Hivi Kanisa la Askofu Gwajima ni Kanisa kweli?

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.

Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.

Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?

Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.

Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.

Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
 
Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahski pa kueneza upendi, amani , unyenyekevu, imani na kuokoka.

Sasa hili kanisa la mipashi la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa kanisa?

Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchichezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Kile ni kikundi cha vikoba
 
Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahski pa kueneza upendi, amani , unyenyekevu, imani na kuokoka.

Sasa hili kanisa la mipashi la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa kanisa?

Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchichezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Baadhi madhehebu ya kilokole yamejaa waumini waliokata tamaa ya maisha na kuwakabidhi hao matapeli kama Gwajima uwezo wao wote wa Kufikiri.
 
Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahski pa kueneza upendi, amani , unyenyekevu, imani na kuokoka.

Sasa hili kanisa la mipashi la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa kanisa?

Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchichezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Jibun hoja zake nyonyoma nyie
 
Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahski pa kueneza upendi, amani , unyenyekevu, imani na kuokoka.

Sasa hili kanisa la mipashi la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa kanisa?

Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchichezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Kwani Gwajiboy mwenyewe anaseamje?
 
Back
Top Bottom