Hahahaaa....gues who!
Hahahahha!!! Yaliyopita si ndwele tunaganga Yajayo.....
Ukimpeleka ujue lazima tugawane majengo ya serikali, yaani he is my everthing.
Mtachonga sana wala hata 0.00000000001 haijapungua hahahhahahahhaahha mavi ya kale hayanuki ati!!!!!!!!........
Ntuzu si wangu ati ni wako ni darling friend kaka katika Bwana.........kumbe biti zote ulizonipiga nawe ulikuwa mshika pembe tu......
No one aiseee!!!!
Siwezi kukulinda nnafuraha kubwa unavyo jilinda my
Una matatizo binafsi wewe sio bure.
Wapi...maneno ya mkosaji
Mwambie nakuamini sanaa sitakuwekea mlinzi
Huyu wa ngapi vile?
Ligi???? mimi nakuonea huruma wewe maana soon utamwagwaHahahahhahaha!!!! Looh !!! Kweli mfa maji haachi kutapatapa...... Eli79 kweli we mtaam zaid ya mcharo na khantwe naye kaingia kwenye ligi?..... atoto wewe si una mume ni nini kumponda mume wa mwenzio.....unamtaka bado.....Kwa taarifa yako usitake ligi na mimi kabisa huyo bwanaako mwenyewe mhh!!! Kabet na mimi so saa yoyote naweza kukupindua nakuheshimu ujue nimekuhifadhi nakuchora tu hapa......
Nimerudi kitambo hayo maji hayana kazi tena