Aliyekwambia kuwa kiongozi akiwa mchawi hakupangwa na Mungu ni nani.....
Kasome Biblia Kuhusu Farao.....alikuwa ni mchawi haswa mpaka Fimbo ya Musa ilipogeuka nyoka na wachawi wa farao waligeuza fimbo kuwa Nyoka...
Lakini Maandiko yanamtaja Farao kama mtumishi wa Mungu
Nebukadreza alikuwa Mchawi 1st class na alisimamisha sanamu kubwa ya dhahabu lakini Mungu anamuita mtumishi wake
↓↓↓ soma hiyo Yeremia na utafakari kwa makini huo mstari wa 9
View attachment 1850297