ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,564
- 119,620
Haja katabia ka wivu ulikaanza lini..
Yan huyu mwanamke mi simuelewi my wii....nilipo yupo
Kazi unayo inabidi upambane haswaaaa
Huyu wa ngapi vile?
The one and only.
Gundu na wewe ndo unampotosha? aliponiacha mimi akaenda kwa everlenk ulimsapoti sasa hivi hata huyo umemnyakua....nampa pole sana
Ganda la muwa la jana...
Ganda la muwa la jana...
Hahahahha!!! Yaliyopita si ndwele tunaganga Yajayo.....
Siku hizi umemuacha Ntuzu? ungeendelea nae tu coz mi niliamua kukuachia
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!! Chungu kaona vivuno maana sio kivuno.