Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Huogopi kumchezea MUNGU??. MUNGU hachezewi.Naambiwaga nina tabia nzuri kila napoishi nimeona nijiite tu roho mtakatifu
Huogopi kumchezea MUNGU??. MUNGU hachezewi.Naambiwaga nina tabia nzuri kila napoishi nimeona nijiite tu roho mtakatifu
Rafiki..Nimejaribu kuvumilia nimeshindwa! Kuna majina huwa yananitafakarisha sana! Kila ninaposoma nyuzi za baadhi ya watu huwa najikuta nalitazama jina la muhusika na kuzama katika lindi la mawazo nikitafakari lina maana gani?
Hivi kwa mfano wewe Imeloa, una maana gani kujipa hilo jina? Ni nini hiyo iliyoloa? Kuna huyu Bwana Utamu nk. Majina yenu kwa kweli huwa yananifanya niwaze na kuwazua. Naomba mtushirikishe maana hasa ya kujiita mlivyoamua kujiita.
Jina lako lina maana yoyote? Tushirikishe tafadhali kwa nini umejipa jina hilo?
Kwangu mimi Elisha ni jina la meanangu. Wewe je? Hebu twende kazi! Kwa nini umejiita ulivyojiita? Hii ni kwa wote tafadhali siyo tu kwa ndugu Imeloa!
Ahsante
Ivan yupo ni dogo langu Kwa mama yangu mdogo Sio mbaya na mwanangu ataitwaMwanao wa kiume muite Ivan sasa
Ivan the Terrible hakuwa mkorofi ila alikuwa strict kwa watu wagumu kuongozwa. Ndio maana alivyoachana nao akaenda zake nje ya mji yaliwashinda wakamuomba awaongoze tena hapo ndio akawa mkorofi zaidiIvan yupo ni dogo langu Kwa mama yangu mdogo Sio mbaya na mwanangu ataitwa
Ivan the terrible!
Twaweza kutengeneza ukurasa mwingine wa aina ile?Nimecheka kwa sauti 🤣
Na ukumbukwe daima ukurasa ule 😜
*Maseratti (Mazi)Jina langu maana yake ni ni ndinga moja luxury ya bei kaliii sana tokea pande za Italy 🇮🇹 huko
Bravo!Debora Paul Laswai
kwani wewe ni mjukuu wa Idd Amin Dada?Mfalme wa mwisho wa uscoch
kwani wewe ni mjukuu wa Idd Amin Dada?
mbute kuna aina flani ya muhogo sasa sijui unaandaliwaje na chaiAtakaye pata maana ya jina “Mbute na Chai” kuna zawadi nono.
Hii story bado hujaandika mkuu!?Daah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.
Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi
japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia
Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu
Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .
ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli
Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
Akija tustuane,ila leo ni ijumaa jamaa atakuwa anapiga vyomboHii story bado hujaandika mkuu!?
Akiwa juu ya vyombo ndiyo atasimulia vizuriAkija tustuane,ila leo ni ijumaa jamaa atakuwa anapiga vyombo