masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?