.Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Sasa nyie mnaojiona mko tofauti na kanisa la Gwijama, mmefanikiwa kiasi gani katika kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka?Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Wale walikuwa manabii kweli,Kwa hili umepotoka.
Nabii Eliya alifufua, Elisha alifufua, Yesu alifufua, mtume Paulo alifufua, nk..
Amka wewe Mtanzania wa kawaida ukisoma Biblia vizuri utagundua huwezi kutenganisha ukristo na siasa .Kanisa ndiyo limemfikisha hapo mpaka mkamjua na mkampigia kura .Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Upendo,amani,unyenyekevu , imani na kuokoka ndivyo vitu vinatutofautisha binadamu na wanyama.Sasa nyie mnaojiona mko tofauti na kanisa la Gwijama, mmefanikiwa kiasi gani katika kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka?
Unaenda kanisani wakati mtu mliekaa benchi moja ndio mlitukanana barabarani mlipokwaruzana magari wakati mnaenda kanisani. Unapendaje watu ambao asilimia zaidi ya 90% ndani ya kanisa huwafahamu? Huo ndio upendo Yesu aliesema wa kuweza kufa kwa ajili ya muumini mwenzako mlio nao tofauti na wa kanisa la Gwijama?
Mie naona wote na makanisa yenu ni waongo tu, mnasubiri kuhukumiwa tu
Gwajima kaunganisha imani na siasa, na amepanda farasi wote wawli!Amka wewe Mtanzania wa kawaida ukisoma Biblia vizuri utagundua huwezi kutenganisha ukristo na siasa .Kanisa ndiyo limemfikisha hapo mpaka mkamjua na mkampigia kura .
Kanisa lenye sifa ya kuitwa kanisa ni Kanisa Katoliki pekee! Kanisa la kweli lina alama 4Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Kanisa lenye sifa ya kuitwa kanisa ni Kanisa Katoliki pekee! Kanisa la kweli lina alama 4
1) Moja
2) Takatifu
3) La kiulimwengu ( Katoliki)
4) La Mitume
Wengine ni Wakristo wenzetu kiimani sababu ya imani kwa Kristo na ukweli mwingine (some truth) lakini ukweli mwingi utaupata Kanisa Katoliki. Huu ndio ukweli ambao ni mchungu mno kwa wasioupenda.
Aacha uchizinanyie onesheni research inayoonesha after 5 years waliochanja hawatapata matatizo ni vema tujibu hoja kwa hoja
Aacha uchizi
Kanisa la kweli ni lipiKanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Mwenye kutoa tuhuma ndiye mwenye wajibu wa kuprove tuhuma zake hivyo gwajima ni wajibu wake kuprove, kwanza kwa mini iwe baada ya miaka mitano?nanyie onesheni research inayoonesha after 5 years waliochanja hawatapata matatizo ni vema tujibu hoja kwa hoja