Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Nimefurahi sasa haka ka atoto kataanza kutumia maji ya uvuguvugu..nilijipndoa mda tu mbona, kama nilivyojiondoa kwako baada ya ile foleni..

Usiniambie kwangu ulishajiondoa....mbona hukuaga wakati unapokuja ulibisha hodi?
 
Usiniambie kwangu ulishajiondoa....mbona hukuaga wakati unapokuja ulibisha hodi?


Kwani huwa tukiondoka tunaaga! Teh....nimejiondoa hadi upinguze mtandao wako na vile vijamaa, hata hivyo naanza kutembea njia kuu sasa...
 
Kwani huwa tukiondoka tunaaga! Teh....nimejiondoa hadi upinguze mtandao wako na vile vijamaa, hata hivyo naanza kutembea njia kuu sasa...

Sema moja...unataka nipunguze mtandao au umeamua kubaki njia kuu?
 
Kwani huwa tukiondoka tunaaga! Teh....nimejiondoa hadi upinguze mtandao wako na vile vijamaa, hata hivyo naanza kutembea njia kuu sasa...

Inatosha sasa naomba tukalale ,nina zawadi yako nataka nikupatie,wewe tu na si mwingine, nipo kwaajili yako,tafadhali mpenz wa moyo wangu tuondoke zetu......
 
Nimefurahi sasa haka ka atoto kataanza kutumia maji ya uvuguvugu..nilijipndoa mda tu mbona, kama nilivyojiondoa kwako baada ya ile foleni..

Hivi kumbe mimi ndio najadiliwa hapa? Teh teh teh you cant me my dear, hebu tuacheni tulale na kipenzi cha roho yangu,my pumzi,my shibe,my joto,my........ Manga ML, nyie wengine ugueni pole tu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kumbe mimi ndio najadiliwa hapa? Teh teh teh you cant me my dear, hebu tuacheni tulale na kipenzi cha roho yangu,my pumzi,my shibe,my joto,my........ Manga ML, nyie wengine ugueni pole tu.
Huyu wa ngapi vile?
 
Back
Top Bottom