Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Nimejaribu kuvumilia nimeshindwa! Kuna majina huwa yananitafakarisha sana! Kila ninaposoma nyuzi za baadhi ya watu huwa najikuta nalitazama jina la muhusika na kuzama katika lindi la mawazo nikitafakari lina maana gani?

Hivi kwa mfano wewe Imeloa, una maana gani kujipa hilo jina? Ni nini hiyo iliyoloa? Kuna huyu Bwana Utamu nk. Majina yenu kwa kweli huwa yananifanya niwaze na kuwazua. Naomba mtushirikishe maana hasa ya kujiita mlivyoamua kujiita.

Jina lako lina maana yoyote? Tushirikishe tafadhali kwa nini umejipa jina hilo?

Kwangu mimi Elisha ni jina la meanangu. Wewe je? Hebu twende kazi! Kwa nini umejiita ulivyojiita? Hii ni kwa wote tafadhali siyo tu kwa ndugu Imeloa!

Ahsante
Rafiki..
 
Spider buibui
Nyoka snake
Nikimansha mm ni mchanganyiko wa jamii mbili za baba na mama nmefanansha nyoka na kaskazin na spider tokea central

Na jeei ndo nooloka

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Daah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.

Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi

japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia

Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu

Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .

ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli

Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
Hii story bado hujaandika mkuu!?
 
Kirakauu ; kwetu Moshi ni Jin la mti Moja mgumu sana kama mpingo, zamani wale wazee wa shoka walikuwa wakifananishwa na huo mti.
 
Basi nenda nimejiita after wimbo wa Mo music,wengi mnaujua,kwa kifupi nimeamua kuamuacha mtu japo ni Kama kufuru lakini naona Kama ndio napoza Moyo, uwepo wake ulikuwa sawa na mwiba kidoreni na ile asali iligeuka shubiri
Nilimwamini nikampa Moyo,hata kutendwa sikufikili,kinywa kikawa kizito kukubali ukweli na Moyo uliuma ni hatari
 
Back
Top Bottom