acha kuzingua,nyumbani tunatumia old version kwenye mitandao tunakuja kuupdate tuonje new version
Hahahaaa aya buanaa.
Usiku mwema
acha kuzingua,nyumbani tunatumia old version kwenye mitandao tunakuja kuupdate tuonje new version
Nimeshafika mamy.
Huyu Viol sijui ni nini kimemkumba.
Wife material wapo mtaani huko huku ni internet material ndipo tunapatikana.
Ujue mtu anaweza kuwa wife material kutokana na mazingira mliyokutana.
ha ha ha kweli? ntachange avatar basi mi mdada! Full grown up! A complete woman!
acha kuzingua,nyumbani tunatumia old version kwenye mitandao tunakuja kuupdate tuonje new version
kweli Madame B ni wife material na nimeliona hilo kwa kina
Kweli mumy......yaani nilikuwa nikiliona hili buti najua booonge la husband material.....lol
kumbe bhana ni mumy nimekwepa sana kumjibu nikasema huyu mwanaume kumjibu ni kama ukorofi mbona ana maneno malaini,ona sasa
Jf ni kichaka..kujua tabia za watu ni kazi..sio kila mtu anayaishi maneno anayoyaongea
naisubiri kwa hamu ila mind u that inaweza kuchafua hali ya hewa ha ha ha!
Umeonaaaa eeeh.....ha ha ha! umenifanya nicheke! husband material? unajua hata mimi nahisi humu hakuna husband materials huku kuna Gusa gusa sound! mniwie radhi kama mpooo!
Asilimia kubwa ya mabinti humu JF hawafai kuolewa,wana majibu mabaya mno yaani ukipata mke JF lazima awe bomu tu,kwenye thread tu wanavyoreply kama waliokata tamaa au wanakomoa wanaume,wachache sana nadhani,ila asilimia kubwa bhana hamna kitu...Ukiona mrembo anajibu vibaya humu ujue hata live kachoka kabisa kakata tamaa anakuja kutukana wanaume humu.
UKIPATA MKE JF LAZIMA UJE KULALAMIKA JF.