Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Asee wapo best women . . .Qualitatively best beyond explanation. . . . WAPO. . . . .!!!!
 
Mkuu, nimebahatika kuwafaham na kukutana na wadada kadhaa wa jf.....
Wapo tofauti kabisa na wanapokua humu jf.
Wapo waungwana, Wacha mugu na hofu, wakarimu na wenye hekima tofauti sana na wanapokua humu jf aiseee

Mwambie huyooo!!!
 
Wanawake wenye tabia njema wako sana humu Jf

pia kuhsu wife material kila mtu anasifa zake so siwezi jua wwe unataka aweje lkn wanawake wenye kujielewa wako sana humu ndani
 
'Wife material' ni total bs, kila mwanaume ana vitu vyake vya kipekee anavyotaka toka kwa mwanamke anayetamani kuishi naye,.viwe vibaya au vizuri. Usiruhusu watu wakuchagulie unataka nini. Society will always front if you fight forces of nature, but that don't mean you should be a b!tch and just follow. Be your own man, set and define your own pace.
God bless u... It seem like u read my mind
 
mkuu majanga gani yamekusibu? maanake hizi thread zako za hivi karibuni kama za kutoa ya moyoni vile...

Mwache mwenzio atoe ya moyoni bwana...atapata vidonda vya tumbo atii..
 
Jf kuna wanawake wazuri ajabu.
Jf kuna wanawake decent kupita maelezo.
Sio vizuri kuwataja majina ila its very possible kupata wife materials jf.
 
Naamini waliopo jf ndo wale wale waliopo mtaani. Wapo wanaojitambua sana na wapo wenzangu na mimi, unfortunately huwezi kufanya conclusion kwa kupitia maandishi ya mtu. Kuna wengine kwa maandishi yao wanaonekana hawafai but maybe ukiwa naye karibu ndo utagundua her positive side. Wengine wana maandishi yakuvutia but ukiwajua kiundani ndo utajua weakness zao nyingine.

Mahusiano ya humu yanavyofail ndo na ya mtaani yanafail hivyo hivyo. Huwezi kujua mtu alivyo unless umekuwa naye kwa ukaribu zaidi. Kwa hiyo if you dated someone from jf na mahusiano yenu hayakudumu,.. basi ni yalishindwa coz mlishindwana kwenye baadhi ya mambo, unless alikucheat, basi Kila mmoja wenu ana mchango wake katika mahusiano yenu yaliyovunjika.

Naamini Hamna malaika humu, Kila mtu ana mapungufu yake, swali ni je utampata ambaye mtaweza kuchukuliana madhaifu yenu? Kama ambavyo unaomba huku mtaani kumpata mtu wa kuendana na wewe.
 
Embu tutake radhi mkuu
haya ni matusi na kashfa za wazi!!
Hapa ni kijiwe cha stori tu kupunguza uchovu mawazo na kujiburudisha.
Humu kuna wanawake na wanaume pia why umeshambulia wanawake pekee?? au wanaume humu ni husband material wote??
Jamani unakiuka haki zetu!!
umetukosea heshima!!
Umetunyanyasa!!
Kwahiyo tuondoke humu mbaki wenyewe midume si ndo ushoga utakua kwa kasi sana
 
Wanawake wenye heshima zao wapo...Lakin kwa hivi vijanamke vinavyojifanya vijuaji,vitukanaji,vinahasira za kijingajinga,havitaki kukosolewa nina uhakika ni ndivyo walivyo katika uhalisia wao wa maisha.
 
Kwa hizi fake id kusema mke mwema hayupo si sahihi

Naona unataka kunipeperushia ndege wangu

Kesho njoo na mada nyingine inayosema wife material wapo jf
 
Nadhani kupitia posts humu unaweza kumsoma mtu uwezo wake kichwani, tabia, na mazingira aliyo pia. Tones zao, lugha na maneno wanayotumia na wanapoyatumia, namna wanavyo-interact na watu, ni rahisi sana kujua yupi wa kumuepuka na yupi anajielewa. Ni kweli wapo wanaojitoa 'ufahamu' ili kuburudisha na kuburudika, ila bado class haijifichi.

Kuna wanawake wanaojielewa vizuri tu humu, ila ni wachache sana, sana. Vivyo hivyo kwa upande wa pili.

So many learn and know how to fake their identities as well as their online activities.
Don't judge on everything, you might be misled.
 
Kwa hizi fake id kusema mke mwema hayupo si sahihi

Naona unataka kunipeperushia ndege wangu

Kesho njoo na mada nyingine inayosema wife material wapo jf

Hukupaswa kufungua huu Uzi mkuu maana kwa % furani umepunguza imani kwa uliemtega.
Pole
 
Naamini waliopo jf ndo wale wale waliopo mtaani. Wapo wanaojitambua sana na wapo wenzangu na mimi, unfortunately huwezi kufanya conclusion kwa kupitia maandishi ya mtu. Kuna wengine kwa maandishi yao wanaonekana hawafai but maybe ukiwa naye karibu ndo utagundua her positive side. Wengine wana maandishi yakuvutia but ukiwajua kiundani ndo utajua weakness zao nyingine.

Mahusiano ya humu yanavyofail ndo na ya mtaani yanafail hivyo hivyo. Huwezi kujua mtu alivyo unless umekuwa naye kwa ukaribu zaidi. Kwa hiyo if you dated someone from jf na mahusiano yenu hayakudumu,.. basi ni yalishindwa coz mlishindwana kwenye baadhi ya mambo, unless alikucheat, basi Kila mmoja wenu ana mchango wake katika mahusiano yenu yaliyovunjika.

Naamini Hamna malaika humu, Kila mtu ana mapungufu yake, swali ni je utampata ambaye mtaweza kuchukuliana madhaifu yenu? Kama ambavyo unaomba huku mtaani kumpata mtu wa kuendana na wewe.

uminifanya nisite kukoment nilicho kuwa nakifikiria
 
ID zote Feki mnaanzisha mahusiano yanakuwa kwa muda wote mkiwa mnatambuana kwa U feki wenu kila mmoja akimtega mwezie aone jinsi alivyo siku mnagumiana unaona yaliyomo hakuna...lazima kudumu kuwe ni ndoto.
 
Back
Top Bottom