Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Mmmh..lakini kuna watu nahisi hii anonymity inawafanya wawe huru kupitiliza, at times nadhani wanaona sifa lakini kweli kwangu naona sio..wanabwatuka hadi.....khaaaa!
 
Mwambie huyu wife materials wapo kibao kuanzia ex zako mpka the original wote ni wife material.....huyu kijana wako Viol atakuwa na matatatizo kidogo yamemsibu amevurugwa si bure embu mpeleke jando kidogo apate semina ya kuwa husband material.


Ngoja kesho nifanye hiyo assignment kwa kijana Viol. Kuna limemsibu si kawaida..
 
Last edited by a moderator:
i just used the phrase...i know u dont see.......u read through

I followed brother, i just played with words, and mind the context.

So many learn and know how to fake their identities as well as their online activities.
Don't judge on everything, you might be misled.

True dat. But i don't judge, i only notice class, taste, styles and graces, that's my forte. Can't buy, borrow, or fake those, homeboy.
 
I followed brother, i just played with words, and mind the context.



True dat. But i don't judge, i only notice class, taste, styles and graces, that's my forte. Can't buy, borrow, or fake those, homeboy.

Nakusalimu tu.........
 
hayo mapigo yako ya avatar unasukuma baiskeli natamani mod aniwekee button ya kulike takoni maana unatega sana niwe naclick hivyo avatar

Umenogewa? Like Tuu Hamna Tatizo.
Mbona Povu Jingi Leo Umetendwa Nini.?
 
Kuna watoto wazuri humu!!!!....wacha kabisa....siku ukibahatika kuwaona hutakaa utoke humu hata kwa saa moja
 
Naamini waliopo jf ndo wale wale waliopo mtaani. Wapo wanaojitambua sana na wapo wenzangu na mimi, unfortunately huwezi kufanya conclusion kwa kupitia maandishi ya mtu. Kuna wengine kwa maandishi yao wanaonekana hawafai but maybe ukiwa naye karibu ndo utagundua her positive side. Wengine wana maandishi yakuvutia but ukiwajua kiundani ndo utajua weakness zao nyingine.

Mahusiano ya humu yanavyofail ndo na ya mtaani yanafail hivyo hivyo. Huwezi kujua mtu alivyo unless umekuwa naye kwa ukaribu zaidi. Kwa hiyo if you dated someone from jf na mahusiano yenu hayakudumu,.. basi ni yalishindwa coz mlishindwana kwenye baadhi ya mambo, unless alikucheat, basi Kila mmoja wenu ana mchango wake katika mahusiano yenu yaliyovunjika.

Naamini Hamna malaika humu, Kila mtu ana mapungufu yake, swali ni je utampata ambaye mtaweza kuchukuliana madhaifu yenu? Kama ambavyo unaomba huku mtaani kumpata mtu wa kuendana na wewe.

heaven sent na heaven earth n mtu mmojaa..?? maana nachanganyikiwa hapa....
 
kumbe bhana ni mumy nimekwepa sana kumjibu nikasema huyu mwanaume kumjibu ni kama ukorofi mbona ana maneno malaini,ona sasa

kumbe kama ni ME mnalinda kauli eeeh! Nimeghairi sibadili avatar.
 
Hahaha kumbe na huku unafikaga?! Shule zifunguliwe tu turudi kule kwetu bana. Uko poa lakini?

Huku ndo kulikuwa nyumbani nikakupiga chini dah yaani acha tu ligi ianze tu maana tumekondaa......nilikuwa nakusalimia the husband material to be.....😀😀
 
Mmmh..lakini kuna watu nahisi hii anonymity inawafanya wawe huru kupitiliza, at times nadhani wanaona sifa lakini kweli kwangu naona sio..wanabwatuka hadi.....khaaaa!

Anonymit nzuri sana. Watu wanafunguka vizuri sana.
I just like this.
 
Back
Top Bottom