Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

We futa kauli!! Mie sijawahi gombea mume, huwa nagombaniwa tu!!
Mume ninaye wangu peke yangu, husband wa dunia Manga ML, huyo ndio shemeji yako wa ukweli na uhakika.

Haya nimefuta tatizo hunipendi siku hizi hata shem wangu unashindwa kunitambulisha vibaya hivyo
 
Last edited by a moderator:
Ligi???? mimi nakuonea huruma wewe maana soon utamwagwa

Simwagiki miye ujue.........tuliachwa hadharani na tukarudishwa tena sembuse mbele yenu nyie.....aku miye siyo mchoyo namuuliza tu babaEli nioshee mwiko wangu nataka kutumia maisha yanaenda.......
 
Simwagiki miye ujue.........tuliachwa hadharani na tukarudishwa tena sembuse mbele yenu nyie.....aku miye siyo mchoyo namuuliza tu babaEli nioshee mwiko wangu nataka kutumia maisha yanaenda.......

Hahahaaaaaaaaa....ngoja nilale mie. baba naniliu njoo tulale mwaya
 
Back
Top Bottom